Ndoa za Kanisani Zifutwe , tuwe na ndoa za Serikali tu, mauaji mengi

Ndoa za Kanisani Zifutwe , tuwe na ndoa za Serikali tu, mauaji mengi

Nashauri Ndoa za Kanisani ambazo hakuna kuachana mpaka kufa zifutuliwe mbali na badala yake tuanze na tuwe na ndoa za mahakamani tu ambapo mkuu wa wilaya hapo bomani anawafungisha ndoa, na ni rahisi sana kuitengua ndoa hii.

Kwakuwa mauaji ndoani yameshika Kasi ,ambayo yanasababishwa na hizi ndoa za milele.

Sasa ni wakati serikali kufuta ndoa hizi Ili watu waoane kiserikali na Kama ikitokea kufumaniana basi ni rahisi kuachana kabisa, na Nina uhakika ndoa hizi zitapunguza vifo.
Hoja yako haina mashiko! Mbona hao wana ndoa walio poteza maisha huko Mwanza walikuwa ni Waislam! Na dini yao inaruhusu talaka!

Na ukija kwa Wakristo, nao hawafungwi na hicho kifungo! Kuna jamaa zangu kibao tu walifunga ndoa kanisani, na baada ya kushindwana na wake zao! Walibwaga manyanga kwa njia ya amani kabisa.

Suala la mauaji ni la mtu mwenyewe! Kamwe dini isihusishwe.
 
Islam is the best way of life for everyone under the Sun

Welcome to the true Religion
Kwa hiyo yule Said na Swalha wa kule Mwanza walikuwa ni wakristo siyo! Ifikie wakati muache unafiki.
 
Nashauri Ndoa za Kanisani ambazo hakuna kuachana mpaka kufa zifutuliwe mbali na badala yake tuanze na tuwe na ndoa za mahakamani tu ambapo mkuu wa wilaya hapo bomani anawafungisha ndoa, na ni rahisi sana kuitengua ndoa hii.

Kwakuwa mauaji ndoani yameshika Kasi ,ambayo yanasababishwa na hizi ndoa za milele.

Sasa ni wakati serikali kufuta ndoa hizi Ili watu waoane kiserikali na Kama ikitokea kufumaniana basi ni rahisi kuachana kabisa, na Nina uhakika ndoa hizi zitapunguza vifo.
Mambo ya kanisa hayakuhusu
 
Ishu sio ndoa ifungwe wapi, hata ikifungwa wapi kama hamna akili mtauana tuu.
 
Yule Mama aliyetoa ushauri kuwa watoto wenu wakija kuwaambia Kuna tatizo kwenye ndoa yao muwe mnawasikiliza na kutatua, badala ya kuwarudisha na kuwaambia NDOA inataka uvumilivu rudi kwako

Hapana
Lazima suluhu iwepo na kama imeshindikana basi huwezi kuwa bullied maisha yote

Unakaa na mtu kwa miaka bila ndoa eti mnasomana tabia na watoto mmezaa
Baada ya miaka ndio unafunga ndoa then baada ya mda mambo yanaenda kombo kumuacha unashindwa kwa sababu zenu za imani au aibu

Yaani maisha haya
 
hii dini yenu ni kama biko au tatu mzuka,mnapenda kuinadi sana sijui tatizi ni nini!!!
Nenda kasome Uislamu hlf ndo utajua Uislamu ndo nini usipende kusikiliza ya mitandaoni.
 
Kwa hiyo yule Said na Swalha wa kule Mwanza walikuwa ni wakristo siyo! Ifikie wakati muache unafiki.
Kuna waislamu wanaofuata Uislamu sahihi na.kuna Waislamu jina tofautisha kati ya watu hawa wawili
Hlf ukianza kuleta mambo ya mauaji mbona nyie ndo mnaongoza kwa kuuwana!
 
Nenda kasome Uislamu hlf ndo utajua Uislamu ndo nini usipende kusikiliza ya mitandaoni.
uislam tunaujua kupitia waislamu.
si nyinyi husema Allah aliwaletea dini yenu ambayo ni uislamu???vipi tuujue kwa kuusoma kwa lugha na maandishi ambayo wengi hatujaelewi!!!

mumeagizwa kuilingania dini yenu kwa watu wengine,dini ina ofa kibao hata baada ya kifo kuna ofa za wali 72.kwani ni uongo kwamba mnainadi dini??
 
Kuna waislamu wanaofuata Uislamu sahihi na.kuna Waislamu jina tofautisha kati ya watu hawa wawili
Hlf ukianza kuleta mambo ya mauaji mbona nyie ndo mnaongoza kwa kuuwana!
Muislam jina na muislam safi unawatofautishaje,kuua mtu ni tofauti na kuua mtu sababu ya dini.

kichaa kama hamza mpaka risasi inamfikia kwa imani yake yeye ni mshindi kaipigana vita ya Allah.
 
uislam tunaujua kupitia waislamu.
si nyinyi husema Allah aliwaletea dini yenu ambayo ni uislamu???vipi tuujue kwa kuusoma kwa lugha na maandishi ambayo wengi hatujaelewi!!!

mumeagizwa kuilingania dini yenu kwa watu wengine,dini ina ofa kibao hata baada ya kifo kuna ofa za wali 72.kwani ni uongo kwamba mnainadi dini??
kwaio ukiisikia Nchi fulani midomoni mwa watu ndo umeisoma hiyo Nchi?
 
Muislam jina na muislam safi unawatofautishaje,kuua mtu ni tofauti na kuua mtu sababu ya dini.

kichaa kama hamza mpaka risasi inamfikia kwa imani yake yeye ni mshindi kaipigana vita ya Allah.
Ata hueleweki kijana
embu nenda ukanyonye kwanza
 
Yafutwe kwanza mapenzi ... ..

Maana huwezi muonea wivu mpaka kumuua mtu usiempenda kweli..hii haina ndoa za wapi Wala nini...

Yafutwe mapenzi .. maana wanauana hata wasio na ndoa!
 
Back
Top Bottom