Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hatari hao balaaa....weee hakikisha tuu unapesa za desparados and savannah utajilia threesome mpaka basiNa watoto wengi wa chuo wanapenda threesome
Vipi kufumuana marinda ya nunduKumezuka utaratibu wa Wanachuo kuishi kinyumba katika hosteli 'bubu' hususan Msewe, Changanyikeni, Mabibo, Survey, Mlalakua, Makongo na Kigamboni.
Vijana badala ya kusoma wanawaza kudinyana**a.k.a **kuloweka Pamoja na madawa, pombe daily na kuchoropoa vichanga. Hapo usiulize UKIMWI au STD's maana Ni za kumwaga. Punde ARV hazitatosha huko hospitali. Pia itabidi ianzishwe WIZARA YA MAGONJWA NYEMELEZI ili kushughilikia wafiwa.
***Nina pharmacy Msewe Ni mwendo wa Pregnancy tests, P2 lakin Kondomu kwa mbaaaali.
NB: Graduate with A's not with AIDS
View attachment 2048638
View attachment 2050364
View attachment 2091493
View attachment 2091497
Miso unapiga hela haswaaaHakuna raha kama kuuza dawa maeneo ya chuo ila tu hakikisha una miso p2 kwa wingi
Wee jkt kwa mujibu wameenda mda gan? Akati hata mtihani wa 4m 6 hawajafanya.Vijana wanaumwa balaa. Walioenda Kwa mujibu wametimuliwa Kwa sababu Afya
Wee jkt kwa mujibu wameenda mda gan? Akati hata mtihani wa 4m 6 hawajafanya.
Hawa si wanao enda kwa maombi yao binafsi. Ndo wakiokutwa na ngomaaa. Lol
Daah inasikitisha.. sisi ambao hatujaoa tuna kazi.Vijana wanaoana kabisa ndoa bubu kasoro hazina makaratasi tu...na mimba wanatoa...Wanaishi kinyumba kabisa kula kupakua kama mke na mume!
Ukioa mwanachuo jua kuwa unaoa mke wa wenzio...she was taken slowly and taught everything na baharia wake wa chuoni... [emoji706][emoji706][emoji706]
Duuuh wakirudi Uraiani wanasbaza tena kwa wengineee lol.
Kazi mnayo tena pevu ila msikatae ndoa...Daah inasikitisha.. sisi ambao hatujaoa tuna kazi.
Na hivyo Boom linaongezwa.
Mademu wakali Bei cheehatari hao balaaa....weee hakikisha tuu unapesa za desparados and savannah utajilia threesome mpaka basi
Kabisa mwanawane alafu vitamu hivyo na na hopendea unavila kavu kiulainiiMademu wakali Bei chee
AcapellaKabisa mwanawane alafu vitamu hivyo na na hopendea unavila kavu kiulainii
Id nyingi kama sutra Juma1967Acapella