Ndoto inayojirudia ya kuokota pesa za sarafu ina maana gani?

Ndoto inayojirudia ya kuokota pesa za sarafu ina maana gani?

Mhh!! Kinachonishangaza ni huo wingi wa sarafu. Naweza kutembea kutoka Faya mpaka Muhimbili Kila mahali naziokota!!
Bro,unapata mwanamke wa level ya chini,unatongoza tena unapata wa namna hiyohiyo tena,Kuna kupata wa level yako hapo? Si utakuwa ushazeeka....kuziokotz hizohizo tu badala ya noti means hakuna maendeleo
 
Inatakiwa ujue sarafu ni za aina gani, na muda gani. Sarafu za copper au gold ambazo ni za zamani hiyo ni ishara nzuri kwamba kuna jema linakujia ila maadui wapo kuliharibu hivyo mtangulize Mungu kwa kila jambo.
Kama ni sarafu za kisasa mkuu safisha nyota na linda isichafuliwe au usiichafue
 
Inatakiwa ujue sarafu ni za aina gani, na muda gani. Sarafu za copper au gold ambazo ni za zamani hiyo ni ishara nzuri kwamba kuna jema linakujia ila maadui wapo kuliharibu hivyo mtangulize Mungu kwa kila jambo.
Kama ni sarafu za kisasa mkuu safisha nyota na linda isichafuliwe au usiichafue
Shukrani. Huwa naokota zile za zamani pia ambazo hazipo kwenye mzunguko lakini zinakuwa za nchi zingine. Whether ni gold au silver Sina hakika.
 
Habari. Kuna hii ndoto ambayo karibu Kila wiki lazima niiote. Ninakuwa naokota pesa za sarafu mpaka za mataifa mengine na zinakuwa nyingi kiasi kwamba naweza kutembea hata kilomita Moja na Kila mahali naokota hizi pesa. Nimeanza kuiota kitambo sana. Usiku wa kuamkia Leo pia nimeiota Sasa nilikuwa na mdogo wangu wa kike akaniona naokota na yeye akaanza kuokota ila akawa ananilaumu Kwa nini Huwa naokota mwenyewe Kwa Siri na yeye simwambii. Wenye ujuzi wa fasiri za ndoto msaada tafadhali maana nimeipuuzia sana lakini inabidi sasa nipate jawabu.
Mosi : tambua kuwa una majini..... hili utakuja kuliona huko mbeleni.....

Kila BINADAMU ana mapepo...hutegemea tu nguvu ya hayo mapepo na aina ya mapepo....

Umeona jinsi mdogo wako anavyokulaumu kuwa humwambii kama huwa unaokota?!!!

Yeye hana mapepo ya aina uliyonayo....hayo mapepo yamekuletea tu taswira ya kukuonyesha kuwa wewe ndiye mwenye nayo.....

Hakuna NDOTO ya kawaida anayoota mtu kwa kujirudia kila uchao.....

Mkuu umeshawahi kufanya kazi migodini kama nyoka?!!!

Binafsi nimeshawahi....na pamoja na KUWAHI kuota mambo ya Madini ili hazijawahi kunirudia Kama hizo zako ilihali nilikuwa nazama miduarani kila uchao......[emoji1787]

Nasita kuelezea mengi kwa kuwa zinaonekana imani za kishirikina....ila mambo ya aina hiyo yapo....japo si lazima kuhusisha nayo kwa kila kitu......

Peace & Love[emoji120]
 
nyota yako inatumika ndugu. jamaa anapiga pesa huko. kimbilia kwa Yesu ndio suluhisho, hata ukienda kwa mganga anaenda kuishukua na kumuuzia atakayempa pesa nzuri.
 
Habari. Kuna hii ndoto ambayo karibu Kila wiki lazima niiote. Ninakuwa naokota pesa za sarafu mpaka za mataifa mengine na zinakuwa nyingi kiasi kwamba naweza kutembea hata kilomita Moja na Kila mahali naokota hizi pesa. Nimeanza kuiota kitambo sana. Usiku wa kuamkia Leo pia nimeiota Sasa nilikuwa na mdogo wangu wa kike akaniona naokota na yeye akaanza kuokota ila akawa ananilaumu Kwa nini Huwa naokota mwenyewe Kwa Siri na yeye simwambii. Wenye ujuzi wa fasiri za ndoto msaada tafadhali maana nimeipuuzia sana lakini inabidi sasa nipate jawabu.

Hii ndoto ya umasiki mkuu! Unatakiwa uwokote noti nyekundu zile
 
Mosi : tambua kuwa una majini..... hili utakuja kuliona huko mbeleni.....

Kila BINADAMU ana mapepo...hutegemea tu nguvu ya hayo mapepo na aina ya mapepo....

Umeona jinsi mdogo wako anavyokulaumu kuwa humwambii kama huwa unaokota?!!!

Yeye hana mapepo ya aina uliyonayo....hayo mapepo yamekuletea tu taswira ya kukuonyesha kuwa wewe ndiye mwenye nayo.....

Hakuna NDOTO ya kawaida anayoota mtu kwa kujirudia kila uchao.....

Mkuu umeshawahi kufanya kazi migodini kama nyoka?!!!

Binafsi nimeshawahi....na pamoja na KUWAHI kuota mambo ya Madini ili hazijawahi kunirudia Kama hizo zako ilihali nilikuwa nazama miduarani kila uchao......[emoji1787]

Nasita kuelezea mengi kwa kuwa zinaonekana imani za kishirikina....ila mambo ya aina hiyo yapo....japo si lazima kuhusisha nayo kwa kila kitu......

Peace & Love[emoji120]
Sijawahi kabisa kufanya kazi mgodini. Kuna wakati nilitaka kujihusisha na madini kama broker nikakata mpaka leseni lakini ikawa longolongo nyingi na mambo ya kazi yakanibana nikashindwa nikashindwa
 
Back
Top Bottom