NDOTO: Rais Magufuli kutawala awamu moja tu...

NDOTO: Rais Magufuli kutawala awamu moja tu...

Mi nawashangaa sana watanzania. Tuna rais ambaye africa nzima akigombea urais anashinda. Then nchini kwake anaonekana kituko. Binafsi huwa naumia sana ninapoona mtu anambeza rais. Amefanya mangapi mazuri then mnakuja kumdisqualify kwa vitu vidigo sana. Ikumbukwe yeye si malaika, hivyo anaweza kukosea ama kufanya jambo ambalo wewe ama nyie hamkupendezwa nalo.
atashinda labda kama africa yote iko kijijini kwenu...
 
Kwa taarifa yako ndugu....kama mh. magufuri asipogombea mwaka 2020 basi ndio Mwisho wa CCM na itakuwa bonge la advantage kwa upinzani. Kwa maana Magufuri ndiye mtu aliyebaki mwenye viashiria vya uzalendo nje ya hapo hakuna wa kumreplace magufuri.
 
Wana Jf wenzangu......!!

Leo ni mara ya 3 nikitokewa na ndoto kuwa Rais wa JPM atakuwa kiongozi pekee atakayeliongoza Taifa kwa kipindi cha Miaka 5 tu na sababu pekee ni kwamba atapigwa chini katika mchakato wa kumpata mgombea ndani ya chama chake.

Hii ni kutokana na makundi mengi ambayo yameanza kujipanga kwa kutumia mbinu mbalimbali ndani ya chama kwani wengi wao awapendezwi na aina ya utawala anaoendelea nao kwa sasa ndani ya chama na Taifa.

Ni hayo tu nimeona niwashirikishe....!!
unaota mchana, uta phungwa weye!
 
Mie nilivyoona jinsi Mungu wa Lema alivyowekwa gerezani kwa kosa la kumuotesha ndoto Lema dhidi ya watawala wa Dunia hii, nimeacha kabisa utaratibu wa kuotaota. Nimekoma
 
hii issue ni hatari kuliko ile ndoto ya Mh LEMA. Hivi bado upo uraiani ?
 
Kwenda huko. Kwa sasa hakuna makundi kwenye chama. Na pia kati ya maraisi waliotawala tanzania ukiondoa nyerere, huyu ndo anakubalika kuliko wote
Kulingana na takwimu kwa muda wa miaka 15 hii kikwete ndiye anaekubalika kwa kura nyingi 85%
Awamu ya pili 61% ilihali Magufuli ni 58% ukijumlisha na za MARUHANI.
 
Na iwe ndoto hivyohivyo,atawale awamu zaidi na akitoka aje mwingine kiboko kuliko yeye,binadamu hatuna shukrani.
 
Wana Jf wenzangu......!!

Leo ni mara ya 3 nikitokewa na ndoto kuwa Rais wa JPM atakuwa kiongozi pekee atakayeliongoza Taifa kwa kipindi cha Miaka 5 tu na sababu pekee ni kwamba atapigwa chini katika mchakato wa kumpata mgombea ndani ya chama chake.

Hii ni kutokana na makundi mengi ambayo yameanza kujipanga kwa kutumia mbinu mbalimbali ndani ya chama kwani wengi wao awapendezwi na aina ya utawala anaoendelea nao kwa sasa ndani ya chama na Taifa.

Ni hayo tu nimeona niwashirikishe....!!
Ushindwe!
 
Wana Jf wenzangu......!!

Leo ni mara ya 3 nikitokewa na ndoto kuwa Rais wa JPM atakuwa kiongozi pekee atakayeliongoza Taifa kwa kipindi cha Miaka 5 tu na sababu pekee ni kwamba atapigwa chini katika mchakato wa kumpata mgombea ndani ya chama chake.

Hii ni kutokana na makundi mengi ambayo yameanza kujipanga kwa kutumia mbinu mbalimbali ndani ya chama kwani wengi wao awapendezwi na aina ya utawala anaoendelea nao kwa sasa ndani ya chama na Taifa.

Ni hayo tu nimeona niwashirikishe....!!
Aliwahi kufanya Sara kasi hizo Lowassa 2010 muulize kilichompata
 
Mkuu Elirehema, naunga mkono hoja kuwa Magufuli atamaliza miaka yake yote 10 sio kwa sababu wewe wasema, but only if God wishes ndio maana tunamuombea.

Sisi wengine tunapendekeza tubadili katiba hata baada ya miaka kumi aendelee tuu
Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?
Paskali
Nyerere aliona mbali sana juu ya kabla lenu-laiti tungefata maono yake yote haya tusingekuwa tunayaongea sa hivi.
Alafy ww jamaa sifuri kabisa huna tofauti na akina polepole tena ww ni mnafiki huna tofauti na mchawi.siku zile magufuli anaongea na waandishi wa habari ulimuuliza magufuli swali kuwa kwa nini anafanya vitu bila kuzingatia katiba hapa unasema eti unapenda hata katiba ibadilike aendelee kutawala
 
Achana na ndoto ww, wako wapi wafuasi wa lowassa waliohamia chadema na tunajua karibu wa NEC wote walikua wake? Unadhani nani yupo tayari kushuhudia mwisho wake kisiasa endapo jaribio la kumpiga chini likifeli?
Mura serikali ni serikali acha ifanye kaz yake
 
CCM wakifanya hivyo wajue hawatopata tena uongozi wa nchi yetu. Anachokifanya Magufuli sasa hakuna yeyote mwingine kwa ndani ya CCM anaeweza. Hao wasiomtaka ni wale waliozoea ile mifumo ya zamani ya wizi na ubadhirifu. Ndio kuna changamoto kadhaa ambazo zinarekebishika lakini sasa hivi kuna nidhamu ya hali ya juu na matumizi ya kipuuzi hamna kabisa.

Nawaasa wana-CCM wenzangu msifanye hilo kosa.
Hivi ww unajua hata nchi inavyojiendesha kweli
 
NDOTO YAKO NI YA UKWELI ILA IKO KINYUMENYUME, UKWELI TUNAWEKA MKAKATI WA KUFUTA KIPENGELE CHA MIAKA 10 ILI KUWA 20, HIVYO KIMSINGI JPM ATAKUWA RAISI WA MUHULA MMOJA WA MIAKA HIYO 20, HADI MWAKA 2035
 
Mi nawashangaa sana watanzania. Tuna rais ambaye africa nzima akigombea urais anashinda. Then nchini kwake anaonekana kituko. Binafsi huwa naumia sana ninapoona mtu anambeza rais. Amefanya mangapi mazuri then mnakuja kumdisqualify kwa vitu vidigo sana. Ikumbukwe yeye si malaika, hivyo anaweza kukosea ama kufanya jambo ambalo wewe ama nyie hamkupendezwa nalo.
Huu muandiko ni wa mtu asiye na mihemko, safi sana wape hongera waliokupeleka shul
 
Back
Top Bottom