Pole sana mkuu me ndoto kama hizi huwa zinanitokea na hii za mitihani huwa zinanitokea kweli najikuta nipo katika kipindi cha kufanya mitihani na sijasoma nk,ila nilitamani kuuliza kwa wa2 lakini nikashindwa ila sikujua kwa nini nilishindwa kuuliza,kwenye pita pita zangu mitandaoni nikakuta kuna m2 kauliza swali hilo hilo kwa mtu mwenye uelewa wa elimu hiyo husika na moja wapo ya jibu alilotoa ni kuwa ndoto hiyo si nzuri sana kwa m2 kuiota kwani inaelekea mtu kupata shida, changamoto,matatizo,wakati mgumu na vitu vinavyofanana na hivyo nilivyo vielezea,ila ili upate jibu kamili ingia hata youtube search juu ya hiyo ndoto na jibu utapata.
Ila yote kwa yote Akili ya kuambiwa changanya na yako