NDOTO: Rais Magufuli kutawala awamu moja tu...

NDOTO: Rais Magufuli kutawala awamu moja tu...

Kwenda huko. Kwa sasa hakuna makundi kwenye chama. Na pia kati ya maraisi waliotawala tanzania ukiondoa nyerere, huyu ndo anakubalika kuliko wote
Anakubarika kwa kuvuruga uchumi wa nchi
 
Mi nawashangaa sana watanzania. Tuna rais ambaye africa nzima akigombea urais anashinda. Then nchini kwake anaonekana kituko. Binafsi huwa naumia sana ninapoona mtu anambeza rais. Amefanya mangapi mazuri then mnakuja kumdisqualify kwa vitu vidigo sana. Ikumbukwe yeye si malaika, hivyo anaweza kukosea ama kufanya jambo ambalo wewe ama nyie hamkupendezwa nalo.
Yapi mazuri? Kuzindua mwendo kasi!? Kuzindua daraja la kigambon!? Kuzindua kiwanda cha bakhresa!? Niambie ni mradi gan mkubwa umesimamiwa au unasimamiwa na bwana huyu kwa takriban miaka mawili zaid ya Chato international airport!?[emoji35][emoji35][emoji35]
 
Kwani huwa mchakato wa kumpata mgombea huwa ni wa miaka mitano mitano au ukishapita ndo huwa wa awamu ya miaka kumi.
 
Wana Jf wenzangu......!!

Leo ni mara ya 3 nikitokewa na ndoto kuwa Rais wa JPM atakuwa kiongozi pekee atakayeliongoza Taifa kwa kipindi cha Miaka 5 tu na sababu pekee ni kwamba atapigwa chini katika mchakato wa kumpata mgombea ndani ya chama chake. Hii ni kutokana na makundi mengi ambayo yameanza kujipanga kwa kutumia mbinu mbalimbali ndani ya chama kwani wengi wao awapendezwi na aina ya utawala anaoendelea nao kwa sasa ndani ya chama na Taifa.

Ni hayo tu nimeona niwashirikishe....!!
Mkuu hili linafahamika wazi tunasubir muda uwadie
 
Mi nawashangaa sana watanzania. Tuna rais ambaye africa nzima akigombea urais anashinda. Then nchini kwake anaonekana kituko. Binafsi huwa naumia sana ninapoona mtu anambeza rais. Amefanya mangapi mazuri then mnakuja kumdisqualify kwa vitu vidigo sana. Ikumbukwe yeye si malaika, hivyo anaweza kukosea ama kufanya jambo ambalo wewe ama nyie hamkupendezwa nalo.
Kwa taarifa yako wako watu wanalaani hata yale Mungu anafanya. Hata Yesu pamoja na kutenda mema, aliponya wagonjwa, alifufua wafu, akawaelekeza njia ya kwenda mbinguni, lakini walimkataa na kumuua. Huna sababu ya kushangaa.
 
Dogo, siku ingine ukitaka kuota lala kwanza. Hizo zenu za kuota huku uko macho ni uchizi.
 
Kwenda huko. Kwa sasa hakuna makundi kwenye chama. Na pia kati ya maraisi waliotawala tanzania ukiondoa nyerere, huyu ndo anakubalika kuliko wote
Una kiwango cha juu cha ufahuru cha unafiki, hawa ndio watanzania
 
Uko sahihi kabisa mkuu, hiyo ni ndoto tu. Mie nilishaota zaidi ya mara tatu namiliki ndege binafsi, uhalisia hata bajaji sijawahi kumiliki!
 
Endeleeni kuweweseka ....huyu ataendelea na ataacha kwamjibu wa katiba hatahivyo wananchi watamtaka aendelee
 
Mi nawashangaa sana watanzania. Tuna rais ambaye africa nzima akigombea urais anashinda. Then nchini kwake anaonekana kituko. Binafsi huwa naumia sana ninapoona mtu anambeza rais. Amefanya mangapi mazuri then mnakuja kumdisqualify kwa vitu vidigo sana. Ikumbukwe yeye si malaika, hivyo anaweza kukosea ama kufanya jambo ambalo wewe ama nyie hamkupendezwa nalo.
Tutajie hayo mazuri.
 
Mi nawashangaa sana watanzania. Tuna rais ambaye africa nzima akigombea urais anashinda. Then nchini kwake anaonekana kituko. Binafsi huwa naumia sana ninapoona mtu anambeza rais. Amefanya mangapi mazuri then mnakuja kumdisqualify kwa vitu vidigo sana. Ikumbukwe yeye si malaika, hivyo anaweza kukosea ama kufanya jambo ambalo wewe ama nyie hamkupendezwa nalo.
Yataje hayo mazuri aliyoyafanya
 
Hatukuwa na ndege zetu wenyewe, hospitalini kama huna rushwa ilikuwa taabu ila sasa hivi unatibiwa vizuri, madawa ilikuwa shida ila kwa sasa yanapatikana, rushwa imepungua, watu walikuwa hawalipi kodi, mabarabara yakijengwa watu walikuwa wanaiba nusu ya pesa ila kwa sasa safiiiiii na mengine mengi tu siwezitaja yote.

Pamoja na mapungufu yake machache Rais Magu anatufaa sana kwa sasa hasa kudhibiti rushwa kwa mfano gharama za ujenzi wa reli mwanzo zilikuwa juu mara mbili zaidi ya sasa na hii ni baada ya kudhibiti rushwa. Muhimbili wagonjwa walikuwa wanalala hadi chini leo hii vitanda vinabaki tupu.
 
Mi nawashangaa sana watanzania. Tuna rais ambaye africa nzima akigombea urais anashinda. Then nchini kwake anaonekana kituko. Binafsi huwa naumia sana ninapoona mtu anambeza rais. Amefanya mangapi mazuri then mnakuja kumdisqualify kwa vitu vidigo sana. Ikumbukwe yeye si malaika, hivyo anaweza kukosea ama kufanya jambo ambalo wewe ama nyie hamkupendezwa nalo.
Wanasema eti kwakuwa style yake ya kuongoza 'yani style ya kupambana na dawa za kulevya na ufisadi' inawachukiza walio wengi...kwahio atawale kipindi kimoja tu.

Mafisadi na wauza unga mnayo matatizo....21/1 ya juzi kwenye uchaguzi wa 2020 itakuwa hivyohivyo so kikubwa mkubali kubadilika
 
Wana Jf wenzangu......!!

Leo ni mara ya 3 nikitokewa na ndoto kuwa Rais wa JPM atakuwa kiongozi pekee atakayeliongoza Taifa kwa kipindi cha Miaka 5 tu na sababu pekee ni kwamba atapigwa chini katika mchakato wa kumpata mgombea ndani ya chama chake. Hii ni kutokana na makundi mengi ambayo yameanza kujipanga kwa kutumia mbinu mbalimbali ndani ya chama kwani wengi wao awapendezwi na aina ya utawala anaoendelea nao kwa sasa ndani ya chama na Taifa.

Ni hayo tu nimeona niwashirikishe....!!
Na iwe hivyo.
Ila angalia usiitwe mchochezi mkuu.
 
Back
Top Bottom