- Thread starter
- #41
Yesu Niko nae miaka yote mkuu!!nyota yako inatumika ndugu. jamaa anapiga pesa huko. kimbilia kwa Yesu ndio suluhisho, hata ukienda kwa mganga anaenda kuishukua na kumuuzia atakayempa pesa nzuri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yesu Niko nae miaka yote mkuu!!nyota yako inatumika ndugu. jamaa anapiga pesa huko. kimbilia kwa Yesu ndio suluhisho, hata ukienda kwa mganga anaenda kuishukua na kumuuzia atakayempa pesa nzuri.
Hizo za noti nyekundu za TZ au noti zingine Euro au USD hunijia mara chache na mara nyingi hizi za Euro na USD Huwa siziokoti inakuwa labda Kuna kazi nimepiga ndio nalipwa Kwa hizo currenciesHii ndoto ya umasiki mkuu! Unatakiwa uwokote noti nyekundu zile
basi chunguza maisha yako, usingeota hiyo ndogo kama upo vizuri.Yesu Niko nae miaka yote mkuu!!
Vizuri kiuchumi au???basi chunguza maisha yako, usingeota hiyo ndogo kama upo vizuri.
kiroho.Vizuri kiuchumi au???
Sawa mkuukiroho.
Niliota nimepata mibunda mingi sana ya hela yaani hazibebeki.Sijui imanani hako lakini ndoto yako iko halisi kiroho.
Mara nyingi ni roho ya umasikini inakuwa inakufata, ndio maana unaokota sarafu pekee na sio noti. Tafuta msaada wa kiroho kulingana na imani yako.
Pole sana mkuu😂😂 ulitamani iendeleeNiliota nimepata mibunda mingi sana ya hela yaani hazibebeki.
Nikapanga mipango kibao.
Duh, kuashtuka ndotoni nikamakia kitandani kwangu palepale kazakamba.
Nikalaani kwanini ndoto ile imeisha mapema.
Sasa nashtuka na kuamka sijatumia hata senti😁.Pole sana mkuu😂😂 ulitamani iendelee
Tawaza na maji ya moto uondoe kutu....maana sarafu huwa inashika kutu....na sarafu ni umaskini ondoa kutu kwenye maisha yako kwa kutawaza na maji ya moto.Habari. Kuna hii ndoto ambayo karibu Kila wiki lazima niiote. Ninakuwa naokota pesa za sarafu mpaka za mataifa mengine na zinakuwa nyingi kiasi kwamba naweza kutembea hata kilomita Moja na Kila mahali naokota hizi pesa. Nimeanza kuiota kitambo sana.
Usiku wa kuamkia Leo pia nimeiota Sasa nilikuwa na mdogo wangu wa kike akaniona naokota na yeye akaanza kuokota ila akawa ananilaumu Kwa nini Huwa naokota mwenyewe Kwa Siri na yeye simwambii.
Wenye ujuzi wa fasiri za ndoto msaada tafadhali maana nimeipuuzia sana lakini inabidi sasa nipate jawabu.
Shukrani kwa ushauri mkuuKiufupi mkuu unafanya kazi inayokupatia kipato kidogo na ni kwa muda mrefu sasa, na means ya kukuza kipato hujapata, na ndipo watu wako wa karibu wanakulaumu kwanini unafanya kuokota hizo hela ndogo hvo na humwambii kiasi anakutegemea akijua mambo supa kumbe hela mbuzi,
Buni vipato vipya japo ulicho nacho sasa usikiache, buni kipato baada ya kazi zako za kawaida, badili mfumo wa maisha, kama ulikua ukitoka job unapita kwa masela kutia stor badilisha ratiba, wafanye washkaji wawe mtaji wako kwa kubuni bidhaa ambayo watakua wanakuungisha mara kwa mara, usiruhusu mikopo, vaa mavazi nadhifu na safi, fanya usafi unapoishi na unapolala, fanya usafi wa roho na akili kwa kusoma Vitabu Vitakatifu na makala za ujasiriamali, badilisha mazungumzo/kauli zko kati yako na wote wanaokuzunguka ziwe nadhifu na zisizo na hasira, stor zako zisiwe za past events hard time bali ziwe za invensions..usisimange watu walioshindwa kimaendeleo wala usiwatolee mfano ktk stor zako isipokua wale wenye mafanikio ya kawaida unayoyaona na yaliyokuzunguka...pitia youtube handworks mbalimbali za kawaida hata mbili tatu kila siku, sikiliza gospal music mbili tatu kabla ya kulala kila siku
Hutaota tena hizo ndoto..baada ya kufanya haya.
Hali yako ya kiuchumi ikoje kwa sasa? Inaendana na matarajio yako?Habari. Kuna hii ndoto ambayo karibu Kila wiki lazima niiote. Ninakuwa naokota pesa za sarafu mpaka za mataifa mengine na zinakuwa nyingi kiasi kwamba naweza kutembea hata kilomita Moja na Kila mahali naokota hizi pesa. Nimeanza kuiota kitambo sana.
Usiku wa kuamkia Leo pia nimeiota Sasa nilikuwa na mdogo wangu wa kike akaniona naokota na yeye akaanza kuokota ila akawa ananilaumu Kwa nini Huwa naokota mwenyewe Kwa Siri na yeye simwambii.
Wenye ujuzi wa fasiri za ndoto msaada tafadhali maana nimeipuuzia sana lakini inabidi sasa nipate jawabu.
Jamani eeh.. nmeona weng wanasema kuhusu kuokota noti ndio ishara nzuri.. mwezi kama wa tatu kama sio wa nne niliota kuokota hayo manoti tena mengne yalikua yananitoka tu mfukoni ila ukata nilio nao kwny real life acha tu.. sasa which is which hapoHii ndoto ya umasiki mkuu! Unatakiwa uwokote noti nyekundu zile
Wewe umeamua umtie moyo muotaji , maana wadau wamemkazania ni umaskini wakati hiyo Billioni ni mkusanyiko wa shilling moja nyingi tuMizimu yako inakuonyesha pesa ipo njiani inakuja, wewe subiri tu Ila uwe na biashara halali