Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,101
- 18,051
Anaweza kuwa Kleptomaniac.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ndiyo raha ya JF.[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Nilikua sina raha ila kwa hii comment yako nimecheka sana mkuu
Sipati picha mkuu akiuzwa[emoji38][emoji38]yeye na viatu vyake
Labda nyumban kwao wanashida sanaa na yeye ana tegemewa nyumbani kwaoHuenda kuna tatizo nyuma ya pazia hatulijui ndio maana namshauri achunguze kwa kina maana sio hali ya kawaida otherwise kama mke wake ana mental health disorder
Naona umeamua kumuita mtoa HUKUMU
Yeah! unaonesha kuna tatizo kabla ya hiliHuenda kuna tatizo nyuma ya pazia hatulijui ndio maana namshauri achunguze kwa kina maana sio hali ya kawaida otherwise kama mke wake ana mental health disorder
Wahesimiwa wa mmu, ndoa yangu ya mwaka mmoja inakaribia kuniua, ushauri wenu muhimu sana.
Huyu mwanamke nimejuana naye miaka miwili kabla sijaamua kumuoa, ingawa pia maamuzi ya kumuoa yaliharakishwa na kumpatia ujauzito akiwa mwaka wa pili chuo.
Matatizo sasa yanaanzia hapa:
1. Baada ya kumuoa katikati ya mwaka jana akiwa anakaribia kurudi chuo, aliamua kujifukuzisha chuo kimya kimya kwa kutoingia darasani. Ni mpaka mwaka huu mwanzoni ndo nilipojua ukweli, nikamsaheme nikifikiri ni mimba iliyomfanyia hivyo na nikamsaidia kuchaguliwa kwenye chaguzi za juzi hapa
2. Alianza tabia ya kuiba hela nazo rudi nazo nyumbani, hapa nikafikiri ni mdada wa kazi baada ya kumtimua lakini tabia ikaendelea. Hapa ilinilazimu niwe naficha hela kwenye gari.
Si akaja kugundua akaanza kuzifuata huko huko kwenye gari, sasa hapa nikawa nazificha sehemu ambazo asiye fundi hawezi zifikia. Hapa kunaujinga mwingi sana umefanyika mpaka ikafika yeye kukata hela ya chakula.
(Anabana hela ya chakula, chakula kina kata katikati ya wiki).
3. Wizi wa hela ya sadaka, hapa niliandaa hela ya sadaka ya shukrani, nikaiweka kwenye bahasha na tukaiombea, nikafunga bahasha na gundi. Kesho yake asubuhi tunaenda kanisani nikagundua bahasha ilifunguliwa na nusu ya hela imepigwa.
4. Kuna vitu vimeanza kutoweka nyumbani, begi kubwa la nguo, set za mapazia niliyonunua kwa bei kubwa, simu yangu ya ofisini (Naitumia mara chache, kwa shughuli za ofisi) na godoro dogo la chumba cha wageni. Nilivyoongea naye jana kuna kila ishara kuwa ameviuza.
Dah naombeni ushauri maana najiona kabisa kwenda kuua mtoto wa watu, maana sioni kitu anachokifanya na hizo hela zaidi ya nyumba kujaa makopo ya juice na soda.
Na hata hivyo ameanza uvivu, usafi kwake ni changamoto saa nyingine naogopa kwenda jiko
Una watoto naye?Wahesimiwa wa mmu, ndoa yangu ya mwaka mmoja inakaribia kuniua, ushauri wenu muhimu sana.
Huyu mwanamke nimejuana naye miaka miwili kabla sijaamua kumuoa, ingawa pia maamuzi ya kumuoa yaliharakishwa na kumpatia ujauzito akiwa mwaka wa pili chuo.
Matatizo sasa yanaanzia hapa:
1. Baada ya kumuoa katikati ya mwaka jana akiwa anakaribia kurudi chuo, aliamua kujifukuzisha chuo kimya kimya kwa kutoingia darasani. Ni mpaka mwaka huu mwanzoni ndo nilipojua ukweli, nikamsaheme nikifikiri ni mimba iliyomfanyia hivyo na nikamsaidia kuchaguliwa kwenye chaguzi za juzi hapa
2. Alianza tabia ya kuiba hela nazo rudi nazo nyumbani, hapa nikafikiri ni mdada wa kazi baada ya kumtimua lakini tabia ikaendelea. Hapa ilinilazimu niwe naficha hela kwenye gari.
Si akaja kugundua akaanza kuzifuata huko huko kwenye gari, sasa hapa nikawa nazificha sehemu ambazo asiye fundi hawezi zifikia. Hapa kunaujinga mwingi sana umefanyika mpaka ikafika yeye kukata hela ya chakula.
(Anabana hela ya chakula, chakula kina kata katikati ya wiki).
3. Wizi wa hela ya sadaka, hapa niliandaa hela ya sadaka ya shukrani, nikaiweka kwenye bahasha na tukaiombea, nikafunga bahasha na gundi. Kesho yake asubuhi tunaenda kanisani nikagundua bahasha ilifunguliwa na nusu ya hela imepigwa.
4. Kuna vitu vimeanza kutoweka nyumbani, begi kubwa la nguo, set za mapazia niliyonunua kwa bei kubwa, simu yangu ya ofisini (Naitumia mara chache, kwa shughuli za ofisi) na godoro dogo la chumba cha wageni. Nilivyoongea naye jana kuna kila ishara kuwa ameviuza.
Dah naombeni ushauri maana najiona kabisa kwenda kuua mtoto wa watu, maana sioni kitu anachokifanya na hizo hela zaidi ya nyumba kujaa makopo ya juice na soda.
Na hata hivyo ameanza uvivu, usafi kwake ni changamoto saa nyingine naogopa kwenda jikoni.
Nipe mawazo dada yangu, nakosea wapi.'wanaume tumeumbwa matesoo, mateso kuhangaikaa'..!
Niliogopa sana aisee, ila ni kama Mungu aliniambia ni nunue bahasha mbili. Nikatumia hiyo ya pili kwa ajili ya sadakaHuyo ni ndugu yake na anko shetani haiwezekani mpka sadaka anaiba
Mkuu hapa ndo sielewi na haya mabadiliko ya tabia ni baada ya ndoa. Kabla ya hapo alikua mtoto mzuri tuAnakosa nini mpaka anafanya yote hayo?
Mkuu cha kufurahisha yeye sio mtumiaji wa pombe, na pia kabla ya ndoa vyombo vilikua hajikai ila sasa hivi ndo kama hivyo mpaka asikie njaa nod vinaoshwaKama ulidate na kuoa type ya hawa ninaokaa nao ghetto yani wanaloweka mashuka mpaka yanaoza wanayatupa, wanaosha vyombo wakitaka kupika kisha baada ya hapo wanakaa siku nne hawajaosha mpaka wakipika tena. Nakuhakikishia utaishia kumfurahia mkienda Kidimbwi tu. Sijui kushauri ndoa
Ipo siku majanga yako nawewe yataletwa na navyojua lile la kutafuna nguo za mumeo halitakosa..😂'wanaume tumeumbwa matesoo, mateso kuhangaikaa'..!
Nashukuru mkuu, nitajaribu maana nimepata ugumu kwa sasa kushare hizi na ndugu na jamaa.Fanya jitihada pia za kujaribu kukaa nae kwanza muongee ugundue chanzo nini, usipopata suluhu hapo uende kwa ndugu, jamaa, marafiki, wanasaikolojia... baada ya hapo tena kwa wazazi wake...viongozi wa dini...mahakamani... ikishindikana hapo tena fanya uamuzi sahihi tu hata wa kuachana nae lakini usimdhuru kwa chochote maana hutatatua tatizo sana sana utaongeza ukubwa wa tatizo.
Kusema ukweli kwa sasa sina uhakika alinipendea nini, nilifikiri ni vile ninavyomjali lakini sina uhakika.Pole sana mkuu! Ni ngumi sana kumbadili tabia hiyo kwa haraka haraka itachukuwa muda na uvumilivu na hekima pia..!
Kwa mtazamo wako unahisi anakupenda kweli ?
Una uhakika kuwa hiyo mimba ni yako?
Nani alileta mawazo ya aliharakisha ndo?
Dah hatari sanaUnaishi na MWIZI siyo mke.
Nakushukuru mkuu kwa ushauri wakoMpige talaka aende zake maana ukiendelea nae utakuja chukua maamuz magumu yatakayokupa majuto badae, huyo sio mdokozi bt anafanya kusudi na analake jambo
Mkuu nashukuru kwa ushauri wako, kwa jinsi navyoona huko ndo tunapoelekeaMkuu, umeoa mke au umeoa mwizi?
Huyo ni mdokozi kwa asili lakini pia tabia yako ya Ubahili wa kutompa hela inakuponza.
Atauza vyote. Vitu vya ndani vitaisha, itafuata gari kisha nyumba 😂😂😂. Baada ya hapo nguo zako alafu utabakia wewe na mtoto. Nani atangulie kuuzwa?
Bila kufumba macho ni wewe. Utauzwa abaki yeye na mtoto.
Kimbia Mkuu. Mtu asiye na soni hata ya kupunguza hela ya sadaka ni mtoto wa Lucifer tu.
Kimbia. Viatu vikikatika wewe kimbia, bora miiba kuliko kuuzwa. Kimbia Mkuu.
Chaguo lako ni kukimbia ama kuamua kumpa hela zote unazopata. Chagua kwa busara.