atashinda labda kama africa yote iko kijijini kwenu...Mi nawashangaa sana watanzania. Tuna rais ambaye africa nzima akigombea urais anashinda. Then nchini kwake anaonekana kituko. Binafsi huwa naumia sana ninapoona mtu anambeza rais. Amefanya mangapi mazuri then mnakuja kumdisqualify kwa vitu vidigo sana. Ikumbukwe yeye si malaika, hivyo anaweza kukosea ama kufanya jambo ambalo wewe ama nyie hamkupendezwa nalo.
unaota mchana, uta phungwa weye!Wana Jf wenzangu......!!
Leo ni mara ya 3 nikitokewa na ndoto kuwa Rais wa JPM atakuwa kiongozi pekee atakayeliongoza Taifa kwa kipindi cha Miaka 5 tu na sababu pekee ni kwamba atapigwa chini katika mchakato wa kumpata mgombea ndani ya chama chake.
Hii ni kutokana na makundi mengi ambayo yameanza kujipanga kwa kutumia mbinu mbalimbali ndani ya chama kwani wengi wao awapendezwi na aina ya utawala anaoendelea nao kwa sasa ndani ya chama na Taifa.
Ni hayo tu nimeona niwashirikishe....!!
Kulingana na takwimu kwa muda wa miaka 15 hii kikwete ndiye anaekubalika kwa kura nyingi 85%Kwenda huko. Kwa sasa hakuna makundi kwenye chama. Na pia kati ya maraisi waliotawala tanzania ukiondoa nyerere, huyu ndo anakubalika kuliko wote
Amejimilikisha heka ngapi?Hii inakuja kwa kasi sana!! Anajimilikisha hati miliki ya Tanzania wakati nchi hii ni yetu sote.....akimaliz 5yrs aende.....zake ameharibu....nchi na uchumi aende zake
Ushindwe!Wana Jf wenzangu......!!
Leo ni mara ya 3 nikitokewa na ndoto kuwa Rais wa JPM atakuwa kiongozi pekee atakayeliongoza Taifa kwa kipindi cha Miaka 5 tu na sababu pekee ni kwamba atapigwa chini katika mchakato wa kumpata mgombea ndani ya chama chake.
Hii ni kutokana na makundi mengi ambayo yameanza kujipanga kwa kutumia mbinu mbalimbali ndani ya chama kwani wengi wao awapendezwi na aina ya utawala anaoendelea nao kwa sasa ndani ya chama na Taifa.
Ni hayo tu nimeona niwashirikishe....!!
Aliwahi kufanya Sara kasi hizo Lowassa 2010 muulize kilichompataWana Jf wenzangu......!!
Leo ni mara ya 3 nikitokewa na ndoto kuwa Rais wa JPM atakuwa kiongozi pekee atakayeliongoza Taifa kwa kipindi cha Miaka 5 tu na sababu pekee ni kwamba atapigwa chini katika mchakato wa kumpata mgombea ndani ya chama chake.
Hii ni kutokana na makundi mengi ambayo yameanza kujipanga kwa kutumia mbinu mbalimbali ndani ya chama kwani wengi wao awapendezwi na aina ya utawala anaoendelea nao kwa sasa ndani ya chama na Taifa.
Ni hayo tu nimeona niwashirikishe....!!
Nyerere aliona mbali sana juu ya kabla lenu-laiti tungefata maono yake yote haya tusingekuwa tunayaongea sa hivi.Mkuu Elirehema, naunga mkono hoja kuwa Magufuli atamaliza miaka yake yote 10 sio kwa sababu wewe wasema, but only if God wishes ndio maana tunamuombea.
Sisi wengine tunapendekeza tubadili katiba hata baada ya miaka kumi aendelee tuu
Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?
Paskali
Hivi ww unajua hata nchi inavyojiendesha kweliCCM wakifanya hivyo wajue hawatopata tena uongozi wa nchi yetu. Anachokifanya Magufuli sasa hakuna yeyote mwingine kwa ndani ya CCM anaeweza. Hao wasiomtaka ni wale waliozoea ile mifumo ya zamani ya wizi na ubadhirifu. Ndio kuna changamoto kadhaa ambazo zinarekebishika lakini sasa hivi kuna nidhamu ya hali ya juu na matumizi ya kipuuzi hamna kabisa.
Nawaasa wana-CCM wenzangu msifanye hilo kosa.
***Mabaya ya rais ni yapi. Mniambie labda na mm nitashawishika kutomwamini
Huu muandiko ni wa mtu asiye na mihemko, safi sana wape hongera waliokupeleka shulMi nawashangaa sana watanzania. Tuna rais ambaye africa nzima akigombea urais anashinda. Then nchini kwake anaonekana kituko. Binafsi huwa naumia sana ninapoona mtu anambeza rais. Amefanya mangapi mazuri then mnakuja kumdisqualify kwa vitu vidigo sana. Ikumbukwe yeye si malaika, hivyo anaweza kukosea ama kufanya jambo ambalo wewe ama nyie hamkupendezwa nalo.