Ndoto niliyoiota alfajiri ya leo imeniogopesha sana, sidhani kama ilikuwa ni ndoto ya dhiki kuu ijayo Tanzania

Ndoto niliyoiota alfajiri ya leo imeniogopesha sana, sidhani kama ilikuwa ni ndoto ya dhiki kuu ijayo Tanzania

Nimeota tumepewa paund 200 na bibi yangu, kila mmoja, mama yangu, mimi na mdogo wangu.

Niko kwenye eneo kùbwa la wazi, ni kama karakana, supervisor mzungu akanifuata akaniambia niondoke hapo mara moja. Hali ni mbaya sana nitafute eneo salama.

Nikaingia ndani ya nyumba, na mara ghafla mvua kubwa sana ikaanza kunyesha.

Nyumba ilikuwa ikivuja sana nikaamua kwenda nje nitafute sehemu nitakayoweza kujisitiri.

Baada ya kutoka nje hatua chache nikaona maji yametengeneza mto mkubwa sana sehemu ambayo haijawahi kuwa mto. Nikaogopa.

Nikaamua kurudi nilikotoka. Maji yakawa yameongezeka sana, na mara ghafla nyumba ikaanza kuungua.

Nikawa napiga kelele za moto, moto, moto hamna anayeitikia na kuja kunisaidia.

Nikaamua niende kupanda ukuta wa fence, nao ukaanza kuwaka moto.

Sasa moto ukawa unawaka kwenye kila nyumba. Moto unatoka angani, umesambaa kila mahali, hamna pa kujificha.

View attachment 2789862

Moto unashuka mithili ya mvua, nikasema kufa ndio huku.

Nikaanza kumwambia Mungu, kwa hiyo ndio umeamua tufe? Mungu akasema hata wakati wa gharika wapo waliopona.

Hata nilipoteketeza Sodoma na Gomora wapo waliopona.

Nikashtuka na kujikuta nimelowa sana jasho.
ACHA dhambi ,Tubu na kuiamini injili na kwamba Yesu ni bwana nanmwokozi wa maisha Yako.UFALME WA MUNGU U KARIBU MAANA HAKUNA AJUAYE SIKU WALA SAA.
 
Jina lako mwenye maviii matupu unawajua wayebusi au unajipachika na kujipendekeza tokana na ujuhaaa na ushambaa mbali na ukumbaff?
Haya, endelea kutukana, tena tafuta matusi makubwa ya kudhalilisha, na kufedhehesha ndio ninayo yastahili
 
Njoo kwenye dini yetu ya wasela. Ndoto kama hizo tunazikemea kwa kuvuta bangi mbichi
 
Hii ni DPW
Mama Tanzania ameoewa vipande vya pesa, ameunguza nyumba/nchi.
SUbirini cha moto.

Sasa wananunua ardhi Njombe, wakitoka huko madini, mbuga za wanyama, sgr, umeme, Ngorongoro nk.

Sitaki kei wa lumumba ani quote
😥
 
Nilisikia matajiri hawaotagi ndoto za vitisho kama hizo....

Anyways, back to topic imekuwaje ndoto Yako umeihusisha moja Kwa moja kwenye level ya taifa na sio level ya maisha Yako Binafsi,ya familia au ya ukoo wako?Angalau hapo ulipomuota bibi Yako unaonaje hiyo scene angekuwa Kambarage,au Mzee wa Chato?angalau tungeihusisha na Taifa
 
Hiyo ni pamoja na habari za hamas kwenye ubongo, japo kuna fumbo kuhusu yajayo hapo kwenu
 
Muwe mnakula jioni hizo ndoto zitaacha njaa ina athari nyingi
 
Nimeota tumepewa paund 200 na bibi yangu, kila mmoja, mama yangu, mimi na mdogo wangu.

Niko kwenye eneo kùbwa la wazi, ni kama karakana, supervisor mzungu akanifuata akaniambia niondoke hapo mara moja. Hali ni mbaya sana nitafute eneo salama.

Nikaingia ndani ya nyumba, na mara ghafla mvua kubwa sana ikaanza kunyesha.

Nyumba ilikuwa ikivuja sana nikaamua kwenda nje nitafute sehemu nitakayoweza kujisitiri.

Baada ya kutoka nje hatua chache nikaona maji yametengeneza mto mkubwa sana sehemu ambayo haijawahi kuwa mto. Nikaogopa.

Nikaamua kurudi nilikotoka. Maji yakawa yameongezeka sana, na mara ghafla nyumba ikaanza kuungua.

Nikawa napiga kelele za moto, moto, moto hamna anayeitikia na kuja kunisaidia.

Nikaamua niende kupanda ukuta wa fence, nao ukaanza kuwaka moto.

Sasa moto ukawa unawaka kwenye kila nyumba. Moto unatoka angani, umesambaa kila mahali, hamna pa kujificha.

View attachment 2789862

Moto unashuka mithili ya mvua, nikasema kufa ndio huku.

Nikaanza kumwambia Mungu, kwa hiyo ndio umeamua tufe? Mungu akasema hata wakati wa gharika wapo waliopona.

Hata nilipoteketeza Sodoma na Gomora wapo waliopona.

Nikashtuka na kujikuta nimelowa sana jasho.
Uyo Bibi yako aliyekupa pesa Yuko hai au amekufa?
 
Nikaanza kumwambia Mungu, kwa hiyo ndio umeamua tufe?
yaani umepata fursa ya kuongea na Mungu ndio ukawa unamuuliza maswali ya kindezi hivi? mkuu hebu lala tena uote hiyo ndoto ukaombe radhi na siku nyingine uwe unauliza maswali yenye tija.
 
Nimeota tumepewa paund 200 na bibi yangu, kila mmoja, mama yangu, mimi na mdogo wangu.

Niko kwenye eneo kùbwa la wazi, ni kama karakana, supervisor mzungu akanifuata akaniambia niondoke hapo mara moja. Hali ni mbaya sana nitafute eneo salama.

Nikaingia ndani ya nyumba, na mara ghafla mvua kubwa sana ikaanza kunyesha.

Nyumba ilikuwa ikivuja sana nikaamua kwenda nje nitafute sehemu nitakayoweza kujisitiri.

Baada ya kutoka nje hatua chache nikaona maji yametengeneza mto mkubwa sana sehemu ambayo haijawahi kuwa mto. Nikaogopa.

Nikaamua kurudi nilikotoka. Maji yakawa yameongezeka sana, na mara ghafla nyumba ikaanza kuungua.

Nikawa napiga kelele za moto, moto, moto hamna anayeitikia na kuja kunisaidia.

Nikaamua niende kupanda ukuta wa fence, nao ukaanza kuwaka moto.

Sasa moto ukawa unawaka kwenye kila nyumba. Moto unatoka angani, umesambaa kila mahali, hamna pa kujificha.

View attachment 2789862

Moto unashuka mithili ya mvua, nikasema kufa ndio huku.

Nikaanza kumwambia Mungu, kwa hiyo ndio umeamua tufe? Mungu akasema hata wakati wa gharika wapo waliopona.

Hata nilipoteketeza Sodoma na Gomora wapo waliopona.

Nikashtuka na kujikuta nimelowa sana jasho.
huu moto ungeshuka tu uwachome wanasiasa wote wanaoipeleka nchi yetu kwenye matatizo ili tubaki salama. hao wanaotudanganya kumbe wanakula pesa zetu. choma moto hadi wawe majivu.
 
Uchumi unateketea ni bibi yako anahusika katika kuteketeza uchumi wako na mama na mdogo wako...

Kuota unapewa hela ni umasikini ulikuwa unapewa...

Mungu amekuonyesha adui yako, na amekuonyesha atavyokupigania...

Omba sana Mungu...

Mathayo 10:36
Adui wa mtu ni wale wa nyumbani mwake...
Kweli inabidi ajiombee yeye Binafsi
 
Back
Top Bottom