Ndoa za Kikristo chali (Zimekufa) Je, Kanisa limekosa msaada?

Ndoa za Kikristo chali (Zimekufa) Je, Kanisa limekosa msaada?

nzalendo

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2009
Posts
12,106
Reaction score
12,916
Ukweli mchungu, wengi wanaishi na maumivu mioyoni mwao....

chanzo ni malezi...malezi si kumpeleka mtoto shule nzuri tu na kumpatia mahitaji muhimu bali kumfundisha mtoto KUMCHA MUNGU,,,

Tizameni upande wa pili kwa watoto wa mama mdogo(watoto wa Hajiri/Hagar)...wao bize na madrasa,,,,unafikiri ni kwa nini? ,,,,,,na ukifuatilia maisha yao hasa ya ndoa na malezi ya familia wako vizuri sana.,,

Haya huku kanisani vipii mbona watoto hawaendi kanisani??? ati wako Twisheni....Twisheni??? Maisha hayataki A's.....wala kufaulu Shule.....Maisha yanataka kumcha Bwana/Mungu

Kwa yeyote anaye MCHA MUNGU hakika hufanikiwa.

Kuibuka kwa Makanisa ya mbogamboga ni matokeo ya kufa kwa NDOA ZA KIKRISTO.
Kwanini? kwa sababu KANISA limekosa msaada.

Kwa Mfano mtu NDOA ya Kikatoliki ikimshinda huyoo anatimkia kwa hao ambao si vyema kuwataja hapa.

Wanawake wengi ndio wahanga wa sakata hili kwa kuzurura kwenye makanisa ya mbogamboga wakidhani msaada utapatikana huko...kwa sisi wanaume kuna mawili aidha uendelee kubaki hapo kanisani au usiende kanisani kabisa.

Wengine wanaishi nyumba moja kwa huku nje wanaonekana wako sawa lakini huko ndani kila mtu na chumba chake.......au kama wako chumba kimoja ni mzungu wawili au mmoja chini mwingine kitandani ili watoto wasijue.

Mama mkwe ni balaa lingine katika misukosuko ya NDOA na mara nyingi hii inasababishwa na MALI.....hapa naomba nisizungumzie sana manake mifano mingi ni ya uchungu na maumivu sitaki niwatonyeshe baadhi yenu mpo humu.

Kwa nini nasema kanisa limeshindwa?? hii ni kutokana na hali ya Dunia kwa sasa Maaskofu, Wachungaji na Mapadre hasa wa nchi za Magharibi kwa sasa wanafungisha ndoa za JINSIA moja tena ndani ya kanisa MADHABAHUNI.....hii ni laana na machukizo makubwa,,,,,na haya yote yanasababishwa na nini???? JIBU NI........wameacha KUMCHA BWANA.

Kanisa limeshindwa kukemea dhambi ya ushoga ndio maana laana inaanza kutafuna NDOA kwa sababu NDOA ni MPANGO WA MUNGU wala si wa MWANADAMU......

Kanisa ni mwili wa KRISTO haya yanayoendelea ni dhihaka kubwa na matukano mbele za MUNGU....SODOMA na GOMORA ilipigwa sababu ya aina hii ya dhambi,,,,

Watu wanachukulia poa lakini kipigo kimesha anza MAUMIVU YA NDOA ndani ya mioyo ya watu ni MAKUBWA SANA SANA.

TALAKA kwa NDOA ya Kikristo limekuwa ni jambo la kawaida sana,,,,,maandiko yanasemaje?? MUNGU anachukia TALAKA sasa yanayoendelea kwa sasa ni AIBU ya namna gani hiii???

Kwa wale wanaoruhusiwa TALAKA na kuoa wake wengi mbona wanastawi???,,,,,,,,,Je? wao wanamcha BWANA? jibu ni NDIO......angalia familia zao..... angalia biashara zao....... Elimu ya Twisheni hawana lakini ya madrasa wanayo sasa hapo kipi muhimu?? KUMCHA BWANA.

Hali kadhalika kwa wanaoenda Sunday school na wanaozingatia mafundisho katika makanisa rasmi mbona hufanikiwa???Tazama kwa wale wasio kwenda kanisani wengi ni wasomi lakini familia kwishnei mtu ana Phd, lakini yuko Mbulu anakunywa gongo.....kwa nini?...kwa sababu wamekataa KUMCHA BWANA.

HII NI KWA KIFUPI SANAAA.
 
Ndoa na kanisa ni imported concepts kutoka kwa wakoloni wa zamani kwa ujumla wake so tumeanza kurudi kwenye senses zetu baada ya ukoloni mkongwe na kizazi kilichofuata kuelekea kuisha, miaka michache ijayo itakua vishafutika kabisa vyote na kubaki kwenye historia
 
Ukweli mchungu, wengi wanaishi na maumivu mioyoni mwao....

chanzo ni malezi...malezi si kumpeleka mtoto shule nzuri tu na kumpatia mahitaji muhimu bali kumfundisha mtoto KUMCHA MUNGU,,,

Tizameni upande wa pili kwa watoto wa mama mdogo(watoto wa Hajiri/Hagar)...wao bize na madrasa,,,,unafikiri ni kwa nini? ,,,,,,na ukifuatilia maisha yao hasa ya ndoa na malezi ya familia wako vizuri sana.,,

Haya huku kanisani vipii mbona watoto hawaendi kanisani??? ati wako Twisheni....Twisheni??? Maisha hayataki A's.....wala kufaulu Shule.....Maisha yanataka kumcha Bwana/Mungu

Kwa yeyote anaye MCHA MUNGU hakika hufanikiwa.

Kuibuka kwa Makanisa ya mbogamboga ni matokeo ya kufa kwa NDOA ZA KIKRISTO.
Kwanini? kwa sababu KANISA limekosa msaada.

Kwa Mfano mtu NDOA ya Kikatoliki ikimshinda huyoo anatimkia kwa hao ambao si vyema kuwataja hapa.

Wanawake wengi ndio wahanga wa sakata hili kwa kuzurura kwenye makanisa ya mbogamboga wakidhani msaada utapatikana huko...kwa sisi wanaume kuna mawili aidha uendelee kubaki hapo kanisani au usiende kanisani kabisa.

Wengine wanaishi nyumba moja kwa huku nje wanaonekana wako sawa lakini huko ndani kila mtu na chumba chake.......au kama wako chumba kimoja ni mzungu wawili au mmoja chini mwingine kitandani ili watoto wasijue.

Mama mkwe ni balaa lingine katika misukosuko ya NDOA na mara nyingi hii inasababishwa na MALI.....hapa naomba nisizungumzie sana manake mifano mingi ni ya uchungu na maumivu sitaki niwatonyeshe baadhi yenu mpo humu.

Kwa nini nasema kanisa limeshindwa?? hii ni kutokana na hali ya Dunia kwa sasa Maaskofu, Wachungaji na Mapadre hasa wa nchi za Magharibi kwa sasa wanafungisha ndoa za JINSIA moja tena ndani ya kanisa MADHABAHUNI.....hii ni laana na machukizo makubwa,,,,,na haya yote yanasababishwa na nini???? JIBU NI........wameacha KUMCHA BWANA.

Kanisa limeshindwa kukemea dhambi ya ushoga ndio maana laana inaanza kutafuna NDOA kwa sababu NDOA ni MPANGO WA MUNGU wala si wa MWANADAMU......

Kanisa ni mwili wa KRISTO haya yanayoendelea ni dhihaka kubwa na matukano mbele za MUNGU....SODOMA na GOMORA ilipigwa sababu ya aina hii ya dhambi,,,,

Watu wanachukulia poa lakini kipigo kimesha anza MAUMIVU YA NDOA ndani ya mioyo ya watu ni MAKUBWA SANA SANA.

TALAKA kwa NDOA ya Kikristo limekuwa ni jambo la kawaida sana,,,,,maandiko yanasemaje?? MUNGU anachukia TALAKA sasa yanayoendelea kwa sasa ni AIBU ya namna gani hiii???

Kwa wale wanaoruhusiwa TALAKA na kuoa wake wengi mbona wanastawi???,,,,,,,,,Je? wao wanamcha BWANA? jibu ni NDIO......angalia familia zao..... angalia biashara zao....... Elimu ya Twisheni hawana lakini ya madrasa wanayo sasa hapo kipi muhimu?? KUMCHA BWANA.

Hali kadhalika kwa wanaoenda Sunday school na wanaozingatia mafundisho katika makanisa rasmi mbona hufanikiwa???Tazama kwa wale wasio kwenda kanisani wengi ni wasomi lakini familia kwishnei mtu ana Phd, lakini yuko Mbulu anakunywa gongo.....kwa nini?...kwa sababu wamekataa KIMCHA BWANA.

HII NI KWA KIFUPI SANAAA.
Kila kitu kina misingi ya tangu kale, ikikiukwa kinaporomoka.

Jeahi bado lina misingi na kanuni za kikale ndio maana taasisi ya jeahi haijatetereka.

Waislamu bado wana misingi ya kikale ndio maana taasisi ya ndoa zao bado zina uhai

Sisi wakristo tunavumbishwa na umagharibi
 
Kila kitu kina misingi ya tangu kale, ikikiukwa kinaporomoka.

Jeahi bado lina misingi na kanuni za kikale ndio maana taasisi ya jeahi haijatetereka.

Waislamu bado wana misingi ya kikale ndio maana taasisi ya ndoa zao bado zina uhai

Sisi wakristo tunavumbishwa na umagharibi
Kabisa
Hasa haya mambo ya usawa mwanamke hawezi kuwa sawa na mwanaume na ndiyo matokeo ya single mothers.
 
Ukweli mchungu, wengi wanaishi na maumivu mioyoni mwao....

chanzo ni malezi...malezi si kumpeleka mtoto shule nzuri tu na kumpatia mahitaji muhimu bali kumfundisha mtoto KUMCHA MUNGU,,,

Tizameni upande wa pili kwa watoto wa mama mdogo(watoto wa Hajiri/Hagar)...wao bize na madrasa,,,,unafikiri ni kwa nini? ,,,,,,na ukifuatilia maisha yao hasa ya ndoa na malezi ya familia wako vizuri sana.,,

Haya huku kanisani vipii mbona watoto hawaendi kanisani??? ati wako Twisheni....Twisheni??? Maisha hayataki A's.....wala kufaulu Shule.....Maisha yanataka kumcha Bwana/Mungu

Kwa yeyote anaye MCHA MUNGU hakika hufanikiwa.

Kuibuka kwa Makanisa ya mbogamboga ni matokeo ya kufa kwa NDOA ZA KIKRISTO.
Kwanini? kwa sababu KANISA limekosa msaada.

Kwa Mfano mtu NDOA ya Kikatoliki ikimshinda huyoo anatimkia kwa hao ambao si vyema kuwataja hapa.

Wanawake wengi ndio wahanga wa sakata hili kwa kuzurura kwenye makanisa ya mbogamboga wakidhani msaada utapatikana huko...kwa sisi wanaume kuna mawili aidha uendelee kubaki hapo kanisani au usiende kanisani kabisa.

Wengine wanaishi nyumba moja kwa huku nje wanaonekana wako sawa lakini huko ndani kila mtu na chumba chake.......au kama wako chumba kimoja ni mzungu wawili au mmoja chini mwingine kitandani ili watoto wasijue.

Mama mkwe ni balaa lingine katika misukosuko ya NDOA na mara nyingi hii inasababishwa na MALI.....hapa naomba nisizungumzie sana manake mifano mingi ni ya uchungu na maumivu sitaki niwatonyeshe baadhi yenu mpo humu.

Kwa nini nasema kanisa limeshindwa?? hii ni kutokana na hali ya Dunia kwa sasa Maaskofu, Wachungaji na Mapadre hasa wa nchi za Magharibi kwa sasa wanafungisha ndoa za JINSIA moja tena ndani ya kanisa MADHABAHUNI.....hii ni laana na machukizo makubwa,,,,,na haya yote yanasababishwa na nini???? JIBU NI........wameacha KUMCHA BWANA.

Kanisa limeshindwa kukemea dhambi ya ushoga ndio maana laana inaanza kutafuna NDOA kwa sababu NDOA ni MPANGO WA MUNGU wala si wa MWANADAMU......

Kanisa ni mwili wa KRISTO haya yanayoendelea ni dhihaka kubwa na matukano mbele za MUNGU....SODOMA na GOMORA ilipigwa sababu ya aina hii ya dhambi,,,,

Watu wanachukulia poa lakini kipigo kimesha anza MAUMIVU YA NDOA ndani ya mioyo ya watu ni MAKUBWA SANA SANA.

TALAKA kwa NDOA ya Kikristo limekuwa ni jambo la kawaida sana,,,,,maandiko yanasemaje?? MUNGU anachukia TALAKA sasa yanayoendelea kwa sasa ni AIBU ya namna gani hiii???

Kwa wale wanaoruhusiwa TALAKA na kuoa wake wengi mbona wanastawi???,,,,,,,,,Je? wao wanamcha BWANA? jibu ni NDIO......angalia familia zao..... angalia biashara zao....... Elimu ya Twisheni hawana lakini ya madrasa wanayo sasa hapo kipi muhimu?? KUMCHA BWANA.

Hali kadhalika kwa wanaoenda Sunday school na wanaozingatia mafundisho katika makanisa rasmi mbona hufanikiwa???Tazama kwa wale wasio kwenda kanisani wengi ni wasomi lakini familia kwishnei mtu ana Phd, lakini yuko Mbulu anakunywa gongo.....kwa nini?...kwa sababu wamekataa KIMCHA BWANA.

HII NI KWA KIFUPI SANAAA.
Acha mbwembwe, fuatilia takwimu za ndoa zenj,uone balaaa, ndio ni zaidi ya dini
 
Acha mbwembwe, fuatilia takwimu za ndoa zenj,uone balaaa, ndio ni zaidi ya dini
Pia fuatilia takwimu za single mothers asili yao ni kanisani au msikitini ndio uelewe hizi mbwembwe ni za kheri au za shari
 
. Tafuta hela kijana... Mambo ya Dini achana nayo..


. NA waislam mnaongoza kulea watoto ambao sio wenu kwenye familia zenu..... ( vijana wanawa..mbea sana wake zenu na mimba juu )
 
Ukweli mchungu, wengi wanaishi na maumivu mioyoni mwao....

chanzo ni malezi...malezi si kumpeleka mtoto shule nzuri tu na kumpatia mahitaji muhimu bali kumfundisha mtoto KUMCHA MUNGU,,,

Tizameni upande wa pili kwa watoto wa mama mdogo(watoto wa Hajiri/Hagar)...wao bize na madrasa,,,,unafikiri ni kwa nini? ,,,,,,na ukifuatilia maisha yao hasa ya ndoa na malezi ya familia wako vizuri sana.,,

Haya huku kanisani vipii mbona watoto hawaendi kanisani??? ati wako Twisheni....Twisheni??? Maisha hayataki A's.....wala kufaulu Shule.....Maisha yanataka kumcha Bwana/Mungu

Kwa yeyote anaye MCHA MUNGU hakika hufanikiwa.

Kuibuka kwa Makanisa ya mbogamboga ni matokeo ya kufa kwa NDOA ZA KIKRISTO.
Kwanini? kwa sababu KANISA limekosa msaada.

Kwa Mfano mtu NDOA ya Kikatoliki ikimshinda huyoo anatimkia kwa hao ambao si vyema kuwataja hapa.

Wanawake wengi ndio wahanga wa sakata hili kwa kuzurura kwenye makanisa ya mbogamboga wakidhani msaada utapatikana huko...kwa sisi wanaume kuna mawili aidha uendelee kubaki hapo kanisani au usiende kanisani kabisa.

Wengine wanaishi nyumba moja kwa huku nje wanaonekana wako sawa lakini huko ndani kila mtu na chumba chake.......au kama wako chumba kimoja ni mzungu wawili au mmoja chini mwingine kitandani ili watoto wasijue.

Mama mkwe ni balaa lingine katika misukosuko ya NDOA na mara nyingi hii inasababishwa na MALI.....hapa naomba nisizungumzie sana manake mifano mingi ni ya uchungu na maumivu sitaki niwatonyeshe baadhi yenu mpo humu.

Kwa nini nasema kanisa limeshindwa?? hii ni kutokana na hali ya Dunia kwa sasa Maaskofu, Wachungaji na Mapadre hasa wa nchi za Magharibi kwa sasa wanafungisha ndoa za JINSIA moja tena ndani ya kanisa MADHABAHUNI.....hii ni laana na machukizo makubwa,,,,,na haya yote yanasababishwa na nini???? JIBU NI........wameacha KUMCHA BWANA.

Kanisa limeshindwa kukemea dhambi ya ushoga ndio maana laana inaanza kutafuna NDOA kwa sababu NDOA ni MPANGO WA MUNGU wala si wa MWANADAMU......

Kanisa ni mwili wa KRISTO haya yanayoendelea ni dhihaka kubwa na matukano mbele za MUNGU....SODOMA na GOMORA ilipigwa sababu ya aina hii ya dhambi,,,,

Watu wanachukulia poa lakini kipigo kimesha anza MAUMIVU YA NDOA ndani ya mioyo ya watu ni MAKUBWA SANA SANA.

TALAKA kwa NDOA ya Kikristo limekuwa ni jambo la kawaida sana,,,,,maandiko yanasemaje?? MUNGU anachukia TALAKA sasa yanayoendelea kwa sasa ni AIBU ya namna gani hiii???

Kwa wale wanaoruhusiwa TALAKA na kuoa wake wengi mbona wanastawi???,,,,,,,,,Je? wao wanamcha BWANA? jibu ni NDIO......angalia familia zao..... angalia biashara zao....... Elimu ya Twisheni hawana lakini ya madrasa wanayo sasa hapo kipi muhimu?? KUMCHA BWANA.

Hali kadhalika kwa wanaoenda Sunday school na wanaozingatia mafundisho katika makanisa rasmi mbona hufanikiwa???Tazama kwa wale wasio kwenda kanisani wengi ni wasomi lakini familia kwishnei mtu ana Phd, lakini yuko Mbulu anakunywa gongo.....kwa nini?...kwa sababu wamekataa KIMCHA BWANA.

HII NI KWA KIFUPI SANAAA.
Usiniambie nyinyi Waislam ndoa zenu hazivunjiki! Hakuna kupeana talaka!! Nyinyi ni wati wenye maadili sana kuliko Wakristo, kisa tu watoto wenu wanapitia madrasa!! Hamjihusishi na vitendo vya ushoga, nk!!
 
Ukweli mchungu, wengi wanaishi na maumivu mioyoni mwao....

chanzo ni malezi...malezi si kumpeleka mtoto shule nzuri tu na kumpatia mahitaji muhimu bali kumfundisha mtoto KUMCHA MUNGU,,,

Tizameni upande wa pili kwa watoto wa mama mdogo(watoto wa Hajiri/Hagar)...wao bize na madrasa,,,,unafikiri ni kwa nini? ,,,,,,na ukifuatilia maisha yao hasa ya ndoa na malezi ya familia wako vizuri sana.,,

Haya huku kanisani vipii mbona watoto hawaendi kanisani??? ati wako Twisheni....Twisheni??? Maisha hayataki A's.....wala kufaulu Shule.....Maisha yanataka kumcha Bwana/Mungu

Kwa yeyote anaye MCHA MUNGU hakika hufanikiwa.

Kuibuka kwa Makanisa ya mbogamboga ni matokeo ya kufa kwa NDOA ZA KIKRISTO.
Kwanini? kwa sababu KANISA limekosa msaada.

Kwa Mfano mtu NDOA ya Kikatoliki ikimshinda huyoo anatimkia kwa hao ambao si vyema kuwataja hapa.

Wanawake wengi ndio wahanga wa sakata hili kwa kuzurura kwenye makanisa ya mbogamboga wakidhani msaada utapatikana huko...kwa sisi wanaume kuna mawili aidha uendelee kubaki hapo kanisani au usiende kanisani kabisa.

Wengine wanaishi nyumba moja kwa huku nje wanaonekana wako sawa lakini huko ndani kila mtu na chumba chake.......au kama wako chumba kimoja ni mzungu wawili au mmoja chini mwingine kitandani ili watoto wasijue.

Mama mkwe ni balaa lingine katika misukosuko ya NDOA na mara nyingi hii inasababishwa na MALI.....hapa naomba nisizungumzie sana manake mifano mingi ni ya uchungu na maumivu sitaki niwatonyeshe baadhi yenu mpo humu.

Kwa nini nasema kanisa limeshindwa?? hii ni kutokana na hali ya Dunia kwa sasa Maaskofu, Wachungaji na Mapadre hasa wa nchi za Magharibi kwa sasa wanafungisha ndoa za JINSIA moja tena ndani ya kanisa MADHABAHUNI.....hii ni laana na machukizo makubwa,,,,,na haya yote yanasababishwa na nini???? JIBU NI........wameacha KUMCHA BWANA.

Kanisa limeshindwa kukemea dhambi ya ushoga ndio maana laana inaanza kutafuna NDOA kwa sababu NDOA ni MPANGO WA MUNGU wala si wa MWANADAMU......

Kanisa ni mwili wa KRISTO haya yanayoendelea ni dhihaka kubwa na matukano mbele za MUNGU....SODOMA na GOMORA ilipigwa sababu ya aina hii ya dhambi,,,,

Watu wanachukulia poa lakini kipigo kimesha anza MAUMIVU YA NDOA ndani ya mioyo ya watu ni MAKUBWA SANA SANA.

TALAKA kwa NDOA ya Kikristo limekuwa ni jambo la kawaida sana,,,,,maandiko yanasemaje?? MUNGU anachukia TALAKA sasa yanayoendelea kwa sasa ni AIBU ya namna gani hiii???

Kwa wale wanaoruhusiwa TALAKA na kuoa wake wengi mbona wanastawi???,,,,,,,,,Je? wao wanamcha BWANA? jibu ni NDIO......angalia familia zao..... angalia biashara zao....... Elimu ya Twisheni hawana lakini ya madrasa wanayo sasa hapo kipi muhimu?? KUMCHA BWANA.

Hali kadhalika kwa wanaoenda Sunday school na wanaozingatia mafundisho katika makanisa rasmi mbona hufanikiwa???Tazama kwa wale wasio kwenda kanisani wengi ni wasomi lakini familia kwishnei mtu ana Phd, lakini yuko Mbulu anakunywa gongo.....kwa nini?...kwa sababu wamekataa KIMCHA BWANA.

HII NI KWA KIFUPI SANAAA.
Ndoa za dini zote tu zipo mashakani
 
Ndoa za dini zote tu zipo mashakani
Basi kipengele cha NDOA bora tufante kama babu zetu
Babu yangu alikuwa ni Mkristo lakini alikuwa na wake rasmi wawili na wasio rasmi wawili,,,,,,na wote walipendana,waliheshimiana na kushirikiana.
 
Basi kipengele cha NDOA bora tufante kama babu zetu
Babu yangu alikuwa ni Mkristo lakini alikuwa na wake rasmi wawili na wasio rasmi wawili,,,,,,na wote walipendana,waliheshimiana na kushirikiana.
Ufumbuzi hauna jibu moja
 
Ungana Nami kuungama Jumapili kuwa nimetenda jambo baya sana kuachanisha Ndoa ya kikristu sasa mwanandoa atapata wapi mke mwingine!? ya kanisa katoliki aka Vatican City
 
. Tafuta hela kijana... Mambo ya Dini achana nayo..


. NA waislam mnaongoza kulea watoto ambao sio wenu kwenye familia zenu..... ( vijana wanawa..mbea sana wake zenu na mimba juu )
Wee kuna mwanaune ga i hatombewiii demu au mke wake tz hii?
Wee kama hutaki mkeo tumgegede hakikisha unahamia kabul, herat jalalbad au kandahar.
 
Kila kitu kina misingi ya tangu kale, ikikiukwa kinaporomoka.

Jeahi bado lina misingi na kanuni za kikale ndio maana taasisi ya jeahi haijatetereka.

Waislamu bado wana misingi ya kikale ndio maana taasisi ya ndoa zao bado zina uhai

Sisi wakristo tunavumbishwa na umagharibi
Uhai upi mkuu? Yaani ndoa za mitala ndo kwenye uhai?🤔
 
. Tafuta hela kijana... Mambo ya Dini achana nayo..


. NA waislam mnaongoza kulea watoto ambao sio wenu kwenye familia zenu..... ( vijana wanawa..mbea sana wake zenu na mimba juu )

Kitanda hakizai haramu, wewe umejuaje kama ni mtoto halisi wa unayemuita baba yako?- Hebu siku moja kamuulize mama yako akuhakikishie!
 
Ndoa ikushinde usingizie kanisa fulani, HUO NI UJINGA.
Mtoa mada hujielewi, Mke hawi bora akijua naweza kupewa taraka, Viumbe wa sasa Hawaogopi Taraka
🤣🙏🙏
Nimeshangaa jmn

Yaani eti wale wa mitala ndo wanapatia malezi asijue kuwa ht za kikristo za mke mmoja zinapigwa Ili ziangukie kwenye mitala!
Hajui chochote huyu
 
Back
Top Bottom