NDOA: Zamani vs Siku hizi

NDOA: Zamani vs Siku hizi

Mke ameshinda kwa dau,basi imekula kwake,mme akishinda mke atarudhi nyumbani ila sarakasi na skendo kama kawaida.

....Aisee ndoa za kulazimisha wakati mmoja kishachoka ni hatari sana.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
...Pia labda kuanzishwe kitengo cha kuzinusuru ndoa ili kabla ya kuachana kuwe na watu tuseme kutoka baraza la usuluhishi ili kwa kipindi cha miezi 12 wajaribu kuwasuluhisha wahusika ili kuinusuru ndoa husika, hili labda litapunguza idadi ya ndoa zinazosambaratika kila mwaka.
mkuu usuluhishi ni Mungu akipenda,we hujui mtu atajali watoto wake ila kuwa naye ni ishu,mtaishi pamoja ila hamtaelewana na ugomvi wa kila siku bado mnawapa watoto wakati mgumu
 
Imetokea amerubuniwa na kigogo au mwenyewe uwezo,sidhani kama hapo atasikia maumivu

Mkuu,

Hakuna kigogo ambaye hawezi kushughulikiwa kama mtu unaamua kufanya kweli...Tena ni rahisi kumshughulikia kigogo kuliko kama wewe ndiye kigogo!!

Vijana wa mjini watakusaidia kirahisi sana na kwa dau dogo!

Mkiamua kuchafuana, ni jambo ambalo kinawekezana ingawa huwezi kuwa na uhakika nani atatoka akiwa amejeruhiwa zaidi ya mwenzake!!
 
Kaka mtu wa namna hiyo huwezi tena ukwa na amani naye...Ila mkiamua kuwa kama wanyama, basi huwezi kujua in advance nani atashinda....Mie niko tayari kuijaribu hiyo marathon!

Talaka hapati, na ataendelea kukaa kwangu na kutii masharti ya hapo nyumbani.....!!
Mkuu mi naona heri usimlazimishe,umfanyie wema,akiumizwa huko atakukumbuka na wakati huo we umeshafunga geti
 
....Aisee ndoa za kulazimisha wakati mmoja kishachoka ni hatari sana.
BAK ingawa tunabisha ila uhuru wa mtu huwezi kuzuia,mfanyie wema,akikutana na mabaya atakukumbuka,akikuomba msamaha
unaweza kumsamehe,kama umeshareplace ndo mda wake kujifunza,kumfanyia mtu wema na akaudharau ndo adhabu
kuliko kumkomoa
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
mkuu usuluhishi ni Mungu akipenda,we hujui mtu atajali watoto wake ila kuwa naye ni ishu,mtaishi pamoja ila hamtaelewana na ugomvi wa kila siku bado mnawapa watoto wakati mgumu

Kwenye ndoa nyingi, watoto ndiyo wamekuwa mtego wa kuwafanya watu wengine waishi kwa mateso makubwa.

Pamoja na kwamba nawapenda sana watoto, ila siamini kama kuna nafsi inayotakiwa kufia nafsi nyingine. Kwa hiyo katika hali ambayo ndoa inakaribia kutoa roho za watu... watoto wakae pembeni hadi wanandoa wamalizane. Vinginevyo hali inakuwa ngumu zaidi!

Ndio maana watu wengine wanatorosha watoto ili kuwanyanyasa wenzao kisaikolojia na kuwafanya wabadilishe mawazo...Siyo vizuri hata kidogo kwa sababu tatizo la msingi linabaki pale pale!!
 
mkuu usuluhishi ni Mungu akipenda,we hujui mtu atajali watoto wake ila kuwa naye ni ishu,mtaishi pamoja ila hamtaelewana na ugomvi wa kila siku bado mnawapa watoto wakati mgumu


...Naam Mkuu, ninaposema usuluhisho ni pale mke na mume wameamua kuyaweka pembeni matukio yote yaliowafikisha hapo walipo na kujaribu tena kuinusuru ndoa yao kwa faida yao wenyewe na watoto wao, linawezekana kabisa hili kama wahusika wataweka nia ya kujaribu tena.

 
Mkuu,

Hakuna kigogo ambaye hawezi kushughulikiwa kama mtu unaamua kufanya kweli...Tena ni rahisi kumshughulikia kigogo kuliko kama wewe ndiye kigogo!!

Vijana wa mjini watakusaidia kirahisi sana na kwa dau dogo!

Mkiamua kuchafuana, ni jambo ambalo kinawekezana ingawa huwezi kuwa na uhakika nani atatoka akiwa amejeruhiwa zaidi ya mwenzake!!
Mfanyie wema ajutie kukuacha kuliko kumkomoa
 
kesi utashinda,ataendelea kuishi na wewe ila atamegwa,halafu wewe ndo umpe talaka


hahahaha,...hii mingine ni mifano hai kabisa, acheni tu ndoa za wazee wetu tuzitukuze u Silver Jubilee na u Golden Jubilee waliobahatika. Miaka ya sasa mtu akikwambia kamaliza 10years watu wanamshangaa!
 
Mkuu mi naona heri usimlazimishe,umfanyie wema,akiumizwa huko atakukumbuka na wakati huo we umeshafunga geti

Mkuu kuna wakati mtu anakufanyia visa hadi unaukumbuka huu wimbo!!

<a href="http://www.youtube.com/watch?v=hiMGe2HYq2o" target="_blank">

 
Last edited by a moderator:
Kwenye ndoa nyingi, watoto ndiyo wamekuwa mtego wa kuwafanya watu wengine waishi kwa mateso makubwa.

Pamoja na kwamba nawapenda sana watoto, ila siamini kama kuna nafsi inayotakiwa kufia nafsi nyingine. Kwa hiyo katika hali ambayo ndoa inakaribia kutoa roho za watu... watoto wakae pembeni hadi wanandoa wamalizane. Vinginevyo hali inakuwa ngumu zaidi!

Ndio maana watu wengine wanatorosha watoto ili kuwanyanyasa wenzao kisaikolojia na kuwafanya wabadilishe mawazo...Siyo vizuri hata kidogo kwa sababu tatizo la msingi linabaki pale pale!!
hapo ndo inapokuja kwamba watoto wamchague wanayempenda,akikupenda wewe nadhani utakuwa umemshinda mwenzako
 
Mfanyie wema ajutie kukuacha kuliko kumkomoa


Mkuu,

Nakushukuru kwa changamoto zako...Ni kweli ni vigumu kujua ni jinsi gani utahandle issue complex kama hiyo. Majibu tunayotoa hapa yanaweza kuwa ni over-simplification!!

Naamini itafika mahali tutakuwa na system nzuri ya kushughulikia mambo ya ndoa. Tukiachwa hivi hivi, kizazi hiki kitaangamia!
 
...Naam Mkuu, ninaposema usuluhisho ni pale mke na mume wameamua kuyaweka pembeni matukio yote yaliowafikisha hapo walipo na kujaribu tena kuinusuru ndoa yao kwa faida yao wenyewe na watoto wao, linawezekana kabisa hili kama wahusika wataweka nia ya kujaribu tena.

Mkuu hapo sawa,na hakutakuwa na migongano,ila sheria haisaidii kwa usuluhishi ila hiari ya kila moyo wa mtu
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
hapo ndo inapokuja kwamba watoto wamchague wanayempenda,akikupenda wewe nadhani utakuwa umemshinda mwenzako


....Mkuu hili kwa maoni yangu ni kosa kubwa sana. Ugomvi wa Wazazi kamwe watoto wasihusishwe na hata kuambiwa yupi wampendaye kati ya Baba na Mama. Pamoja na tofauti zenu inabidi mjitahidi tu ili watoto wasihusishwe kabisa katika ugomvi wenu.
 
hapo ndo inapokuja kwamba watoto wamchague wanayempenda,akikupenda wewe nadhani utakuwa umemshinda mwenzako


Kaka, unapozidi kuingiza suala la watoto unanishika pabaya,

Hiii line ya mjadala siitaki tena...Tuongelee ndoa ila mambo ya kugawana watoto ni magumu sana!!
 

hahahaha,...hii mingine ni mifano hai kabisa, acheni tu ndoa za wazee wetu tuzitukuze u Silver Jubilee na u Golden Jubilee waliobahatika. Miaka ya sasa mtu akikwambia kamaliza 10years watu wanamshangaa!
Siku hizi mpenzi wako anamsifia celebrity,je akikutana naye itakwaje,miaka 10 mingi sana
 
...Pia labda kuanzishwe kitengo cha kuzinusuru ndoa ili kabla ya kuachana kuwe na watu tuseme kutoka baraza la usuluhishi ili kwa kipindi cha miezi 12 wajaribu kuwasuluhisha wahusika ili kuinusuru ndoa husika, hili labda litapunguza idadi ya ndoa zinazosambaratika kila mwaka.

kaka, tayari ipo hii Tanzania,...siku hizi cheti cha kuachana hakipatikani kiurahisi kiviiile..


Kaka mtu wa namna hiyo huwezi tena ukwa na amani naye...Ila mkiamua kuwa kama wanyama, basi huwezi kujua in advance nani atashinda....Mie niko tayari kuijaribu hiyo marathon!

Talaka hapati, na ataendelea kukaa kwangu na kutii masharti ya hapo nyumbani.....!!

...dahhh? hahaha, kaka hii naona kama haifai kujaribiwa...ni sawa na kulitia mfukoni bomu la kutega,
apewe haki yake wewe uendelee na maumivu yako ya "kuharibiwa maisha." Ndiko tulikofikia sasa mkuu, tutafanyaje bana...."aheri ya nusu shari,...!"
 
Kaka, unapozidi kuingiza suala la watoto unanishika pabaya,

Hiii line ya mjadala siitaki tena...Tuongelee ndoa ila mambo ya kugawana watoto ni magumu sana!!

hahahaha....sasa hapo mzee ndio panapotuumiza wengi, yaani na sheria zinakubana umkabidhi yeye (mwanamke)
mtoto/watoto hata kama kosa la kuachana alilisababisha yeye, halafu anaweza kukufunga na kipengele cha sheria sehemu
kubwa ya ndururu zako unazozitolea jasho kila mwezi zinapigwa panga kuelekea kwake!

Aisee hivi baba Adamu asingekula lile tunda la mama Hawa tusingefikia haya nadhani, dahhh!
hayaepukiki haya mkuu.
 
Mkuu,

Nakushukuru kwa changamoto zako...Ni kweli ni vigumu kujua ni jinsi gani utahandle issue complex kama hiyo. Majibu tunayotoa hapa yanaweza kuwa ni over-simplification!!

Naamini itafika mahali tutakuwa na system nzuri ya kushughulikia mambo ya ndoa. Tukiachwa hivi hivi, kizazi hiki kitaangamia!
Mkuu kama hujaoa changamoto kama hizi kwa maisha ya baadaye zinakuweka kwenye nafasi nzuri ya kuyafahamu mapenzi na maisha
 
Back
Top Bottom