BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
hilo swala la kuishi kwenye ndoa linatakiwa liwepo,ila itawezekana?amegundua kuwa hakupendi na anao uhuru wa kukuacha
utamzuiaje?
....Hapo hakuna ujanja Mkuu inabidi tu utoe uhuru wa mtu kuchukua 50 zake ili kuepusha balaa zaidi.