'Ndoa' za Wanachuo hosteli 'bubu'

'Ndoa' za Wanachuo hosteli 'bubu'

Wanachuo mmetuonea sana kila cku wana chuo wanachuo

Anyway somesheni watoto kwa nguvu wenu na nyie waje chuo
 
Kumezuka utaratibu wa Wanachuo kuishi kinyumba katika hosteli 'bubu' hususan Msewe, Changanyikeni, Mabibo, Survey, Mlalakua, Makongo na Kigamboni. Vijana badala ya kusoma wanawaza kudinyana**a.k.a **kuloweka Pamoja na madawa, pombe daily na kuchoropoa vichanga. Hapo usiulize UKIMWI au STD's maana Ni za kumwaga. Punde ARV hazitatosha huko hospitali. Pia itabidi ianzishwe WIZARA YA MAGONJWA NYEMELEZI ili kushughilikia wafiwa.
***Nina pharmacy Msewe Ni mwendo wa Pregnancy tests, P2 lakin Kondomu kwa mbaaaali.

View attachment 2048638
Ni mwendo wa kunyanduana tu hiyo ipo tu kwenye vyuo Miaka mingi ukipata demu huyo anakua Ni sawa na mke kabisa [emoji23][emoji23]Daaah yanimaisha ya uko mnakuwa VIJANA wa hovyo kabisa
 
Itakuwa wako praktikoni kufanyia kazi wanayofundishwa na maprofesa wao chuoni. But very, very sad. ^Huwezi kujenga taifa imara endapo vijana husika wanawaza pombe na ngono^ ~ Che Guevara
Inakuja dawa yao, wataalamu wameshajua kuwa vitu walivyoleta kama FACEBOOK, INSTA, MA MOVIE PLATFORMS MBALIMBALI, NA VITU PHYSICAL VYA ANASA , wameshamaliza hiki kizazi, hakuna watu tena , wanaleta mbadala sasa hivi unaitwa ARTIFICIAL INTELLIGENCY (A. I). Unaambiwa sasa hivi wanakaribia kupata roboti zinazomzidi akili na uelewa mwanadamu, na wameshaorodhesha kazi zaidi ya 30 ambazo binadamu hatahitajika tena.
Kumbuka roboti hazichoki, haziombi ruhusa, hazidai mshahara, haziongei wala stori kazini n.k wala hazingonoki ofisini.

Kwa hayo mazezeta ya chuo yanajidanganya tu, hayana lolote , ulimwengu unaokuja muda si mrefu kutokana na mambo kama ya korona haya, mataahira hayo hayana chao. Roboti havai barakoa wala haambukizwi.
 
Mkuu hayo mambo yapo kitambo tu tena karibia vyuo vyote nchini na hii inatokana na vijana wengi inakua ndio mara yao ya kwanza kuishi maisha ya uhuru kujiamulia.
Tena hasa watoto wa kishua waliosoma boarding seminary ndio wanawehuka kabsaa.
Vitendea kazi vya siku hizi hali ni mbaya zaidi, maana watu wanaeeza kuwasiliana fasta na within a second mtu akaenda kula mzigo,
 
Vile cocastic anachungualia huu uzi kwa mbali kana kwamba yeye siyo mwanachuo na mambo haya ya kuloweka vyuoni ndiyo anayasikia kwa mara ya kwanza👇😄😄😄
7543.jpg
 
Kumezuka utaratibu wa Wanachuo kuishi kinyumba katika hosteli 'bubu' hususan Msewe, Changanyikeni, Mabibo, Survey, Mlalakua, Makongo na Kigamboni. Vijana badala ya kusoma wanawaza kudinyana**a.k.a **kuloweka Pamoja na madawa, pombe daily na kuchoropoa vichanga. Hapo usiulize UKIMWI au STD's maana Ni za kumwaga. Punde ARV hazitatosha huko hospitali. Pia itabidi ianzishwe WIZARA YA MAGONJWA NYEMELEZI ili kushughilikia wafiwa.
***Nina pharmacy Msewe Ni mwendo wa Pregnancy tests, P2 lakin Kondomu kwa mbaaaali.

View attachment 2048638
Hapo Msewe kwa Milard kuna uchafu mkubwa kwa hao watoto wanagegedana balaa
 
Vyuo vishakua useless Tanzania

Kama una vijihela vyako ukajibana komaa mtoto mpeleke hata USA au Canada akakimbizane na competition huko zinazochukua watoto worldwide

Goddamn hata Kenya tu hapo si mbaya maana wapo namba 6 kwa Africa,au hata Africa Kusini

Western countries kuna real competition,ethics za kazi,za kujifunza,real timetable,unakutana na best of the best,unajitahidi kupambana,na pia wanadamu wanaheshimiana maana lawsuits ni nje nje...ubaguzi upo ila usiwe mtu sensitive sana,na ni katatiza kadogo compared na upumbavu mitoto inafanya huko changanyikeni inatoka hata haijui kuandika official email na presentantion

Tanzania kielimu tupo mavini kule kabisa..hata Uganda na Kenya hatuwawezi..what a Shame!
Punguza hasira! Hii nchi bado inaendelea.
 
Wewe uza hizo P2 na UPT , piga hela tu hapo Pharmacy [emoji23][emoji23][emoji23]
... huyu, mleta mada, atakuwa denti anampigia 'negative campaign' muuza madawa aliyemzidi kete kwa msichana!
Wanachuo, pamoja na visa alivyoposti mleta mada, wanaifuatilia hii mada kwa 99%, ... hizo dawa atamuuzia nani baadaye?
1639832118874.png
 
Vyuo vishakua useless Tanzania

Kama una vijihela vyako ukajibana komaa mtoto mpeleke hata USA au Canada akakimbizane na competition huko zinazochukua watoto worldwide

Goddamn hata Kenya tu hapo si mbaya maana wapo namba 6 kwa Africa,au hata Africa Kusini

Western countries kuna real competition,ethics za kazi,za kujifunza,real timetable,unakutana na best of the best,unajitahidi kupambana,na pia wanadamu wanaheshimiana maana lawsuits ni nje nje...ubaguzi upo ila usiwe mtu sensitive sana,na ni katatiza kadogo compared na upumbavu mitoto inafanya huko changanyikeni inatoka hata haijui kuandika official email na presentantion

Tanzania kielimu tupo mavini kule kabisa..hata Uganda na Kenya hatuwawezi..what a Shame!

Kuna watu walipeleka watoto huko unakosema, sasa wanalia na kusaga meno.
 
Vyuo vishakua useless Tanzania

Kama una vijihela vyako ukajibana komaa mtoto mpeleke hata USA au Canada akakimbizane na competition huko zinazochukua watoto worldwide

Goddamn hata Kenya tu hapo si mbaya maana wapo namba 6 kwa Africa,au hata Africa Kusini

Western countries kuna real competition,ethics za kazi,za kujifunza,real timetable,unakutana na best of the best,unajitahidi kupambana,na pia wanadamu wanaheshimiana maana lawsuits ni nje nje...ubaguzi upo ila usiwe mtu sensitive sana,na ni katatiza kadogo compared na upumbavu mitoto inafanya huko changanyikeni inatoka hata haijui kuandika official email na presentantion

Tanzania kielimu tupo mavini kule kabisa..hata Uganda na Kenya hatuwawezi..what a Shame!
Upo sahihi, ila hao wanafunzi wasiojua kuandika official email na representation ni wavivu tu wa kujifunza.! Ila hali hiyo uisemayo ndipo tulipofikia kama taifa, mizaha mingi kwenye kila kitu, wasomi wetu wengi wanaohitimu wanasikitisha. Kuna haja ya kubadilika!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu

Nilisoma UDSM mid 2000's na nilikaa Hall 2 na Hall5 miaka yote minne...

Nimekuja huku America ndio nikajua huku duniani watu wapo serious na elimu na kazi kwa ujumla

Nikaelewa kwanini elimu ya America ndio the best na most expensive in the world

Ndio najua kwanini all the best brains come from all over the world and come to compete here

Sio naongea kwa hasira mkuu...Mimi wanangu hawatakaa wakanyage High School au College Tanzania...

Ninajinyima ninakusanya kila thumni nitajitahidi kwakweli wasisome huu ujinga TZ...

Ni kama wazazi wanavyokwepa shule za Kanyumba kwa sasa....College za Tanzania ni za kukwepa kabisa kama ukoma

Nitauza viwanja vyangu nitavunja hata BOT kabisa....aidha nife
What a good commitment! Wow!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inakuja dawa yao, wataalamu wameshajua kuwa vitu walivyoleta kama FACEBOOK, INSTA, MA MOVIE PLATFORMS MBALIMBALI, NA VITU PHYSICAL VYA ANASA , wameshamaliza hiki kizazi, hakuna watu tena , wanaleta mbadala sasa hivi unaitwa ARTIFICIAL INTELLIGENCY (A. I). Unaambiwa sasa hivi wanakaribia kupata roboti zinazomzidi akili na uelewa mwanadamu, na wameshaorodhesha kazi zaidi ya 30 ambazo binadamu hatahitajika tena.
Kumbuka roboti hazichoki, haziombi ruhusa, hazidai mshahara, haziongei wala stori kazini n.k wala hazingonoki ofisini.

Kwa hayo mazezeta ya chuo yanajidanganya tu, hayana lolote , ulimwengu unaokuja muda si mrefu kutokana na mambo kama ya korona haya, mataahira hayo hayana chao. Roboti havai barakoa wala haambukizwi.
Tayari ROBOT ATM kaishafanya yake ya kutupunguzia ma'CASHIER' wa benki!
1639832760410.png
 
Back
Top Bottom