Acha kuniumiza zaidi huoni sijalala saizi!?
Kwani kitanda kimemwagiwa maji?? au umetembelewa na nyenyere!!
Umejuaje kama nimepigwa kibuti? Mie ndo nimepiga kibuti
Umepigwa/piga kibuti kuanzai lini?
DC mbona mgomvi wewe!? Yamenishinda bana
sread nzuri sana ngoja nipike nikimaliza na mie nije kujaribu kuchanganua miaka yangu minne ya ndoa na miaka 36 ya mamaangu na babaangu ya ndoa yao
Mvi zinasababisha upere na muwasho kichwani,
Happy new year mpendwa DA!!
Asante ila nitakuwa peke yangu ndo hivo
Pole sana AD,
Sasa, kwa nini unadhani wazee wetu walifanikiwa kwenye haya mambo ya malavi davi na sie tunafeli??
Please tupe mawazo yako...Not a case study!!
Sijui kwanini unanichanganya na Afrodenzi? Au hangover?
Nionavyo mie ni tabia ya watu kutothamini umuhimu wa ndoa au maisha ya kuwa na mwenza wa kudumu.kuishi na mtu kweli kazi, lakini kama unathamini uwepo wake utajitahidi kufanya vitu mnavyokubaliana ili msiachane.mfano zamani baba kutokula nyumbani lilikuwa kosa kubwa anatozwa faini.sasa vijana anapita baa anakula mbuzi akija home anabeuwa kweli jamani.mwanamke kwenda kwao kusalimia mpaka ruhusa na mume anacommunicate na wazee wife atakaa siku ngapi.siku hizi mtu anaaga akiwa airport au stendi.na akiwa huko mume au mke hapigi simu hata kusalimia wazee.matokeo yake mama anaaga anaenda kigoma anaishia Sinza.
kweli king...Marriage is no longer linked to comfortable life mkuu! Ndo haswaa maana ya moskwito! Walio kwenye ndoa wanalalamika kila kukicha, hadi walioko single hawatamani kuingia ndoani tena! Ukiskia dunia hadaa ulimwengu shujaa ndo hii sasa!
kweli king...
that is why nimeiweka kama option... maana yake ni kwamba if it is not comfortable people have other options na kuiacha katikati, so rather than an opt in bad stuff, it has become kinda like opt to stay in if it is comfortable
kwa kiswahili labda, ndoa imekua kitu kingine ambacho unabaki ndani tu pale inapokua comfortable.... we are searching for comfort so if ndoa makes you comfortable unabaki, kama inaboa unaiacha zake na ku-move on to other comfortable options
Swahiba/.... wakati wewe unajiandaa kuwasha mshumaa,
Mie nawasha tochi kabisa kuupa heshima yote mwaka 2011... A YEAR THAT WAS/IS, which has been the most exciting year in my life, positively, negatively and every between
My response to this (yet another platinum release) thread of your ni kama ifuatavyo;
Ndoa za zamani hazikua na mikito ya sasa, lakini nazo zilikua na misukosuko yao... waweza pata hayo kuanzia nyimbo za enzi ya shingo ya upanga, moyo wangu, dereva fanya upesi, nalia na moyo, usiondoke you name it; whatever we experience now, ilikuwepo but in a different density
tuonacho sasa ni kuendana tu na kukua kwa technology na knowledge among us (of course with unfortunate muanguko wa wisdom kidogo
KUFUPISHA... MPOROMOKO WA KISASA UNACHANGIWA NA YAFUATAYO
akina mama kujua haki zao zaidi
power of knowledge and alternative life style ambazo zamani zilikua hakuna
public flexibility
Mwisho kabisa ni ile necha ya binadamu kuendelea kuvumbua alternatives, tunaona haki za ndoa za jinsia moja, sayansi hasa IT ilivyoweza kufumua mambo ya tabia na vichocheo vya mwili ambavyo havikuwepo, utundu wa asili wa binadamu na pia ile nafasi ya mwanaume kuwa neutralized na vitu kama ajira, shule, sinema, redio nk... (i guess zamani mume/mke alikua ndio source primary ya habari, mbinu mpya na kila kitu
sometimes huwa nawaza, je Yesu au Mtume Muhammad (SAW) wangekuwepo enzi hizi za twitter, facebook, JF, satellite nk wangekua wana hali gani??? kwani hata akipiga ushuzi tu, dunia itajua
In short current world is dynamics and people have more options than just a MARRIAGE.... AND MARRIAGE IS SLOWLY TURNING INTO "JUST ANOTHER OPTIONS FOR LIVING A COMFORTABLE LIFE"
nakuacha na swali: Kama sio uchoyo wa watawala wa mwazo (werevu) ndoa ingekuwa nucleus ya human reproduction?
Hivi Mbu hizo sheria zinamsaidia mwanamke kwasababu tu ni mwanamke au kwasababu anakua anastahili?
Kwanini mnalalamika sana kwamba hizi mpya zinawanyanyasa nyie wakati za zamani ziliwanyanyasa wanawake zaidi? Kwanini msikae chini na kutafuta balance badala ya kutaka nyie ndio muwe wanyanyasaji? Usipompa mtu sababu, hatokua na sababu.Huwezi kuwa mwanaume mnyanyasaji alafu mke akaamua kukuacha na sheria ikamuunga mkono alafu wa kulalamika ukawa wewe.Heshimu uheshimiwe, tenda haki utendewe haki. Hapa naona ubinafsi ndio unaotawala zaidi, ile dhana ya "kwanini mimi ndio ninyanyasike" ndio inayochangia ndoa kutofika popote.Anzeni kufikiria "kwanini tunyanyasane" muone kama hakutakua na mabadiliko.
Ndoa is a two way street, ila kwa ubinafsi (bora ninyanyase mimi kuliko ninyanyaswe) baadhi ya watu wanataka kuifanya one way street.Mwenzi atangulie mbele wao nyuma kufuatilia na kumuendesha. Hata ikimbidi kugeuka na kurudi nyuma unamzuia kwasababu uko kwenye nafasi ya kufanya hivyo. Badala ya kumlazimisha mtu aendelee kuwepo kwanini nguvu msiweke kwenye kumshawishi taratibu na kumpa sababu za kuendelea kuwepo? Msipobadilika nyie kama wanaume inabidi tuandike hasara linapokuja swala zima la ndoa, kubalini mabadiliko and make the best of it badala ya kuona hamtendewi haki kwakua mmenyang'anywa haki ya kunyanyasa.
Yani kwa vyovyote vile, mmoja akifikia kujiona bora kuliko mwenzake, akaona yeye ana haki kuliko mwenzake kiwango cha kufanikiwa pamoja nacho kinashuka.
Marriage is no longer linked to comfortable life mkuu! Ndo haswaa maana ya moskwito! Walio kwenye ndoa wanalalamika kila kukicha, hadi walioko single hawatamani kuingia ndoani tena! Ukiskia dunia hadaa ulimwengu shujaa ndo hii sasa!
mimi nadhani wazazi muwaelimishe watoto kuhusu ndoa tusisubiri mpaka kitchen party, na tutumie vitabu vya dini pia kuwaelewesha watoto, tukae nao mara kwa mara na kuwaelewesha maisha jinsi yalivyo including ndoa ili mtoto aone dhamani ya kuwa mke/mume, na nyyie wazazi muache ubusy.
*pia wazazi muwe mifano mizuri kwa watoto wenu vyo mnagombana mpaka watoto wanajua kama mama na baba wanagombana.
Ila kuna siku dunia itakuja jua mahali mwanadamu alipoteleza,na itaku too late,kama kweli unataka ulitumie gari vizuri ni lazima usome "manyuo buku"!Kama ukilitumia vile unavyotaka wewe kisa hutaki "utumwa" kubali matokeo yake ambayo lazima yatakua hasi tu!Ukiyakataa lazima kifaa ulichopewa kuchambua mambo(ubongo)kitakua na mushkeli.
Nionavyo mie ni tabia ya watu kutothamini umuhimu wa ndoa au maisha ya kuwa na mwenza wa kudumu.kuishi na mtu kweli kazi, lakini kama unathamini uwepo wake utajitahidi kufanya vitu mnavyokubaliana ili msiachane.mfano zamani baba kutokula nyumbani lilikuwa kosa kubwa anatozwa faini.sasa vijana anapita baa anakula mbuzi akija home anabeuwa kweli jamani.mwanamke kwenda kwao kusalimia mpaka ruhusa na mume anacommunicate na wazee wife atakaa siku ngapi.siku hizi mtu anaaga akiwa airport au stendi.na akiwa huko mume au mke hapigi simu hata kusalimia wazee.matokeo yake mama anaaga anaenda kigoma anaishia Sinza.
Sure,
That's my very basic and simple principle....
Huwezi kung'ang'ania kuishi na mtu ambaye inaonekana kabisa mambo yamekwama. Mmekutana mkiwa wazima na kwa hiyo ni upuuzi kufikiria kuwa huwezi kuishi bila yeye!!
Niliwahi kuelezea kitabu kimoja ambacho kinajadili haya mambo ya muhimu kwenye ndoa (marriage triangle...love, sex and living together) wapi pa kuanzia...Which to me, nakubaliana na mwandishi kwamba unaweza kuanza na lolote. Kama unajitambua, hakuna shaka kwamba ndoa yako itakuwa imara!!
Hebu chungulia hapa,
Amazon.com: I Married You (9780966396669): Walter Trobisch: Books
Kama mnaendana hata mkikutana leo na kuona kesho mtadumu, kama hamuendani hata mkikutana wote ni bikra, mkakaa kwenye uchumba muda mnaodhani unatosha na ndugu wote wakawaunga mkono bado kudumu kwenu kutakua kwa mashaka.na hii ya kuanza na sex, mbona mara nyingi huwa zinafell tena hazifiki kabisa kwenye ndoa, na wanajamii watakwambia usingemvulia kwanza mpaka akuoe, nadhani kudumu kwa ndoa au mahusiano yeyote ni mpaka ukutane na mtu mnaendana, mnasikilizana