no sijakasirika, wishful thinking ya mtu haiwezezi kuniharibia siku masa. Si unajua tena if wishes were horses.........................
malizia bas masa
Nadhani hujaijua vema harufu ya ugimbi uharo wa dume lililopitiliza kwa ulabu. Lol! Ulale?
You are so sweet, natamani siku moja uniibie penzi nikufikishe bahari ya saba!
If wishes were horses, then beggars would ride
Hapo vipi?
hebu nifahamishe basi, ina maana hata nikisafisha na kubadilisha shuka huwa hio harufu itakuwepo tuu??
Naona thread imesha potea anzisheni ingine
yah!naona thread imeshika kasi!
,shemasi krispin,rev masa,peroko fidel na katekista mimi(ambao tupo kama MAINVIZIBOZ)!yah mchakato unaendelea.
wafuatao ni kondoo wetu wema:
carmel,MwanajamiiOne, Triplets
mbarikiwe sana kondoo,na karibuni kwenye jumuiya ndogondogo pale tegeta by night(ni zamu ya mmoja wetu kusalia nyumbani kwake)
AMANI IWE NANYI
sema na wewe ma bro, limeejitokea huko limekuja na mavurugu kibao bado linataka chakula cha ucku...haaa mie ndio hata mguu cnyanyui cwezi kujiua kisa kumridhisha mwenzangu ambae anaonyesha kutonijali....mr analielewa hili hata kama tumekwaruzana basi ataanziaaaa mbaliiii mpaka afike...msamaha kibao.
Good observation kaka. sometimes huwa wanafikiri women are machines.hahaah Nyamayao mimi huwa najiuliza sana kama ni mkeo wawezaje kulala naye kitanda kimoja wakati hamuelewani? utawezaje kumega wakati mna beef? sasa ndo naanza kujua kwa nini wengi wao utasikia ooh mamsap kalala tu kama gogo hajishughulishi kumbe unamuudhi mwenyewe au unamchosha mwenyewe halafu unategemea baadaye akufurahie, na yeye anaamua tu kujilaza umalize shida zako basi alale zake, wewe ukitoka hapo unaanza oooh mbona hunichangamkii mara ooh una mwanaume mwingine nje kumbe kidudu mtu mwenyewe,
.Tahadhari: ZD ni mali ya shemasi.
haha hahaaaaaaaaasema na wewe ma bro, limeejitokea huko limekuja na mavurugu kibao bado linataka chakula cha ucku...haaa mie ndio hata mguu cnyanyui cwezi kujiua kisa kumridhisha mwenzangu ambae anaonyesha kutonijali....mr analielewa hili hata kama tumekwaruzana basi ataanziaaaa mbaliiii mpaka afike...msamaha kibao.
hahahahahahahah!nimecheka hadi nikalia,hivi shemasi:
ZD NI HE,AU SHE?
Du! Chriss, huyu atakuwa wa ngapi?Absolutely beautiful black African SHE with beautiful tits and tiGo. Kazi kwenu kugundua vipaji vyenu watumishi wenzangu.
BTW, Hivi taifa hili tutajenga saa ngapi kama tunashinda kwenye keyboard? just thinking loud!
BTW, Hivi taifa hili tutajenga saa ngapi kama tunashinda kwenye keyboard? just thinking loud!
Du! Chriss, huyu atakuwa wa ngapi?