Sijui imanani hako lakini ndoto yako iko halisi kiroho.Habari. Kuna hii ndoto ambayo karibu Kila wiki lazima niiote. Ninakuwa naokota pesa za sarafu mpaka za mataifa mengine na zinakuwa nyingi kiasi kwamba naweza kutembea hata kilomita Moja na Kila mahali naokota hizi pesa. Nimeanza kuiota kitambo sana. Usiku wa kuamkia Leo pia nimeiota Sasa nilikuwa na mdogo wangu wa like akaniona naokota na yeye akaanza kuokota ila akawa ananilaumu Kwa nini Huwa naokota mwenyewe Kwa Siri na yeye simwambii. Wenye ujuzi wa fasiri za ndoto msaada tafadhali maana nimeipuuzia sana lakini inabidi sasa nipate jawabu.
Asante. Mimi ni mkristo. Nitawasiliana na washauri wa kiroho nisikie maoni yaoSijui imanani hako lakini ndoto yako iko halisi kiroho.
Tuchukulie katika hali ya kawaida. Je ukiwa unatembea ukaona hera njiani, kwa mfano 10,000 Tshs utaichukua au utaicha?
Jibu ni INATEGEMEA. Kabla hujaichukua lazima uhakikishe Roho Mtakatifu amekuruhusu uichukue. Unaweza kuchukua pesa kumbe ni sadaka ilitolewa kwenye kafara au ni sadaka imewekwa kwa ajili ya mapepo. Hivyo ukiichukua kuna kitu kitakupata.
Hivyo hata kwenye suala la ndoto za pesa ni hivyo hivyo. Ndoto ya pesa inategemea. Kwa mfano: watu wengine wanaenda kwa waganga wakienyeji halafu wanatoa sadaka. Halafu mganga anaweza kuchimba na kuzika zile pesa kama ishara ya kuzitoa kwa miungu.
Katika ulimwengu wa roho, zile pesa zinakuwepo kule. Sasa wewe kwenye ndoto unaota unachimba hera then unazichukua halafu zinakuwa haziishi.
Mara nyingi ni roho ya umasikini inakuwa inakufata, ndio maana unaokota sarafu pekee na sio noti. Tafuta msaada wa kiroho kulingana na imani yako.
IllusionsHabari. Kuna hii ndoto ambayo karibu Kila wiki lazima niiote. Ninakuwa naokota pesa za sarafu mpaka za mataifa mengine na zinakuwa nyingi kiasi kwamba naweza kutembea hata kilomita Moja na Kila mahali naokota hizi pesa. Nimeanza kuiota kitambo sana. Usiku wa kuamkia Leo pia nimeiota Sasa nilikuwa na mdogo wangu wa kike akaniona naokota na yeye akaanza kuokota ila akawa ananilaumu Kwa nini Huwa naokota mwenyewe Kwa Siri na yeye simwambii. Wenye ujuzi wa fasiri za ndoto msaada tafadhali maana nimeipuuzia sana lakini inabidi sasa nipate jawabu.
Nilidharau pia muda wote ila the frequency of repetition makes me uncomfortableIllusions
Fanya kazi hakuna pesa za bure bure[emoji23]
Funguka basi my mentor, nasubiri madini hako😅✌️Sarafu ni ishara mbaya mkuu
Kazi nafanya mkuu bi zaidi ya miongo miwili Sasa!Illusions
Fanya kazi hakuna pesa za bure bure[emoji23]
Mtaalamu Rakims atakupa tafsiriKinachonisja
Nilidharau pia muda wote ila the frequency of repetition makes me uncomfortable
Nitafuatilia mkuuSarafu ni ishara mbaya mkuu
Sarafu humaanisha ukata mkuuFunguka basi my mentor, nasubiri madini hako😅✌️
Utashinda mkuu,uzuri umeshtuka mapema fanyia maombiNitafuatilia mkuu
Kama yupo hapa atoe msaada Kwa faida ya wengi
Uko vizuri, ni ishara ya roho ya umasikini.Sarafu humaanisha ukata mkuu
Naumwa mwenzioUko vizuri, ni ishara ya roho ya umasikini.
Uko adimu sana why?
🤣🤣🤣🤣
Pole sana. Hope umepata tiba.Naumwa mwenzio