Ndoa za siku hizi

Ndoa za siku hizi

Nadhani hujaijua vema harufu ya ugimbi uharo wa dume lililopitiliza kwa ulabu. Lol! Ulale?

hebu nifahamishe basi, ina maana hata nikisafisha na kubadilisha shuka huwa hio harufu itakuwepo tuu??
 
fidiel........wanaume..mnatakiwa..muwapende..wake..zenu.
angalau..ukitoka..nje..ukirudi..nyumbani..na..kipaketi..cha..karanga..😀
 
yah!naona thread imeshika kasi!
,shemasi krispin,rev masa,peroko fidel na katekista mimi(ambao tupo kama MAINVIZIBOZ)!yah mchakato unaendelea.

wafuatao ni kondoo wetu wema:
carmel,MwanajamiiOne, Triplets


mbarikiwe sana kondoo,na karibuni kwenye jumuiya ndogondogo pale tegeta by night(ni zamu ya mmoja wetu kusalia nyumbani kwake)

AMANI IWE NANYI
 
yah!naona thread imeshika kasi!
,shemasi krispin,rev masa,peroko fidel na katekista mimi(ambao tupo kama MAINVIZIBOZ)!yah mchakato unaendelea.

wafuatao ni kondoo wetu wema:
carmel,MwanajamiiOne, Triplets


mbarikiwe sana kondoo,na karibuni kwenye jumuiya ndogondogo pale tegeta by night(ni zamu ya mmoja wetu kusalia nyumbani kwake)

AMANI IWE NANYI

Mpwa tano kwa tatu itakuwaje? Nadhani aongezwe Ziondaughter na nyamayao. FL1 yuko bize na biashara ya mamalishe.Tahadhari: ZD ni mali ya shemasi.
 
sema na wewe ma bro, limeejitokea huko limekuja na mavurugu kibao bado linataka chakula cha ucku...haaa mie ndio hata mguu cnyanyui cwezi kujiua kisa kumridhisha mwenzangu ambae anaonyesha kutonijali....mr analielewa hili hata kama tumekwaruzana basi ataanziaaaa mbaliiii mpaka afike...msamaha kibao.

......... Mwingine anakutishia unaninyima nitakwenda tafuta nje usinilaumu amha ina maana we huoni kama umenikosea!!! wanaume wengine bwana!
 
hahaah Nyamayao mimi huwa najiuliza sana kama ni mkeo wawezaje kulala naye kitanda kimoja wakati hamuelewani? utawezaje kumega wakati mna beef? sasa ndo naanza kujua kwa nini wengi wao utasikia ooh mamsap kalala tu kama gogo hajishughulishi kumbe unamuudhi mwenyewe au unamchosha mwenyewe halafu unategemea baadaye akufurahie, na yeye anaamua tu kujilaza umalize shida zako basi alale zake, wewe ukitoka hapo unaanza oooh mbona hunichangamkii mara ooh una mwanaume mwingine nje kumbe kidudu mtu mwenyewe,
Good observation kaka. sometimes huwa wanafikiri women are machines.
 
sema na wewe ma bro, limeejitokea huko limekuja na mavurugu kibao bado linataka chakula cha ucku...haaa mie ndio hata mguu cnyanyui cwezi kujiua kisa kumridhisha mwenzangu ambae anaonyesha kutonijali....mr analielewa hili hata kama tumekwaruzana basi ataanziaaaa mbaliiii mpaka afike...msamaha kibao.
haha hahaaaaaaaaa
 
hahahahahahahah!nimecheka hadi nikalia,hivi shemasi:

ZD NI HE,AU SHE?

Absolutely beautiful black African SHE with beautiful tits and tiGo. Kazi kwenu kugundua vipaji vyenu watumishi wenzangu.
 
BTW, Hivi taifa hili tutajenga saa ngapi kama tunashinda kwenye keyboard? just thinking loud!
 
lakini..unaweza..kusema..wanaume..si..kosa..lao
jamii..yetu..inawapa..kichwa..sana..hawa..viumbe!..mwanamme..afanye..chochote..hana..kosa
kidole..ananyooshewa..mwanamke
 
BTW, Hivi taifa hili tutajenga saa ngapi kama tunashinda kwenye keyboard? just thinking loud!

hivi wewe unapoteza muda kwenye keyboards?nilidhani unatumia blackberry kama krispini na mim?
 
BTW, Hivi taifa hili tutajenga saa ngapi kama tunashinda kwenye keyboard? just thinking loud!

Taifa limeshateketea hili. Acha tujivinjari. Hahahaha! Labda mpaka tununue mitambo ya Dowans. Mitambo haifanyi kazi, watu wanachezea keyboard kwa umeme wa tujenereta.
 
Back
Top Bottom