Ndoto inayojirudia sana

Ndoto inayojirudia sana

Raia Fulani

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2009
Posts
11,478
Reaction score
3,659
Kama title inavyosema, nimekuwa nikiota niko shule na ni kipindi cha kumaliza. Kipindi cha mitihani.

Sasa huwa najikuta sijasoma kabisa na mtihani ndio huo! Basi huwa naweweseka sana na kuwa na hofu. Wakati wengine wanajiandaa mi huwa sijui niko bize na nini. Mwisho wa siku huwa napata ahueni kuwa ni ndoto.

Kubwa kuliko ni usiku uliopita. Mitihani mingine japo sikuwa nimesoma niliifanya kiaina, kama kingereza (sikumbuki ilikuwa level gani-sec or primary). Sasa mtihani wa mwisho ilikuwa namba.

Yani kila nikiwaza sioni natoboa vipi. Sikumbuki fomula wala nini. Kila ninayemfuata japo animumbushie longolongo nyingi. Wakawa wananiambia nikae karibu na mtaalam ili nidese. Bado simutaka iwe hivyo.

Ikawa imebaki masaa machache pepa kuanza. Hapo ni alhamis. Kumbe bana mi ndio nilikuwa sijui kuwa kuwa pepa itafanyika next week jumanne.

Yani ni kama niliona nyota ya jaha kwa furaha na ahueni. Ningepata muda wa kutosha kureview na angalau kujibu baadhi ya maswali.

Nilifurahi zaidi nilipogundua kuwa ni ndoto.

Siku chache zilizopita tena nikaota tuko kwenye mitihani. Safari hii ni chuo. Pepa za kumaliza mwaka wa mwisho. Mambo yakawa mengi naingia humu natokea mule.

Basi ikawa mitihani iliyobakia sikufanya. Hiyo ikimaanisha sitagraduate.

Basi ndoto za namna hii zimeshajirudia zaidi ya mara kumi. Hatari sana
 
Wanangu msipozingatia ndoto
Mtakuja kushtuka Mambo yameisha timia mnaona matokeo na mtabaki kulia .
Maisha ya ndoto sio ya Kupuuzia na kuchukulia poa
Nakazia "ajionavyo mtu NAFSINI mwake ndivyo alivyo"
Zingatia kinachoendelea maishani mwako utakiona kwa 1.Ndoto 2.Maono 3. Trance
Acha niishie hapa.
 
Ndoto yako inaweza kuwa na tafsiri hii: inaonekana Kuna namna ulitakiwa kuwa umefika level flan lkn bado unaweza ukajua Hilo kwa kuangalia wenzako mliokua na uwezo sawa wako wapi.
Au pia inaweza kuwa ni ishara kwamba ujiandae kwa changamoto mpya ili uweze kuvuka na kuinuliwa zaidi.
 
Hii ndoto mie pia inanisumbua sana Mkuu!
 
Kama title inavyosema, nimekuwa nikiota niko shule na ni kipindi cha kumaliza. Kipindi cha mitihani.

Sasa huwa najikuta sijasoma kabisa na mtihani ndio huo! Basi huwa naweweseka sana na kuwa na hofu. Wakati wengine wanajiandaa mi huwa sijui niko bize na nini. Mwisho wa siku huwa napata ahueni kuwa ni ndoto.

Kubwa kuliko ni usiku uliopita. Mitihani mingine japo sikuwa nimesoma niliifanya kiaina, kama kingereza (sikumbuki ilikuwa level gani-sec or primary). Sasa mtihani wa mwisho ilikuwa namba.

Yani kila nikiwaza sioni natoboa vipi. Sikumbuki fomula wala nini. Kila ninayemfuata japo animumbushie longolongo nyingi. Wakawa wananiambia nikae karibu na mtaalam ili nidese. Bado simutaka iwe hivyo.

Ikawa imebaki masaa machache pepa kuanza. Hapo ni alhamis. Kumbe bana mi ndio nilikuwa sijui kuwa kuwa pepa itafanyika next week jumanne.

Yani ni kama niliona nyota ya jaha kwa furaha na ahueni. Ningepata muda wa kutosha kureview na angalau kujibu baadhi ya maswali.

Nilifurahi zaidi nilipogundua kuwa ni ndoto.

Siku chache zilizopita tena nikaota tuko kwenye mitihani. Safari hii ni chuo. Pepa za kumaliza mwaka wa mwisho. Mambo yakawa mengi naingia humu natokea mu

Basi ikawa mitihani iliyobakia sikufanya. Hiyo ikimaanisha sitagraduate.

Basi ndoto za namna hii zimeshajirudia zaidi ya mara kumi. Hatari sana

Ndoto hizi kwa hio ikawaje..
 
Aisee hii ndoto mm haipiti siku 1 lazima niote tena inajia sana sijui kwanini hapa sio bure kuna namna haiwezekani kila siku mandoto ya shule mara nipo shule ya msingi mara secondary mara chuo
Ila kuna siku ndio iliniacha hoi niliota kuna vita vya dunia sasa likapigwa bomu la nyukilia likaenda juu likawa linakuja maeneo ya chuo chetu na wanafunzi wapo wengi basi wakawa wanakimbia huku na kule kila mtu anaogopa basi mm nikapaaa mpaka juu kuliwahi nikalikamata na kulizima nikiwa huko angani na ndoto ikakakata hapo kuamka hoi
 
Aisee hii ndoto mm haipiti siku 1 lazima niote tena inajia sana sijui kwanini hapa sio bure kuna namna haiwezekani kila siku mandoto ya shule mara nipo shule ya msingi mara secondary mara chuo
Ila kuna siku ndio iliniacha hoi niliota kuna vita vya dunia sasa likapigwa bomu la nyukilia likaenda juu likawa linakuja maeneo ya chuo chetu na wanafunzi wapo wengi basi wakawa wanakimbia huku na kule kila mtu anaogopa basi mm nikapaaa mpaka juu kuliwahi nikalikamata na kulizima nikiwa huko angani na ndoto ikakakata hapo kuamka hoi
Mm pia napata ndoto za ki shule sana
 
Aisee hii ndoto mm haipiti siku 1 lazima niote tena inajia sana sijui kwanini hapa sio bure kuna namna haiwezekani kila siku mandoto ya shule mara nipo shule ya msingi mara secondary mara chuo
Ila kuna siku ndio iliniacha hoi niliota kuna vita vya dunia sasa likapigwa bomu la nyukilia likaenda juu likawa linakuja maeneo ya chuo chetu na wanafunzi wapo wengi basi wakawa wanakimbia huku na kule kila mtu anaogopa basi mm nikapaaa mpaka juu kuliwahi nikalikamata na kulizima nikiwa huko angani na ndoto ikakakata hapo kuamka hoi
Duh! Kumbe tuko wengi? Kweli si bure. Hizi ndoto kuna kitu zinaashiria 😄
 
Aisee hii ndoto mm haipiti siku 1 lazima niote tena inajia sana sijui kwanini hapa sio bure kuna namna haiwezekani kila siku mandoto ya shule mara nipo shule ya msingi mara secondary mara chuo
Ila kuna siku ndio iliniacha hoi niliota kuna vita vya dunia sasa likapigwa bomu la nyukilia likaenda juu likawa linakuja maeneo ya chuo chetu na wanafunzi wapo wengi basi wakawa wanakimbia huku na kule kila mtu anaogopa basi mm nikapaaa mpaka juu kuliwahi nikalikamata na kulizima nikiwa huko angani na ndoto ikakakata hapo kuamka hoi

Change kwanza ID name unajiita shetani unategemea nini[emoji16][emoji16][emoji16]
Utani tuu mkuu
 
Dah mkuu kumbe inatukuta wengi? Ila mimi huwa inatokea mara nyingi nachelewa mtihani yaani naweza hisi naenda kabisa ila nkifika mtihani huwa ushaisha au unakuta msimamizi ananicheleweshea tu mtihani mwisho wa siku siandiki chochote kwenye mtihani huo.

Ndoto mara nyingi huwa ni mtihani wa chuo ila location huwa ni sehemu ambayo nimesoma advenced level.
 
Kama title inavyosema, nimekuwa nikiota niko shule na ni kipindi cha kumaliza. Kipindi cha mitihani.

Sasa huwa najikuta sijasoma kabisa na mtihani ndio huo! Basi huwa naweweseka sana na kuwa na hofu. Wakati wengine wanajiandaa mi huwa sijui niko bize na nini. Mwisho wa siku huwa napata ahueni kuwa ni ndoto.

Kubwa kuliko ni usiku uliopita. Mitihani mingine japo sikuwa nimesoma niliifanya kiaina, kama kingereza (sikumbuki ilikuwa level gani-sec or primary). Sasa mtihani wa mwisho ilikuwa namba.

Yani kila nikiwaza sioni natoboa vipi. Sikumbuki fomula wala nini. Kila ninayemfuata japo animumbushie longolongo nyingi. Wakawa wananiambia nikae karibu na mtaalam ili nidese. Bado simutaka iwe hivyo.

Ikawa imebaki masaa machache pepa kuanza. Hapo ni alhamis. Kumbe bana mi ndio nilikuwa sijui kuwa kuwa pepa itafanyika next week jumanne.

Yani ni kama niliona nyota ya jaha kwa furaha na ahueni. Ningepata muda wa kutosha kureview na angalau kujibu baadhi ya maswali.

Nilifurahi zaidi nilipogundua kuwa ni ndoto.

Siku chache zilizopita tena nikaota tuko kwenye mitihani. Safari hii ni chuo. Pepa za kumaliza mwaka wa mwisho. Mambo yakawa mengi naingia humu natokea mule.

Basi ikawa mitihani iliyobakia sikufanya. Hiyo ikimaanisha sitagraduate.

Basi ndoto za namna hii zimeshajirudia zaidi ya mara kumi. Hatari sana
Hii inamaanisha kuwa hapo ulipo upo idol. Yaani ni kama haujatimiza ndoto yako ulivyotaka uwe. Upo katika situation ambayo ni low kuliko ulivyotakiwa kuwa. So pambana tafuta njia ya kutoka hapo kwenye hilo shimo ulipostuck.
 
find some people u have had good relations from the past but currently you have ignored, they can be your parents, relatives school mates, perhaps things are tough and just cheking on them u might wonder how opportunities turn in.
Sure. Kuna shule, sehemu niliyofanya kazi awali, na kadhalika. Huwa yanajirudia sana
 
Back
Top Bottom