Ndoa za siku hizi

Ntake radhi ZD, sincerely. Sijawahi wale sitegemei kuwadanganya makomredi wenzangu. Nakupa masaa 24 vinginevyo tutakutana court of law.

Plzzzzzzzzzzz nisamehe my dear brother,mwenzio huko court law sio kwema.Plz ntakupa na zawadi forgive me!
 
Plzzzzzzzzzzz nisamehe my dear brother,mwenzio huko court law sio kwema.Plz ntakupa na zawadi forgive me!

Hiyo red nikivua miwani inasomeka bradha, nikivaa inasomeka darling. Naipenda sana miwani yangu. You are forgiven darling. Nathubiri dhawadi chacha......
 
Mhhh mashahidi tupo!

Mchungaji bora ni yule anayewaacha kondoo 99 na kumtafuta kondoo mmoja aliyepotea ili amrudishe kundini. Ahsante kwa kushuhudia mchungaji mwema.
 
A aa mimi sijafika huko kwa kuolewa na ma she, mume wangu ni wa kiume aka he

Sasa ni He gani hapendi kufuliwa chupi yake na she? Ooh sorry, nimesahau, hivi wewe ni he au she?
 
Plzzzzzzzzzzz nisamehe my dear brother,mwenzio huko court law sio kwema.Plz ntakupa na zawadi forgive me!


Hiyo Zawadi akitaka atumie na rafiki zake kuna shida kwako? maana kizuri kula ndunguzo...hatuna wivu sisi!
 


well said ma bro.....ungekuwa karibu yangu tunge share hii ballantine hapa.
 
Hiyo Zawadi akitaka atumie na rafiki zake kuna shida kwako? maana kizuri kula ndunguzo...hatuna wivu sisi!

Inategemea na uzuri wenyewe. Kuna vingine vizuri ni sumu kwa nduguzo. Hahahaha! Mpwa natania, nikipata nauli ntakukatia na wewe tiketi.
 
at last nitalazimika kufanya ngono na beki-tatu kama ''AHSANTE KWA KUNIJALI''.huyu mwanamke atabak analia lia tu mara mumewe muhuni,mara hausigeli muhuni wakati yeye ndiye chanzo
Geof , that is ur mentality en no body can change that other than urself,

Ila nikirudi kwenye mada Kaka Kilambi yuko sahihi baadhi ya maeneo na maeneo mengine anahitaji kusahihishwa kama alivyotanguliza kusema yeye mwenyewe.
maeneo ambayo mie nadhani yuko sahihi pale mama mwenye nyumba anapomwachia maid afue vyupi or boxers za mumewe, amtayarishie maji ya kuoga mumewe( mie naoga na mume wangu kila siku so sio kwamba ntakuwa namtayarishia maji ya kuoga ni kwamba natayarisha maji ya kuoga sote), ila jambo kubwa zaidi nadhani wanawake wengi tunakosea ni kumuachia maid awe mwangalizi wa mtoto uwepo usiwepo mtoto anaumwa maid ndio akumbuke kumpa dawa kisa wewe uko kazini , ukiondoka asubuhi ukirudi nyumbani jioni mtoto kalala wewe hauko concerned , nadhani hapo tunawakosea sana watoto wetu, tunapoteza mapenzi ya watoto wetu kwetu bila ya kujitambua na khamishia hayo mapenzi ya mtoto kwa maid. kuna wazazi wengine huwa wananchosha pale wanapojisifia mbele za wageni 'mhhh mwanangu mie hata hanitaki anampenda dada yake tu hata nikirudi kazini hanijali' for me i see this mama is stupid coz anajisifia ujinga .
jamani tukubalini ukweli kwamba sometimes nature inatubeat no matter how much we want to try, huuu usawa tunaosema utatoka wapi wakati tumetoka kwenye mbavu zao plus tuanze na kurudisha nusu ya zile mahari ili na wao tuwe tumewalipia mahari kama wahindi wafanyavyo.
Don get me wrong sisemi wanawake tunatakiwa tufanye kila kazi anayofanya maid ila kuna zingine ziko private jamani,
ila linapokuja swala la kupika usafishaji wa nyumba (except ma bedroom) hapo tuwaachieni mameid kwasababu kiukweli huwezi kurudi kazini na kunza kupikia familia kila siku (japo famili yangu ndogo en that is wat i do kila siku unless tunadine out ,coz mie napenda kula vizuri na sio michemsho tuu). lakini ni ngumu na hassa kama mwanamke hana hobby na jiko.
pia akina baba wanatakiwa kuwasaidia wake zao leo nimetenga maji mie kesho watenga wewe, ukiona nimepitiwa kufua hizo boxers basi nisaidie mume wangu sina alama usoni kwamba lazima mie ila nafanya kwasababu ya mapenzi na heshima yangu juu yako, na pia watoto kuwafatilia afya na makuzi yao ni kazi yetu sote japo mimi naplay a big part.
Na hiii mentality ambayo wamama wengi tunayo kuwa hawa wasaidizi wetu wa nyumbani ndio wastahili kuachiwa kazi zote nyumbani bila kuwapa muda wa kupumzika , hiii mentality ni ya kitumwa zaidi . na wao ni binadamu kama sie mbona sisi tukiwa maofisini humu tunadai haki zote za wafanyakazi tena kwa maguvu na makelele? ukifanya kazi zaidi ya muda wa kazi wa kawaida tunadai overtime, tukifanya kazi muda wa mapumziko kama sundays tunadai overtime , mbona hawa wasaidizi wetu hatuwafikiriii hata kuwapa masaa mawili ya kupumzika ? hiiii sio fair kabisa na wao ni binadamu wanahitaji kuhurumiwa, plus na hiyo mishahara tunayowapa ndo kabisaaaaaaaaaaaa
 
Kwa kweli wasaidizi wa majumbani wanatusaidia sana. Muhimu ni sisi mabosi, kutojisahau na kuhakikisha kwamba anakuwa sehemu ya familia. Watoto wanapokuwa, apatiwe elimu ya ufundi stadi ili akawe msaada wa wazazi au ndugu zake; kwa mfano ufundi wa kushona nguo, kufuma guo,n.k . Hii ndo itakuwa pensheni nzuri kwake, na Mungu atawabariki.
 
Mfano Mzee alikuwa amepata ghafla tumbo la kuendesha sasa unakuta kuna mchuzi kwenye Boxer.....why not Washing Machine? Umenisoma bila shaka!

Hahahaha usiombe tumbo kufuluga alafu upo safarini dah
 
Inategemea na uzuri wenyewe. Kuna vingine vizuri ni sumu kwa nduguzo. Hahahaha! Mpwa natania, nikipata nauli ntakukatia na wewe tiketi.

Sasa akigundua mimi najua kuitumia hiyo Zawadi vizuri kuliko wewe ....akamua awe ananizawadia mimi itakuwaje mpwa?
 
well said ma bro.....ungekuwa karibu yangu tunge share hii ballantine hapa.

Nikivua miwani hiyo red inasomeka balantini. Nikiivaa inasomeka tiGo. Lol! Hii mawani naipenda sana.
 
Sasa akigundua mimi najua kuitumia hiyo Zawadi vizuri kuliko wewe ....akamua awe ananizawadia mimi itakuwaje mpwa?

Alimradi ishatumika................ Kuna wadogo zake bana. Mchungaji lazima abaki na wanakondoo wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…