vyovyote vile, la msingi ni kwamba haendi bar kwishney.
taratibu nyamayao usijepigana na keyboard
Namdawa karibu sana jamvini yaani hapa watu tunajenga na kubomoa hoja karibu sana hujachelewa na hujapitwa na kitu mama mimi ndo Baba Mtakatifu mwenyewe kwa hapa jamvini kuna mashemasi, kardinali, makatekista na waumini.
Na mimi ni mchungaji kiongozi(Senior pastor),naona hii huduma itanifaa si ndio Fidel?
Na mimi ni mchungaji kiongozi(Senior pastor),naona hii huduma itanifaa si ndio Fidel?
Kwa niaba ya Fidel, utakuja Tegeta by Night kwenye maombi leo? Watumishi wa Mungu wote tutakuwa pale.
Hahahaha ngoja niongee na mzee wa kanisa Chrispin mm nakukubali uwepo kundini.
Mchungaji kiongozi haalikwi,mimi si ndio mpanga maombi? na ndio mama maadili wa kurekebisha ndoa zinazolegalega.
Tupange semina ya wanandoa hapa JF,Utanisaidia kutoa neno.
hivi fidel na chris mmeoa?Mpwa, mkaribishe kwenye maombi yetu. Tegeta by Night au Kwenye Ibada Kimara Baruti. Hahahaha! Atakula shwaini mpaka mtoto azimike.
watalitambuaje wakati nyie wanaume wenyewe hamtambui umuhimu wa kujali familia zenu mnawaza bar tu na nyumba ndogo. bahati yenu mbaya wanawake wameshtuka.IV,
Imebidi niwe the first person kukupa thanks hapa jamvini kwakweli! Hayo maneno niliyohighlight hapo juu kama unayaishi kweli, basi kama ni she na huja pata mume, mume atakaye kuoa tabarikiwa sana.........!
Wanawake waliowengi hawalitambui hilo kabisa........!
BWT: Karibu sana JF.........!
hivi fidel na chris mmeoa?
hivi fidel na chris mmeoa?
Halafu nyie mtakuwa watumishi fake nyie nina wasiwasi na nyie.isije ikawa kama yule wa uganda aliyewachoma waumini,sijui anaitwaje jina lake nimelisahau.Mpwa, mkaribishe kwenye maombi yetu. Tegeta by Night au Kwenye Ibada Kimara Baruti. Hahahaha! Atakula shwaini mpaka mtoto azimike.
Subili upate kitambi gafla cha msimu kile mnachougulia miezi kumi sijui uone kama atakuwa anawahi kurudi najua atawahi kwa ajili ya kupanua njia vinginevyo sijui wkt unalea hahahaha hapo bar kila siku.
Swali la wiki. Ntakujibu Jumatatu, sahizi nawahi kabia. Mtumishi nakuachia ukumbi. Nawahi kubook ile kitu yetu pale By Night. Angalia pikipiki isikumwage manake najua unakiu sana. Hahahaha!
Mi naoa 2012 ule mzinga usisahau kuniletea siku ya harusi natafuta kisura simpati mpaka nimekata tamaa naweza nikajikuta nasogeza tena mwaka mweh!
kaa chonjo mamii, hawa watakupoteza na uchungaji wao. hawana tofauti na kibwetele hawa.Halafu nyie mtakuwa watumishi fake nyie nina wasiwasi na nyie.isije ikawa kama yule wa uganda aliyewachoma waumini,sijui anaitwaje jina lake nimelisahau.
Omba kibali kwa mtakatifu mchungaji nabii masanilo.
[I said:kwa taarifa yako sas mume wangu akitoka kazini hata bar haendi anawahi nyumbani tushirikiane kulea watoto na kusaidiana majukumu, na ndoa yetu in furaha kwa kuwa tunashirikiana kila kitu, kwenye budget na kwenye majukumu ya kufua na kunyoosha. hakuna mtumwa wa mwenzie na hakuna anayetake advantage ya mwenzie iwe ya kipesa au ya ki majukumu ya ndani, na hiindo maana nzima ya marriage. sasa kama wewe unadhani unajenga yako kwa kuwa mtumwa, its your way, do it if it fits you.[/I]