MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 5,392
- 14,646
Hapana bwana pombe ndiyo chanzo Cha kuachwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]pombe ndo mke wako pole sanaa mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana bwana pombe ndiyo chanzo Cha kuachwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]pombe ndo mke wako pole sanaa mkuu.
Aah kumbe wewe ni ke, sio me nilidhani wewe ndo unakunywa pombeHapana bwana pombe ndiyo chanzo Cha kuachwa
Nitakuwa mpambe, usinisahau kwenye mwaliko Dada yangu[emoji23][emoji23]Kiukweli tumepanda milima na mabonde kikubwa uvumilivu tu.
Hata na mie nawaza hivyo nikigota 20 basi nisherehekee kwa kwenda hata Zanzibar au hata mbuga za wanyama huko.
Usijali mdogo wangu siwezi kukusahau kamwe.Nitakuwa mpambe, usinisahau kwenye mwaliko Dada yangu[emoji23][emoji23]
Mimi ni Me ,Ila pombe inawakimbiza walimbwendeAah kumbe wewe ni ke, sio me nilidhani wewe ndo unakunywa pombe
Haha kwa kweli sikubishiii, kadiri wanavyopata umri wanakuwa na wivu usio na maana, nadhani swala la kupoteza uzuri kadiri wanavyopata age linawasumbua sana.Bado mkuu subiri hao watu wana toa vitimbi vya mwisho mwisho huenda unaweza kishndwa kuvihimili......
Si haba, Mungu ni mwema, mwaka wa 5 umeanza kupisha hodi.Usijali mdogo wangu siwezi kukusahau kamwe.
Najua na wewe umeshasogea sogea sasa eeh!
Duuh! Kweli siku hazigandi mdogo wangu basi naona ni kama juzi tu.Mwaka wa 5 loading now.
Mungu ajalie na mimi nifikishe hatua hizo, tuendelee kujifunza kwenu Maseniors
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haha kwa kweli sikubishiii, kadiri wanavyopata umri wanakuwa na wivu usio na maana, nadhani swala la kupoteza uzuri kadiri wanavyopata age linawasumbua sana.
Juzi tulikuwa na kesi, kwa nin nawakodolea macho wadada wa amapiano kwenye Tv[emoji4][emoji4].
Imagine mtu yupo kwenye Tv, hata humjui, halafu unapewa kesi kuwa ni hawara yako.
Hakika usemalo mdogo wangu.Si haba, Mungu ni mwema, mwaka wa 5 umeanza kupisha hodi.
Gurudumu linaendelea kusonga mbele.
Wajibu wenu wa kutuonesha njia iliyo bora kuifuata bila kuja vikwazo vyote ni wa muhimu sana.
Muda unakimbia sana si mchezoDuuh! Kweli siku hazigandi mdogo wangu basi naona ni kama juzi tu.
Kila la kheri M'Mungu azidi kuwapa mioyo ya subira na uvumilivu mana hicho ndo kikubwa.
Hapo muwe chap chap sasa kuniongezea shangazi zangu. 🤪🤪Muda unakimbia sana si mchezo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapo muwe chap chap sasa kuniongezea shangazi zangu. [emoji2957][emoji2957]
Kwa raha zake.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kijana wa mwanzo bado anakula bata kwanza akiwa peke yake
Kila la kheri mdogo wangu kikubwa subira kwani kila jambo lina wakati wake.Ila stage ya kwanza naona inaenda slow kwa wengi hasa tulio mijini, ila kuanzia stage ya pili inakuwa bandika bandua hadi kwenye kikomo ulichochagua
Wivu ni sunna eti. 😅😅[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa mkitembea njiani si utapata tabu sana ukijaribu kutupa jicho kwa mdada mnayepishana
Ulilinda ndoa kwa ajili ya jamii? Umeteseka mno. Mkeo nae kateseka sana. In short mmelipia gharama kubwa mno.Ahsante mkuu, nili linda hi ndoa sikutaka nionekane kwa jamii ulio nizunguka kwamba nime shindwa ndoa, kwasbb jinsi jamii ilivo kua ina niheshimu, ndoa need sacriface kubwa.
Hizo ndo zao, wivu wao hauna mpangilio kabisa.Haha kwa kweli sikubishiii, kadiri wanavyopata umri wanakuwa na wivu usio na maana, nadhani swala la kupoteza uzuri kadiri wanavyopata age linawasumbua sana.
Juzi tulikuwa na kesi, kwa nin nawakodolea macho wadada wa amapiano kwenye Tv[emoji4][emoji4].
Imagine mtu yupo kwenye Tv, hata humjui, halafu unapewa kesi kuwa ni hawara yako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wivu ni sunna eti. [emoji28][emoji28]
Mkuu tunafanya mengi kwa sababu ya jamii, hasa ukiwa ni mtu mwenye kuajibika katika hiyo jamii.Ulilinda ndoa kwa ajili ya jamii? Umeteseka mno. Mkeo nae kateseka sana. In short mmelipia gharama kubwa mno.