Ndoa yangu ina hali tete

Na huu ndio ukweli maana tofauti ya miaka 6 hawezi kuongea hivyo labda kama ilikuwa kwenye muktadha wa kimasihara ila kama alikuwa serious basi sababu ni hii bila kupepesa macho. Kuna mahali jemedari anatuangusha
Kabisa mwamba kuna mahali anakwama...oh man eat that thing and left no crumbs onhooo shauri yenu...boda boda wanaongezeka siku hizi
 
Ni hilo tu au kuna jingine umetuficha?
Umri wako unamuathiri nini yeye?
Ukute kuna mahali hujagusa na ameguswa na mtu huko mtaani basi anakuona wewe ajuza
Angalia ulipokosea urekebishe mkuu
Umalaya tu ilikuaje aguswe na ni mke wa mtu. Malaya hakosi cha kusingizia cku zote
 
Umemaliza kila kitu, uzi ufungwe.
 
Mmmh sio kuanzia 45?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa had mbavu zinauma, lol
 

Kashadanganywa saluni huyo.
 
Pakia mkongo huyooo kuna kijana tayari kaunganisha bao 2 kwa 1.........sasa anakuona huna jipya ...........nasema pakia mkongo sugua hiyo papa mpaka akumbuke siku aliyotolewa usichana wake............atapata adabu yake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Achapiwe mara ngapi mwambie ukweli kakutana na vijana wadogo wanasimamia mpaka kucha ndio maana ana muona jamaa yetu mzee[emoji23] vijana wadogo wanasimamia kucha kama wapo kwenye mashindano ya kugombania kombe la Dunia [emoji23]
Mbavu zangu mie. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…