Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nahisi ndoto yake kaikatisha episode 1 bado episode 2Kweli akiendelea anaweza kuota raisi akatawala vipindi viwili.
Siku watanzania tukijua nini tunataka na wapi pa kwenda ndio itakuwa mwanzo wa kuendelea ikija mvua tunataka jua likija joto tunataka baridi yaani wengi wetu hatusomeki.Rais hawezi kutawala kwa awamu moja. Nyie mnaomwombea mabaya nyie ndo yawapate
Wauza ngada wanatapatapa kweli!!!Wana Jf wenzangu......!!
Leo ni mara ya 3 nikitokewa na ndoto kuwa Rais wa JPM atakuwa kiongozi pekee atakayeliongoza Taifa kwa kipindi cha Miaka 5 tu na sababu pekee ni kwamba atapigwa chini katika mchakato wa kumpata mgombea ndani ya chama chake. Hii ni kutokana na makundi mengi ambayo yameanza kujipanga kwa kutumia mbinu mbalimbali ndani ya chama kwani wengi wao awapendezwi na aina ya utawala anaoendelea nao kwa sasa ndani ya chama na Taifa.
Ni hayo tu nimeona niwashirikishe....!!
Wana Jf wenzangu......!!
Leo ni mara ya 3 nikitokewa na ndoto kuwa Rais wa JPM atakuwa kiongozi pekee atakayeliongoza Taifa kwa kipindi cha Miaka 5 tu na sababu pekee ni kwamba atapigwa chini katika mchakato wa kumpata mgombea ndani ya chama chake. Hii ni kutokana na makundi mengi ambayo yameanza kujipanga kwa kutumia mbinu mbalimbali ndani ya chama kwani wengi wao awapendezwi na aina ya utawala anaoendelea nao kwa sasa ndani ya chama na Taifa.
Ni hayo tu nimeona niwashirikishe....!!
No mimi ni kozi mwana mandanda, kulala njaa kupenda.kwahio unatafta chakula, ukipata uta nyamaza na kula kimya kimya
No mimi ni kozi mwana mandanda, kulala njaa kupenda.
Paskali
Kabisa aendelee kulalaNahisi ndoto yake kaikatisha episode 1 bado episode 2
Kautafiti hako umekafanyia wapi,lini na kina nani uliwahoji?Usiwe mpiga debe wa bei sawa na bure!Kwenda huko. Kwa sasa hakuna makundi kwenye chama. Na pia kati ya maraisi waliotawala tanzania ukiondoa nyerere, huyu ndo anakubalika kuliko wote
Mtawazeni rais wa ukoo wenu milele!Magufuli ataendelea kuwa rais kwa miaka 10. Tena binafsi natamani hata awe rais kwa miaka 20 au zaidi maana Tanzania tulihitaji rais kwa ma huyu tokea miaka mingi ilopita. Kwa nyie wazembe msiotaka kula kwa jasho ndo mnamchukia. Ila sisi ambao tulitamani atawle hata kabla hajachukua form ya kugombea ndo tunampenda na tunamwombea asubuhi na usiku.
Mkuu Chakaza, hakuna ugomvi wala visasi bali ni nature tuu ya watu wa Kanda ileNimejaribu kuangalia picha hizi mbili na kujua kwa nini mnabishana.
![]()
![]()
Urais ni talanta. Uendeshe kwa huba na mapenzi sio ugomvi na visasi