Ndoa za siku hizi

Nadhani hujaijua vema harufu ya ugimbi uharo wa dume lililopitiliza kwa ulabu. Lol! Ulale?

hebu nifahamishe basi, ina maana hata nikisafisha na kubadilisha shuka huwa hio harufu itakuwepo tuu??
 
fidiel........wanaume..mnatakiwa..muwapende..wake..zenu.
angalau..ukitoka..nje..ukirudi..nyumbani..na..kipaketi..cha..karanga..😀
 
yah!naona thread imeshika kasi!
,shemasi krispin,rev masa,peroko fidel na katekista mimi(ambao tupo kama MAINVIZIBOZ)!yah mchakato unaendelea.

wafuatao ni kondoo wetu wema:
carmel,MwanajamiiOne, Triplets


mbarikiwe sana kondoo,na karibuni kwenye jumuiya ndogondogo pale tegeta by night(ni zamu ya mmoja wetu kusalia nyumbani kwake)

AMANI IWE NANYI
 

Mpwa tano kwa tatu itakuwaje? Nadhani aongezwe Ziondaughter na nyamayao. FL1 yuko bize na biashara ya mamalishe.Tahadhari: ZD ni mali ya shemasi.
 

......... Mwingine anakutishia unaninyima nitakwenda tafuta nje usinilaumu amha ina maana we huoni kama umenikosea!!! wanaume wengine bwana!
 
Good observation kaka. sometimes huwa wanafikiri women are machines.
 
haha hahaaaaaaaaa
 
hahahahahahahah!nimecheka hadi nikalia,hivi shemasi:

ZD NI HE,AU SHE?

Absolutely beautiful black African SHE with beautiful tits and tiGo. Kazi kwenu kugundua vipaji vyenu watumishi wenzangu.
 
BTW, Hivi taifa hili tutajenga saa ngapi kama tunashinda kwenye keyboard? just thinking loud!
 
lakini..unaweza..kusema..wanaume..si..kosa..lao
jamii..yetu..inawapa..kichwa..sana..hawa..viumbe!..mwanamme..afanye..chochote..hana..kosa
kidole..ananyooshewa..mwanamke
 
BTW, Hivi taifa hili tutajenga saa ngapi kama tunashinda kwenye keyboard? just thinking loud!

hivi wewe unapoteza muda kwenye keyboards?nilidhani unatumia blackberry kama krispini na mim?
 
BTW, Hivi taifa hili tutajenga saa ngapi kama tunashinda kwenye keyboard? just thinking loud!

Taifa limeshateketea hili. Acha tujivinjari. Hahahaha! Labda mpaka tununue mitambo ya Dowans. Mitambo haifanyi kazi, watu wanachezea keyboard kwa umeme wa tujenereta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…