Don't ever try to hold it!!.....Let her go
Wanawake WAPUMBAVU wenye mshahara, ukiwa umekwama kiuchumi ,ubongo wao huwaaminisha kua Wewe sio msaada tena kwao na Hivo anauwezo wa kujiendeshea maisha, na akipata Bwana mwingine wa kumsaidia basi atafika mbali..
Wanawake wapumbavu atataka muachane ili awe huru kwenye Bar, afanye matendo wanayofanya waschana...
Wanawake hawa wapumbavu, hawana Hofu ya Mungu.
Ninamjua mmoja, alifunga ndoa na Mumewe, bahati mbaya jamaa ni Injinia, hapa kati Kampun yao ilifilisika,,, Demu akachukua watoto na kuwapeleka kwao kwa wazazi wake..
Jamaa yake akaenda mkoa wa Jiran kuanzisha kakampuni..., Basi bwana huyu demu analiwaaa,, siunajua Ana Pesa ,magari n.k alafu umri miaka 33-35 , yaan mpaka juzi kati kaamua kuanza mchakato wa Kuvunja Ndoa.
Sasa unachopitia, ndo Jamaa anapitia. .
CHAKUFANYA....
Kama ni mimi, Ningehakikisha watoto nakua nao ,yaan niwachukue ( kama kiumri wako vzuri). .......huyo Demu wako ,akiwa nao, atawalishaga sumu kua wee ulikua mbaya mbayaa ulimtenda, watoto hawatokujua.
Pili, Ningeamua Kuachana naye bila hata kumwambia kua Ninakuachaa uendelee na yangu, UNGEMPOTEZEA ,UKIMPOTEZEA NA UKAPIGA KIMYA, UKIMYA NI SILAHA .
Tatu, ningendelea kujiboresha, kupambana, kutafuta kazi n.k , awe anasikia watoto wanakula, wanaishi vizuri, mnaenda kutembea nao, Yaan awe anakuona FB hukohuko kwenye mapicha picha.
Mwanamke ukishamzalisha watoto kuanzia wawili ,asikusumbue kwa kukoswa kwake akili.