Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Una hela?Usifanye nimtafute binti wa chuo, una convince ya biashara. Ushani convince na mimi nitafute mtoto mkali.
Mwanachuo tulia wakuloweke![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila huyu mtoa mada n muongo, hao wanachuo hawaja athirika kihivyo, mweeeeh
Hatari hatariNdoa za kupunguziana genye
Ok mpelekee roboti akutibu, akufundishie nwanao n.k nashangaa sijakutukana ila wewe unanitukana mzee wa ovyo weweLofa na mpumbavu wewe, nimefika chuo wakati wewe bado unatoa kamasi lakini uchafu wa siku za mwisho na wendawazimu wa kizazi cha wapumbavu kama wewe unatia kinyaa mpaka akili zenu inaonyesha ni mbovu,
Kwani enzi gani uliwahi ona watoto wakiume wa chuo wakiposti video yao wakisodomiana halafu mpumbavu wewe unatuambia sisi huku tuwasubiri eti mmalize chuo muwe wataalamu kwenye jamii, rubbish, robots zinawazidi akili, you are outwitted by robotts, nincompoops!
Ipo wapConnection ya Mirinda daah. Mpaka aibu aisee Njaa hizi za Wanachuo zinawavua utu
#Ndoa za Semester#Ndoa holela
Wanachuo kuleni RahaKumezuka utaratibu wa Wanachuo kuishi kinyumba katika hosteli 'bubu' hususan Msewe, Changanyikeni, Mabibo, Survey, Mlalakua, Makongo na Kigamboni.
Vijana badala ya kusoma wanawaza kudinyana**a.k.a **kuloweka Pamoja na madawa, pombe daily na kuchoropoa vichanga. Hapo usiulize UKIMWI au STD's maana Ni za kumwaga. Punde ARV hazitatosha huko hospitali. Pia itabidi ianzishwe WIZARA YA MAGONJWA NYEMELEZI ili kushughilikia wafiwa.
***Nina pharmacy Msewe Ni mwendo wa Pregnancy tests, P2 lakin Kondomu kwa mbaaaali.
NB: Graduate with A's not with AIDS
View attachment 2048638
View attachment 2050364
View attachment 2091493
View attachment 2091497
Zana zinatumika mwanzoni. Baadae wanaloweka kavuVijana wanaaibisha