'Ndoa' za Wanachuo hosteli 'bubu'

Vipi kufumuana marinda ya nundu
 
Vijana wanaumwa balaa. Walioenda Kwa mujibu wametimuliwa Kwa sababu Afya
Wee jkt kwa mujibu wameenda mda gan? Akati hata mtihani wa 4m 6 hawajafanya.

Hawa si wanao enda kwa maombi yao binafsi. Ndo wakiokutwa na ngomaaa. Lol
 
Vijana wanaoana kabisa ndoa bubu kasoro hazina makaratasi tu...na mimba wanatoa...Wanaishi kinyumba kabisa kula kupakua kama mke na mume!

Ukioa mwanachuo jua kuwa unaoa mke wa wenzio...she was taught everything na baharia wake wa chuoni... [emoji706][emoji706][emoji706]
 
Daah inasikitisha.. sisi ambao hatujaoa tuna kazi.

Na hivyo Boom linaongezwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…