Nyati John
Member
- Feb 3, 2017
- 54
- 30
pia ni ndoto labda asingekuwa mwenyekiti wa chama.....huyu atapitishwa hata kwa nguvu...
Mwizi akimaliza kuwaibia waliomzunguka mwisho hujiibia mwenyewe! CCM imekwisha maliza wapinzanj,lakini kiu ya kumaliza bado wanayo !Hiyo ndiyo itakayo wamaliza!