RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 4,707
- 11,365
Tatizo lakutokuoa bikra ndio hili.Miaka6 kwenye ndoa na ana miaka 28 maana take mlioana akiwa na miaka 22. Huyo alikuwa hajamaliza stage ukakimbilia kumuoa na sasa anaona aliidhulumu nafsi yake.
Mkiambiwa muoe mishangazi ya25+ mnakataa mnakimbilia watoto😂😂😂ona sasa anakuona babu yake. Ipo siku atakuambia ulimbaka.
Hili nalo ni la kuomba ushauri? Ndugu pole,kwanza kabla ya kuoa unapaswa kuhakiki uwezo wako kama umeshakua mature vyakutosha kukabiliana na changamoto za ndoa. Nilidhani labda ulifumaniwa ama umezaa nje ya ndoa...Habari wakuu,
Leo nimeona nije niwaletee maswaibu yangu yanayo nikabiri kwenye ndoa yangu.
Mimi na mke wangu tuna miaka 6 ndani ya ndoa yetu, miaka mi 5 ya nyuma mambo yalikuwa safi kabisa, ila huu mwaka wa 6 umekuwa na heka heka nyingi mno.
Mambo ni mengi sana ila Leo tuanzie hapa.
MKE WANGU ANANIONA MIMI NI MZEE KWAKE
Mimi na yeye tumepisha umri wa miaka 6 yaani nimempita miaka 6 ya kuzaliwa
LEO ananiambia "wewe umenipita miaka mingi sana, yaani miaka 6 ni mingi sana, ilitakiwa angalau unipite miaka 2, wewe ni mkubwa sana kwangu, ilitakiwa tupishane miaka 2, ulinioa nikiwa mdogo, kwani hukujua kuwa umenipita miaka mingi."
Mimi nilikaa zangu kimya nikitafakari maneno yake, inanishangaza kuniona Mimi ni mzee Kwake, najiuliza maswali kama Leo sijafikisha hata miaka 40 lakini ananiona age go, je? Uzeeni si ataninyanyasa sana.
Nasubiri maoni yenu wakuu, nilipanga nimuwezeshe kibiashara lakini naona bora nimuache awe mama wa nyumbani tuu, na hiyo pesa ya mtaji Bora nimtumie mama yangu aitafune taratibu.
NB: Umri wangu Mimi ni miaka 34 na yeye umri wake ni miaka 28
Watakuja wenye hoja za hovyo watakuuliza una Mama au huna mtoto wa kike.Wanawake akili hawana, nasema wanawake wote.
Mwanaume aliumbwa Kwa lengo maalum hapa dunian ila mwanamke alikuja baadae.
Alikuja wakat mwanaume ana elimu ya vitu vingi saana katika hii dunia.
Na alikuja Kwa huruma ya mwanaume.
Na ndo maana mungu hakumpa lengo maalum.
Shetani akaichukua hiyo nafasi kumpa mwanamke lengo.
Na lengo lake kubwa ni kuangamiza wanaume yaan ulimwengu.
Namna unavoweza mwanaume kupambana na hiki kiumbe ni kuwa mchamungu.
Kuwa straight katika maisha yako. Ukiingiza huruma Kwa huyu kiumbe umekwisha.
MweeeeHuyo lazima kapata mchepuko wa miaka 30 ndio anakufananisha nae...usimpe mtaji pimbi kabisa
😂😂😂😂😂🤣🤣Muoneshe picha ya salim kikeke na mke wake
Umeongea point nzito sana na kutukumbusha.Jitahidi uwe unajipa kipaumbele
Kula vizuri
Vaa vizuri
Hakikisha unajiweka standard and classic.
FAIDA
Utakuwa na mwonekano mzuri
Utawindwa Sana na sio kuwinda
Maika 34 ikiwa haujipendi unavaa hovyo ,unakula hovyo lazima utaitwa mzee
Wanaume wengi wamekuwa sex machines , sperms donated
Mwisho wanachoka Sana , sura inapoteza Nuru n.k
So I recommend to you Kwa hayo mambo .
Kuitwa mzee
Age go
Kudharauliwa
Haya yote huwa ni matokeo ya kushindwa Ku-focus na LIFE yako na kuamini kuwa wewe uliumbwa kuwapambania watu Kama Mke , watoto n.k
Life is about balance
Jipende Sana then go and love other
Comments zako ni dhahabu mkuu... hahahahaTwende Taratibu Tutafika
Mi namzidi mke wangu miaka 12.Habari wakuu,
Leo nimeona nije niwaletee maswaibu yangu yanayo nikabiri kwenye ndoa yangu.
Mimi na mke wangu tuna miaka 6 ndani ya ndoa yetu, miaka mi 5 ya nyuma mambo yalikuwa safi kabisa, ila huu mwaka wa 6 umekuwa na heka heka nyingi mno.
Mambo ni mengi sana ila Leo tuanzie hapa.
MKE WANGU ANANIONA MIMI NI MZEE KWAKE
Mimi na yeye tumepisha umri wa miaka 6 yaani nimempita miaka 6 ya kuzaliwa
LEO ananiambia "wewe umenipita miaka mingi sana, yaani miaka 6 ni mingi sana, ilitakiwa angalau unipite miaka 2, wewe ni mkubwa sana kwangu, ilitakiwa tupishane miaka 2, ulinioa nikiwa mdogo, kwani hukujua kuwa umenipita miaka mingi."
Mimi nilikaa zangu kimya nikitafakari maneno yake, inanishangaza kuniona Mimi ni mzee Kwake, najiuliza maswali kama Leo sijafikisha hata miaka 40 lakini ananiona age go, je? Uzeeni si ataninyanyasa sana.
Nasubiri maoni yenu wakuu, nilipanga nimuwezeshe kibiashara lakini naona bora nimuache awe mama wa nyumbani tuu, na hiyo pesa ya mtaji Bora nimtumie mama yangu aitafune taratibu.
NB: Umri wangu Mimi ni miaka 34 na yeye umri wake ni miaka 28
Duh! Nyie wadogo sanaHabari wakuu,
Leo nimeona nije niwaletee maswaibu yangu yanayo nikabiri kwenye ndoa yangu.
Mimi na mke wangu tuna miaka 6 ndani ya ndoa yetu, miaka mi 5 ya nyuma mambo yalikuwa safi kabisa, ila huu mwaka wa 6 umekuwa na heka heka nyingi mno.
Mambo ni mengi sana ila Leo tuanzie hapa.
MKE WANGU ANANIONA MIMI NI MZEE KWAKE
Mimi na yeye tumepisha umri wa miaka 6 yaani nimempita miaka 6 ya kuzaliwa
LEO ananiambia "wewe umenipita miaka mingi sana, yaani miaka 6 ni mingi sana, ilitakiwa angalau unipite miaka 2, wewe ni mkubwa sana kwangu, ilitakiwa tupishane miaka 2, ulinioa nikiwa mdogo, kwani hukujua kuwa umenipita miaka mingi."
Mimi nilikaa zangu kimya nikitafakari maneno yake, inanishangaza kuniona Mimi ni mzee Kwake, najiuliza maswali kama Leo sijafikisha hata miaka 40 lakini ananiona age go, je? Uzeeni si ataninyanyasa sana.
Nasubiri maoni yenu wakuu, nilipanga nimuwezeshe kibiashara lakini naona bora nimuache awe mama wa nyumbani tuu, na hiyo pesa ya mtaji Bora nimtumie mama yangu aitafune taratibu.
NB: Umri wangu Mimi ni miaka 34 na yeye umri wake ni miaka 28
Hili neno, Hongera kwa kumkumbuka mama.Nasubiri maoni yenu wakuu, nilipanga nimuwezeshe kibiashara lakini naona bora nimuache awe mama wa nyumbani tuu, na hiyo pesa ya mtaji Bora nimtumie mama yangu aitafune taratibu.
Je ukitafakari, na kuangalia miaka mitano nyuma iliyopita, ukilinganisha na sasa. Swali: Je mfumo wako wa maisha haujabadilila, Huenda life stail ya sasa inamuathiri mkeo na kukuona mzee uliyepitwa na wakati. Fanyia kaz hili. Dawa ya Tatatizo ni wewe kubaini wapi huendi sawa nnamatarajio ya mkeao.NB: Umri wangu Mimi ni miaka 34 na yeye umri wake ni miaka 28
Kwa umri hakuna tatizo kabisa! Actually, ndoa nyingi zinazodumu unakuta mwaume anamzidi mwanamke umri. Kuna ndoa naifahamu mwanamke ana miaka 41 na mwanaume miaka 63, na wana watoto 2, lakini wanaoonekana wanaonekana kuwa na a happy family. Lakini tofauti ya miaka 6 si kitu kabisa! Nafikiri umri ni kisingizio tu hapo. Mimi namzidi wife miaka pia, na wakati mwingine unasikia wanawake wakisema mtu gani mwanamke inabidi aolewe naye na wanasema olewa na mwanaume anayekuzidi umri, na ndoa itadumu. Ndoa ni shule, kuna mambo mengi ya kujifunza.Habari wakuu,
Leo nimeona nije niwaletee maswaibu yangu yanayo nikabiri kwenye ndoa yangu.
Mimi na mke wangu tuna miaka 6 ndani ya ndoa yetu, miaka mi 5 ya nyuma mambo yalikuwa safi kabisa, ila huu mwaka wa 6 umekuwa na heka heka nyingi mno.
Mambo ni mengi sana ila Leo tuanzie hapa.
MKE WANGU ANANIONA MIMI NI MZEE KWAKE
Mimi na yeye tumepisha umri wa miaka 6 yaani nimempita miaka 6 ya kuzaliwa
LEO ananiambia "wewe umenipita miaka mingi sana, yaani miaka 6 ni mingi sana, ilitakiwa angalau unipite miaka 2, wewe ni mkubwa sana kwangu, ilitakiwa tupishane miaka 2, ulinioa nikiwa mdogo, kwani hukujua kuwa umenipita miaka mingi."
Mimi nilikaa zangu kimya nikitafakari maneno yake, inanishangaza kuniona Mimi ni mzee Kwake, najiuliza maswali kama Leo sijafikisha hata miaka 40 lakini ananiona age go, je? Uzeeni si ataninyanyasa sana.
Nasubiri maoni yenu wakuu, nilipanga nimuwezeshe kibiashara lakini naona bora nimuache awe mama wa nyumbani tuu, na hiyo pesa ya mtaji Bora nimtumie mama yangu aitafune taratibu.
NB: Umri wangu Mimi ni miaka 34 na yeye umri wake ni miaka 28
Formular nyingine inasema chukua umri wa mwanaume gawanya kwa mbili kisha jumlisha sabaMkuu kwa umri wako wa 34 ulistahili kuwa na mke mwenye miaka 22 hadi 24 sio zaidi ya hapo.
Hapo ndiyo mngeendana na kuzeeka pamoja maana kimaumbile mwanamke anawahi kukuwa na kuzeeka.
Usije kujichanganya ukaoa mwanamke uliyempita miaka miwili ama minne huyo atakuwa bibi kizee mapema zaidi wakati wewe bado young kabisa.
Muonye huyo mkeo mwambie wewe mwenyewe ulijua umeoa mwanamke mkubwa kiumri maana wastani wa chini wa mwanamke na mwanamke kupishana ni miaka isipungue 7.
Mkuu nahisi utakuwa umesoma kitabu kinaitwa "The Art of Loving My Self" cha mwandishi Jonathan Kis-lev. Wanaume huwa tunasahau kuwekeza kwenye maisha yetu tunaamini ili tuwe na furaha ni lazima kwanza wengine wafurahi kumbe si kweli.Jitahidi uwe unajipa kipaumbele
Kula vizuri
Vaa vizuri
Hakikisha unajiweka standard and classic.
FAIDA
Utakuwa na mwonekano mzuri
Utawindwa Sana na sio kuwinda
Maika 34 ikiwa haujipendi unavaa hovyo ,unakula hovyo lazima utaitwa mzee
Wanaume wengi wamekuwa sex machines , sperms donated
Mwisho wanachoka Sana , sura inapoteza Nuru n.k
So I recommend to you Kwa hayo mambo .
Kuitwa mzee
Age go
Kudharauliwa
Haya yote huwa ni matokeo ya kushindwa Ku-focus na LIFE yako na kuamini kuwa wewe uliumbwa kuwapambania watu Kama Mke , watoto n.k
Life is about balance
Jipende Sana then go and love other
Umeongea kitaalamu na kisayansi sana mkuu.Formular nyingine inasema chukua umri wa mwanaume gawanya kwa mbili kisha jumlisha saba
Kwa maana kama mwanaume yupo 40 basi mwanamke awe nusu ya mwanaume awe miaka 20 halafu ongeza miaka 7 inamaana mwenye miaka 40 anaweza kuoa mwanamke mwenye miaka 27
Vyovyote itakavyokuwa,mosi wanawake wanazeeka mapema sana kwahiyo akiwa umempita miaka mingi mnaenda nae sawa
Pili,mwanaume ukiwa mkubwa kwanza kuna heshima ya ukubwa unapewa hapo ndio maana utakuta wengine wanaamkia waume zao ingawa si lazima,lkn vile vile mwanaume akiwa mkomavu na upeo mkubwa kuliko mke kwa umri ni rahisi kudili na heka heka za mke kwa maana ya kutumia busara na hekima
Kumbuka mwanamke anahitaji mtu wa kumuongoza siku zote,sasa huyu kiongozi anatakiwa awe mkomavu la sivyo neno kidogo tu usharusha ngumi au ushamuumiza mtoto wa watu