'Ndoa' za Wanachuo hosteli 'bubu'

Mungu atusamehe.

Chuoni ndio sehem inayo ongoza kwa ufuska. Pombe n.k

Zile couple huwa zina break immediately after chuo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanachuo mmetuonea sana kila cku wana chuo wanachuo

Anyway somesheni watoto kwa nguvu wenu na nyie waje chuo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na mengine yanazaa kabisa, itakua dunia ya maroboti. Mweeeeeh
 
Vile cocastic anachungualia huu uzi kwa mbali kana kwamba yeye siyo mwanachuo na mambo haya ya kuloweka vyuoni ndiyo anayasikia kwa mara ya kwanza[emoji116][emoji1][emoji1][emoji1]
View attachment 2048777
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] rafiki acha uchokozi bas nawee, hakna kitu km hicho bhana, sema watu wana fikra potofu mno juu ya wanachuo,
Mie sina hakika km watu wanaishi kinyumba, ila najua kuna mtindo wa kubebana ktk rooms. [emoji23][emoji23][emoji23]

Au nasema uongo rafiki? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hayo mambo hayajaanza leo wala jana ni muendelezo wa walipoishia wengine(graduates).
 
Tunaamini Wanachuo ni watu wazima wenye akili timamu. Hivyo acheni nongwa, Waacheni wajiachie wafanye wakipendacho.

Hapo Chuo ni sehemu huru sana kwao, Maana huku Sekondari walikuwa wanadhibitiwa na Wazazi.
Ndiyooooooh, acha watu wafaidi uhuru bhana. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Baba yako alioa msomi kutoka chuo kikuu kipi?
Na kwa mtazamo wako ulivyo ni kwamba wale ambao si wasomi wa chuo kikuu ni kwamba wao hawastaafu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] swali nzuri sana.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…