'Ndoa' za Wanachuo hosteli 'bubu'

Ila Wadada Wachuo Mpunguze Kotoa Mimba

Alafu Wenyewe Wanakuambia Wakiwa Wameandaliwa vizuri eti HIV hawapati kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mie lol
 
waache wanyanduane tu mkuu...huko wengi wao wanapoteza muda tu kwa sababu ajira zenyewe hakuna..narudia ajira zenyewe hakuna ...bora waambulie kunyanduana..wajipatie std,Hiv...na mimba....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hongera Sana kwa kujitambua mapema. Wenzio wamelowea kwenye mapenzi na kusahau mapenzi. Baadhi wamepata ujauzito badala ya digrii. Survey pale wanastahili kupewa Mkoa kamili, maana vijana wametia fora
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hasa mamc kwenye harus wanasifiaga wasomi mpaka wanaboa hasa kwa tunaowajua wasomi waliyoyapitia hasa wale wadada wazuri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mangi vipi kuna mwanachuo amekunyima jambo nini mbona hasira sana
 
jamaa kwenye vikao vya familia anapewaga jukumu la kamati ya food and drinks, yani yeye ni kuhakikisha ma misosi yapo na vinywaji wakati wenzie wanajadili[emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hapo Mlimani wengi wameshaungua. Nawapataga kwa lift na pesa kabla ya kuwala Lazima niwapime wengi majibu huja +
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…