...mkuu, kiukweli wengi hiyo ilikuwa wishes zetu lakini siku ukweli ulipodhihiri, mwanaume unaachwa na nyumba yako, halafu baada ya muda unaanza kupangiwa kiwango cha makato kwenye kipato chako kwenda kwa ex-spouse wako kwaajili ya child maintenace, halafu kabla hujakaa sawa unapigwa barua ya visitation rights,....ukileta ubishi unapewa restraining order!...
hizi ndio ndoa za dot.com bana...kwa bongo hawajalitambua bado hili, ngoja wajue hizi haki zao tutakoma!
...hahaha, mke anakulazimisha umpeleke kwenye show ya Fally Ipupa, halafu huko anakutia aibu jinsi anavyomshangilia na kung'ang'ania kwenda kumkumbatia mara kwa mara....balaaaa!