Ndoto nyingine hizi jamani, hivi ushawahi kumuota member yeyote wa JF?

Ndoto nyingine hizi jamani, hivi ushawahi kumuota member yeyote wa JF?

yeeeeeesssssssssuuu!!!!!!! ashindwe shetani na mamlaka yake! mimi when I have doubts juu ya kitu fulani mara nyingi huwa kweli sasa kwa case kama hii ya ndoto mhmh! nimewaza sana make pia nikirudia rudia kuzungumzia kitu basi hapo Kuna kitu

Ndoto zingine huja pale unapokua unakiwazia kitu kwa sana.. kiwe kibaya au kizuri... it's all in your mind, all in your head... ukikiweka moyoni au rohoni ndiyo pale unapojikuta unachukia mtu/watu bila sababu...

Relax enjoy, i'm all yours mahondaw wangu....
 
Mindset tu. Japo ndoto zenye ujumbe hua na utaofauti sana na hiyo, so hamna haja ya kupata wasiwasi.
Kuna kipindi hata mimi napitiwa na usingizi unaota watu wanakoment tu kwenye mathread vimbwanga kama hivyo😀😀. Na mara nyingine inajirudia. Hasa kama unamawazo mengi na mastress lazima itokee coz nisehem ambayo najumuika na social life 50%

Ni kweli...
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] naona kuna mdada huku jf anakunyima ucngiz...pole sana shem
 
hivi unaanzaje kumuota mtu ambaye hujui kuwa ni me au ke ..mnene au mwembamba...mweupe au mweusi maana humu jf usikute Bujibuji ni ke samahan kaka kwa kukutolea mfano na Shunie ni me ila hatujui sababu yupo nyuma ya keyboard


hyo ni mifano tu ila buji ni kaka yetu wote tunalijua hilo

na Shunie ni mrembo haswaaaa mtoto wa mwananyamala kota huyu....kale ka avatar kako kazaman nimekamis
 
hivi unaanzaje kumuota mtu ambaye hujui kuwa ni me au ke ..mnene au mwembamba...mweupe au mweusi maana humu jf usikute Bujibuji ni ke samahan kaka kwa kukutolea mfano na Shunie ni me ila hatujui sababu yupo nyuma ya keyboard


hyo ni mifano tu ila buji ni kaka yetu wote tunalijua hilo

na Shunie ni mrembo haswaaaa mtoto wa mwananyamala kota huyu....kale ka avatar kako kazaman nimekamis
Unajitungia tu sura ya mkaka/mdada mzuriiiiiii. Ndo maana tunakimbianaga tukionana

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
 
yawezekana umekuwa ukimuwaza sana huyo memba ndio maana umemuota
 
Back
Top Bottom