Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio sunna wivu ni nature na wake zake Mtume walikua watu naomba tuache kuchanganya vitu ambavyo viko na naturally na ibaadat.....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Macho hayana pazia, penye emergency msitusagie kunguni
Hahahaaa. Lol[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Macho hayana pazia, penye emergency msitusagie kunguni
Nakuelewa boss. Nimewaza tu namna mlivyotabasamu nje ila ndani hamna furaha nikawaonea huruma.Mkuu tunafanya mengi kwa sababu ya jamii, hasa ukiwa ni mtu mwenye kuajibika katika hiyo jamii.
Furaha ni neno paana halipimiki au kuonekana ni intrisick, hata kununa au kulia ni furaha kwa namna nyingine.......Nakuelewa boss. Nimewaza tu namna mlivyotabasamu nje ila ndani hamna furaha nikawaonea huruma.
Ok, sasa hapa boss unamaanisha ndoa yako kwa miaka iliyosurvive ina furaha au haina furaha? Ukiachana na changamoto za hapa na pale maana hizo zipo tu. Unajua kusema ndoa ipo sababu ya jamii inayonizunguka inamaana ukiondoa jamii usingeitaka meaning haikupi furaha.Furaha ni neno paana halipimiki au kuonekana ni intrisick, hata kununa au kulia ni furaha kwa namna nyingine.......
Furaha ni mimi hata ku-survive kwa ndoa kila ukicha wiki mwezi mwaka kwangu ni furaha, sijui kwa mwenzangu kwasbb furaha ni intrinsic, kucheka na tabasamu ni unafiki tu,Ok, sasa hapa boss unamaanisha ndoa yako kwa miaka iliyosurvive ina furaha au haina furaha? Ukiachana na changamoto za hapa na pale maana hizo zipo tu.
Ndo maana nikatumia neno Furaha sio kucheka. Ndoa yenye furaha namaanisha hata ukirudishwa kabla ya kuifunga still utaopt kufanya hivyo sababu imekupa furaha. Haiexist tu sababu ya jamii, inaexist sababu ya matokeo chanya yanayoleta furaha yamezidi matokeo hasi yanayoleta huzuni.Furaha ni mimi hata ku-survive kwa ndoa kila ukicha wiki mwezi mwaka kwangu ni furaha, sijui kwa mwenzangu kwasbb furaha ni intrinsic, kucheka na tabasamu ni unafiki tu,
Furaha ninao mkuu but numeipata kwa hi cost kabisa, ila niwemuazi japo aliwezekani kurudishwa nyuma, nikipewa na hiyo fasi tena sioe tena, ndoa restrict maisha uhuru unaondoka compeletlyNdo maana nikatumia neno Furaha sio kucheka. Ndoa yenye furaha namaanisha hata ukirudishwa kabla ya kuifunga still utaopt kufanya hivyo sababu imekupa furaha. Haiexist tu sababu ya jamii, inaexist sababu ya matokeo chanya yanayoleta furaha yameyozidi matokeo hasi yanayoleta huzuni.
Ok mkuuFuraha ninao mkuu but numeipata kwa hi cost kabisa, ila niwemuazi japo aliwezekani kurudishwa nyuma, nikipewa na hiyo fasi tena sioe tena, ndoa restrict maisha uhuru unaondoka compeletly
We acha tu, bro[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa mkitembea njiani si utapata tabu sana ukijaribu kutupa jicho kwa mdada mnayepishana
Hongera mkuu naona unauwezo mkubwa kuimudu hiyo ndoa.Ndoa kwangu ni jambo la kawaida mno haliniumizi kichwa