Ndoa yangu ikitimiza Miaka 20 nitasherekea 20th anniversary japo mimi si Mkrisitu

Ndoa yangu ikitimiza Miaka 20 nitasherekea 20th anniversary japo mimi si Mkrisitu

Covax

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2021
Posts
10,198
Reaction score
35,323
Jamani wenzangu tuliomo kwenye ndoa zaidi ya miaka 15 njooni tupongezane ndoa sio mchezo wa Simba na Yanga ndoa inahitaji mental maturity and stable income, hususani ukiamua kua na wake wawili, ndoa ya mke moja inatesa mno, nilianza ikanishinda.

Nimebakiza miaka mitatu ni timize 20th anniversary nime amua ni sherekee japo sijui hi sherehe inakua je sijawahi kufanya na kuhudhuria wenye kujua ni saidieni, nime bembeleza sanaa ndoa yangu sacriface uvumilivu wa hali ya juu siku wahi ku-imagine kama itafikisha ata 10yrs, hivi hao watoto wetu wa miaka ya 2000 wa taweza ndoa kweli?

Hata for 5yrs mbona ndoa inahitaji maturity, na muda, sio hiki kizazi cha high technology of social media, betting, nk.
 
Hongera sana Kaka maana huo mziki uliopitia Na unaopitia ktk miaka hiyo ndoani si wa kitoto
Itakapofikia miaka hiyo Fanya sherehe ya jubilee kwa imani zetu unaweza kualika baadhi ya mashekh Na watu wako wa karibu wakasoma duah Na itakapofikia jioni mnaweza kuweka tafrija ya kishkaj mkasherehekea pmj Na wana Na watu wa kitaa

Mwaka juzi nimetoka kusherehekea silver jubilee
 
Sio yelemama ndoa, ila na upendo na kuliwazana kupo kila mda
Inabidi wakati mwingine unapanga safari ya wawili tu hata wiki mnaenda sehemu tulivu na kula kulala tu, unasahau kila kitu

Mkuu sherehe haina maana kwa mara moja kwa mke bali anniversary, birthday, vyote mimi huwa sifanyi bali mda wowote ninapoona nina mda wa kupumzika basi naenda sehemu
Hata watoto pia niliwakataza birthdays ila nawapa zawadi za hapa na pale ila sio kwa sababu ya kuzaliwa kwao, bali upendo tu

Sio vibaya kufurahia ndoa yenu pia
 
Sio yelemama ndoa, ila na upendo na kuliwazana kupo kila mda
Inabidi wakati mwingine unapanga safari ya wawili tu hata wiki mnaenda sehemu tulivu na kula kulala tu, unasahau kila kitu

Mkuu sherehe haina maana kwa mara moja kwa mke bali anniversary, birthday, vyote mimi huwa sifanyi bali mda wowote ninapoona nina mda wa kupumzika basi naenda sehemu
Hata watoto pia niliwakataza birthdays ila nawapa zawadi za hapa na pale ila sio kwa sababu ya kuzaliwa kwao, bali upendo tu

Sio vibaya kufurahia ndoa yenu pia
Holiday na fanya tu, lakini some time i need special meditation minus her, ili niweze kubuni mambo mapya kwenye ubongo bila ubongo kumuona physically, kwahiyo kuna outing nahitaji niwe peke yangu au na mgeni.
 
Kiukweli tumepanda milima na mabonde kikubwa uvumilivu tu.

Hata na mie nawaza hivyo nikigota 20 basi nisherehekee kwa kwenda hata Zanzibar au hata mbuga za wanyama huko.
 
Sijui na mie nisherekee??? Yangu ina miaka 14 ila tuliishi miaka 5 kabla ya ndoa .
Bado mkuu subiri hao watu wana toa vitimbi vya mwisho mwisho huenda unaweza kishndwa kuvihimili......
 
Back
Top Bottom