NDOTO: Rais Magufuli kutawala awamu moja tu...

NDOTO: Rais Magufuli kutawala awamu moja tu...

Kwenye hii thready kuna hyo picha ya hyo jamaa Mwenye clip zake naomba huwa napenda anavyotoaga point zake japo Simjui jina but nadhan n mchambuzi Wa mambo ya siasa
 
Mm namkubali sana Magufuli, ananiuzi pale anapoingilia mihimili mingine tu,orelse namkubali sana.

Tanzania tunataka Rais wa namna ya Magufuli
 
Rais hawezi kutawala kwa awamu moja. Nyie mnaomwombea mabaya nyie ndo yawapate
Siku watanzania tukijua nini tunataka na wapi pa kwenda ndio itakuwa mwanzo wa kuendelea ikija mvua tunataka jua likija joto tunataka baridi yaani wengi wetu hatusomeki.
 
Ota tu ndoto hiyo haina madhara,si wenzio tunategemea atawale mpaka kiyama we unaleta ndoto hapa
 
Unakumbuka ya kuwa hata ile ya Godbless Lema ilikua ndoto?
Shauri yako...
 
Wana Jf wenzangu......!!

Leo ni mara ya 3 nikitokewa na ndoto kuwa Rais wa JPM atakuwa kiongozi pekee atakayeliongoza Taifa kwa kipindi cha Miaka 5 tu na sababu pekee ni kwamba atapigwa chini katika mchakato wa kumpata mgombea ndani ya chama chake. Hii ni kutokana na makundi mengi ambayo yameanza kujipanga kwa kutumia mbinu mbalimbali ndani ya chama kwani wengi wao awapendezwi na aina ya utawala anaoendelea nao kwa sasa ndani ya chama na Taifa.

Ni hayo tu nimeona niwashirikishe....!!
Wauza ngada wanatapatapa kweli!!!
 
Wana Jf wenzangu......!!

Leo ni mara ya 3 nikitokewa na ndoto kuwa Rais wa JPM atakuwa kiongozi pekee atakayeliongoza Taifa kwa kipindi cha Miaka 5 tu na sababu pekee ni kwamba atapigwa chini katika mchakato wa kumpata mgombea ndani ya chama chake. Hii ni kutokana na makundi mengi ambayo yameanza kujipanga kwa kutumia mbinu mbalimbali ndani ya chama kwani wengi wao awapendezwi na aina ya utawala anaoendelea nao kwa sasa ndani ya chama na Taifa.

Ni hayo tu nimeona niwashirikishe....!!


Inawezekana kwani viongozi wengi ndani ya hicho chama wameguswa maslahi yao.
 
Ndoto nyingi zinakuaga kinyume chake.Ukiota msiba ujue kuna harusi
 
No mimi ni kozi mwana mandanda, kulala njaa kupenda.

Paskali

Nimejaribu kuangalia picha hizi mbili na kujua kwa nini mnabishana.
7344ebf0d71f37db8dbb90080594eb76.jpg

84e97f30a43acd95f3fbf933546dd7c8.jpg

Urais ni talanta. Uendeshe kwa huba na mapenzi sio ugomvi na visasi
 
Kwani kumaliza awamu moja ni lazima.....。 Jitaidi uote tena mkuu na iwe kweli....kutoka feb hii 2017 mpaka 2020 ni mbali sana
 
Kwenda huko. Kwa sasa hakuna makundi kwenye chama. Na pia kati ya maraisi waliotawala tanzania ukiondoa nyerere, huyu ndo anakubalika kuliko wote
Kautafiti hako umekafanyia wapi,lini na kina nani uliwahoji?Usiwe mpiga debe wa bei sawa na bure!
 
Magufuli ataendelea kuwa rais kwa miaka 10. Tena binafsi natamani hata awe rais kwa miaka 20 au zaidi maana Tanzania tulihitaji rais kwa ma huyu tokea miaka mingi ilopita. Kwa nyie wazembe msiotaka kula kwa jasho ndo mnamchukia. Ila sisi ambao tulitamani atawle hata kabla hajachukua form ya kugombea ndo tunampenda na tunamwombea asubuhi na usiku.
Mtawazeni rais wa ukoo wenu milele!
 
Back
Top Bottom