Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh,
Hao wanaitilafu yyte mkuu? Ya viungo au magonjwa? Naomba majibu.Duh,
Ila kuna hatari fulani kiafya hasa kuhusiana na hitilafu za viungo, nk, au magonjwa ya kurithi
Ebu tuoneshe source ya utafiti wako sio unaleta mambo yako ya imani na mila za jamii yakoMatokeo yake mnazaa watoto wadumavu wa akili
Hapo wewe ndio huelewi.Hiyo Mgeituf ni kabila sio jina la ukoo.Waarabu huwa wanatumia sana mwisho wa majina yao,kuandika kabila la kiarabu,wengi hawafahamu kuwa waarabu ni kusema kama mwafrika,halafu hao waarabu wana makabila ,kama msukuma,mchaga,mdigo,msambaa,ni kama kuamdika Hemed Ali Shemfuko,huyo ni.
Waarabu kama wapare .Hapo wewe ndio huelewi.Hiyo Mgeituf ni kabila sio jina la ukoo.Waarabu huwa wanatumia sana mwisho wa majina yao,kuandika kabila la kiarabu,wengi hawafahamu kuwa waarabu ni kusema kama mwafrika,halafu hao waarabu wana makabila ,kama msukuma,mchaga,mdogo,msambaa,ni kama kuamdika Hemed Ali Shemfuko,huyo ni.msambaa,kwa hiyo inakuwa wepesi kujua ni wa kabila gani.Kwa waarabu unaweza kuona wanatunia Bahoza,Bakheresa nk,unajuwa hawa ni kabila lipi.
UISLAM ndio umehalalishaWaarabu kama wapare .
Wapare nao huchukua ubini ktoka eneo wanalotoka.Mfano Msangi ninwanaotokea Usangi,Mgweno anayetokea Ugweno, Mchome anayetokea Chome nk
Hivyo waweza shangaa kijana wa kiume Msangi anao binti meenye la ukoo Msangi pia
Kifupi Waarabu na wapare akili kichwani hamna
Binhiyo jamii ni wabinafsi
unaamini hilo likitabu..? sawa kasome kaini baada yakufukuzwa kwa wazazi wake alienda kuoa wapi.Watoto wa Adam na hawa waliona vipi?
Bin