Grace glory
JF-Expert Member
- Feb 17, 2018
- 374
- 531
Funguka mkuuDah hili neno mkuda umenikumbusha mbali sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Funguka mkuuDah hili neno mkuda umenikumbusha mbali sana
Baada ya kumuombea wewe na wenzio nini kilitokea sasa mkuu?Kwa ndoto hii naomba tuombee nchi yetu Tanzania na pia tumuombee rais wake
kwanza niombe radhi kwa kuwa si muandishi mzuri ila ninachohitaji ni kufikisha ujumbe.. Katika kumbukumbu zangu mwaka 2012 nilikuwa na wazee kwenye kijiwe kimoja mjini wakawa wanawataja watu ambao wanaweza kuwa marais wa Tanzania baada ya mheshimiwa JK. Lakini mimi nikajikuta nimemtaja Jpm kuwa...www.jamiiforums.com
Sasa hapo mtu si tayari kashajipangia aote kuhusu nini?, ina maana hiyo sio ndoto ni mawazo/imagination ambazo hutumika hata na wapelelezi mkuuHapo unazungumzia hali ya mtu ambaye amesikia usingizi au amechoka na kuamua kujipumzikia kwa maana ya kulala na ndiyo ikatokea kuota ambapo ndio unasema ni matokeo ya ubongo kupumzika, upo sahihi kwa kiasi fulani lakini tukizungumzia kuhusu ndoto unajua kwamba inawezekana kutarajia kuota kuhusu jambo fulani kabla ya kulala?(ubongo kupumzika) yani mtu anataka kujua kuhusu jambo fulani mfano kujua kitu kilichopotea au kujua ukweli wa jambo fulani basi hutumia hiyo hali ya kulala huku akitarajia apate ndoto ambayo itahusu hilo jambo ambalo yeye anataka kulijua.
Je ushawahi kusikia vitu kama hivyo?
Kwani ndoto ni nini?Sasa hapo mtu si tayari kashajipangia aote kuhusu nini?, ina maana hiyo sio ndoto ni mawazo/imagination ambazo hutumika hata na wapelelezi mkuu
Mleta mada atakwambia hiyo ni coincidence, nadhani kutakuwa na ndoto za coincidence itabidi atupe somo lake.Mi sipuuzi ndoto, kuna muda huwa naota vitu na vinatokea vile vile
Sio coincidence aseee, kwenye ndoto.....kuna meseji kibao, mie huwa sipuuzii ndoto kabisaMleta mada atakwambia hiyo ni coincidence, nadhani kutakuwa na ndoto za coincidence itabidi atupe somo lake.