Ndoa yangu ina hali tete

Ndoa yangu ina hali tete

Watu ambao wamejikita kuzungumzia sababu ya kutomba kama ndio sababu,nimewadharau kabisaa na probably wengi wao kama sio wote wameongea kwa mkumbo tu.
Mwanamke akishataka lake hata umtombe namna gani huwez kubadiki mindset yake.

Mkuu kwakifupi huyo hata jama unamtomba sana, huyo kashabadil vipaumbele vya maisha na huna chabkufanya kuhusu hilo.
Mwanamke akishabadilika ndio imetoka hio, haihusiani na kumkaza wala nini.
 
Mimi kwa kushauri tu achana naye tafuta chombo kipya hatakupa stress Kali sana tayari hakuheshimu na hata bible inasema mwanamke atamuheshimu mume wake na mwanaume hatampenda mke wake kwaiyo fanya uamuzi don't fear to loose her,just let her go kama mna watoto na ni wakubwa walee mwenyewe
 
Mtoa mada mbona husemi kama unamlomba vizuri huyo binti ili tujue shida iko wapi zipumbovu
 
Ukumbuke mwanamke anayeridhishwa na mumewe anakuwa na bond Kali sana kuliko asiyeridhishwa.

Kwani kinachosababisha me na ke kuoana ni nini? Yani mwanzo wa mwanaume na mwanamke kuamua kwa pamoja kuwa wanaoana ni nini hasa? Ni bond ambayo inakuwepo kupitia agano (viapo) na huunganishwa na tendo la ndoa. Mume ambaye ana bond nzuri na mkewe anatamani awahi kurudi nyumbani kwa mkewe mapema ukilinganisha na mume ambaye hana bond nzuri (yenye nguvu) na mkewe, na kinyume chake kwa ke pia
Niko pamoja na wewee hapo kwenye kuridhishwa ila pia jinsi wanavyo wasiliana. Mfano mleta mada kabla ya kulileta hili hapa yeye na my wake wameli zungumzaje hili jambo. Mambo ya kuachia issues hewani huwa yanavunja sana uhusiano/ndoa.
 
Kashapata mtu anayefikia g spot...... Umeshakua outdate ndugu. Wanawake ndivyo walivyo........ Ila wazee wetu walipata....


😂😂🤣🤣😂😂🤣🤣🤣
My
 
Na ndio ndoa inadumu sababu same age au gap ndogo ndio yale mwanamme kutafuta michepuko sababu tukubali ni nature mwanamke anakuwa haraka kuliko mwanamme ukiowa watu same age mkifika wote 40 mtu anaweza kudhani unatembea nje na shangazi yako. Nilishawahi kwenda kwa rafiki yangu Canada akaja mke wake kutopokea airport nilivyomuona nilishani Mama yake kaja kumpokea ila nikaona kam kiss nikashangaa ehhh mkewe huyu basi nikanyamaza tu ila moyoni nikasema mimi siwezi nikaanza kumuonea huruma jamaa yangu ila ndio hivyo, wako same age lakini kwa macho tofauti, si unajuwa wenzetu wanakutana vyuoni wanapendana. Ila kwa mimi hapana, mke lazima awe mdogo kwa mume.
Kweli mume wangu kuzaa sasa naonekana mshangazi 🤣😂 sema ana umbo dogo anajipenda huwezi kudhani ana 57 anaingia 58
 
Nimeipenda hii

Mke wangu mtarajiwa ndoa ya pili nampita miaka 15,ananipenda mpaka namwambia punguza upendo kpnz

Huyo mwanamke ni hayupo sawa kwa head,kuna watu wanapishana mpaka miaka 30
Eeeh labda sio love Marriage au penzi la upande mmoja au jamaa hamfikishi kuna vitu anavikosa dada kapata nje mwenye umri chini wa mumewe ndo maana anamuona mzee walijisemea umri ni namba tu.

Alihamdulillah sina stress maana kamaliza ujana tunaishi kwa amani na upendo.tumekutana na miaka 21 yeye kwenye 40+ mie nilijua ana 30+ 😅 hata baada ya kujua ana umri mkubwa haikunisumbua.
 
Kweli nimeamini, akutukanae hakuchagulii tusi...😂
 
Habari wakuu,

Leo nimeona nije niwaletee maswaibu yangu yanayo nikabiri kwenye ndoa yangu.

Mimi na mke wangu tuna miaka 6 ndani ya ndoa yetu, miaka mi 5 ya nyuma mambo yalikuwa safi kabisa, ila huu mwaka wa 6 umekuwa na heka heka nyingi mno.

Mambo ni mengi sana ila Leo tuanzie hapa.

MKE WANGU ANANIONA MIMI NI MZEE KWAKE
Mimi na yeye tumepisha umri wa miaka 6 yaani nimempita miaka 6 ya kuzaliwa

LEO ananiambia "wewe umenipita miaka mingi sana, yaani miaka 6 ni mingi sana, ilitakiwa angalau unipite miaka 2, wewe ni mkubwa sana kwangu, ilitakiwa tupishane miaka 2, ulinioa nikiwa mdogo, kwani hukujua kuwa umenipita miaka mingi."

Mimi nilikaa zangu kimya nikitafakari maneno yake, inanishangaza kuniona Mimi ni mzee Kwake, najiuliza maswali kama Leo sijafikisha hata miaka 40 lakini ananiona age go, je? Uzeeni si ataninyanyasa sana.

Nasubiri maoni yenu wakuu, nilipanga nimuwezeshe kibiashara lakini naona bora nimuache awe mama wa nyumbani tuu, na hiyo pesa ya mtaji Bora nimtumie mama yangu aitafune taratibu.

NB: Umri wangu Mimi ni miaka 34 na yeye umri wake ni miaka 28
Yeye ndo mzee kwako ulitakiwa umzidi miaka kumi au zaidi huko mbele yeye ataonekana mzee kuliko wewe maana ke huwahi kuzeeka kuliko me atakuwa na sababu zingine za kukuchukia siyo umri
 
Habari wakuu,

Leo nimeona nije niwaletee maswaibu yangu yanayo nikabiri kwenye ndoa yangu.

Mimi na mke wangu tuna miaka 6 ndani ya ndoa yetu, miaka mi 5 ya nyuma mambo yalikuwa safi kabisa, ila huu mwaka wa 6 umekuwa na heka heka nyingi mno.

Mambo ni mengi sana ila Leo tuanzie hapa.

MKE WANGU ANANIONA MIMI NI MZEE KWAKE
Mimi na yeye tumepisha umri wa miaka 6 yaani nimempita miaka 6 ya kuzaliwa

LEO ananiambia "wewe umenipita miaka mingi sana, yaani miaka 6 ni mingi sana, ilitakiwa angalau unipite miaka 2, wewe ni mkubwa sana kwangu, ilitakiwa tupishane miaka 2, ulinioa nikiwa mdogo, kwani hukujua kuwa umenipita miaka mingi."

Mimi nilikaa zangu kimya nikitafakari maneno yake, inanishangaza kuniona Mimi ni mzee Kwake, najiuliza maswali kama Leo sijafikisha hata miaka 40 lakini ananiona age go, je? Uzeeni si ataninyanyasa sana.

Nasubiri maoni yenu wakuu, nilipanga nimuwezeshe kibiashara lakini naona bora nimuache awe mama wa nyumbani tuu, na hiyo pesa ya mtaji Bora nimtumie mama yangu aitafune taratibu.

NB: Umri wangu Mimi ni miaka 34 na yeye umri wake ni miaka 28
Hahahahaaa hapo haujaoa bro. Hiyo ni red flag, piga chini haraka tafuta mwingine, uzuri bado upo kwenye umri wa kuoa, tafuta dogodogo under twenty, ili yeye ajione mzee...wanaume hatuzeekagi wanaozeekaga wanawake kwa lugha nyepesi mm hata nikiwa na miaka 90 nina uwezo wakuzalisha mwambie yeye azae sasa kwa umri huo
 
Muda huo alikuwa anatak ndoa now anatak uhuru
Chunguza baada ya muda utapata jibu
Kwanini wanawake huwa hivi? Huwa wanahisi wakiwa ndoani watapata vitu gani ambavyo nje ya ndoa hapati??

Maana kesi nyingi ni za namna hiyo, mwanzo ke anakua anaihitaji sana ndoa ila baada ya muda anaijutia na kuutaka sana uhuru.
 
Habari wakuu,

Leo nimeona nije niwaletee maswaibu yangu yanayo nikabiri kwenye ndoa yangu.

Mimi na mke wangu tuna miaka 6 ndani ya ndoa yetu, miaka mi 5 ya nyuma mambo yalikuwa safi kabisa, ila huu mwaka wa 6 umekuwa na heka heka nyingi mno.

Mambo ni mengi sana ila Leo tuanzie hapa.

MKE WANGU ANANIONA MIMI NI MZEE KWAKE
Mimi na yeye tumepisha umri wa miaka 6 yaani nimempita miaka 6 ya kuzaliwa

LEO ananiambia "wewe umenipita miaka mingi sana, yaani miaka 6 ni mingi sana, ilitakiwa angalau unipite miaka 2, wewe ni mkubwa sana kwangu, ilitakiwa tupishane miaka 2, ulinioa nikiwa mdogo, kwani hukujua kuwa umenipita miaka mingi."

Mimi nilikaa zangu kimya nikitafakari maneno yake, inanishangaza kuniona Mimi ni mzee Kwake, najiuliza maswali kama Leo sijafikisha hata miaka 40 lakini ananiona age go, je? Uzeeni si ataninyanyasa sana.

Nasubiri maoni yenu wakuu, nilipanga nimuwezeshe kibiashara lakini naona bora nimuache awe mama wa nyumbani tuu, na hiyo pesa ya mtaji Bora nimtumie mama yangu aitafune taratibu.

NB: Umri wangu Mimi ni miaka 34 na yeye umri wake ni miaka 28
Mke wangu nimemzidi 17 yrs. Nikijiita mi mhenga au mzee huwa anakasirika sana, anasema mimi bado ni kijana. Mara nyingi huwq tunaingozana sehemu mbalimbali. Nikijiangalia nywele zangu za kichwani na kidevuni zimeanza kubadilika rangi kwa kasi sana. I'm 48 yrs old lkn kwake mi bado ni kijana. Kupendwa raha sana.

Huyo wako ana lake la moyoni
 
Back
Top Bottom