NDOTO: Rais Magufuli kutawala awamu moja tu...

NDOTO: Rais Magufuli kutawala awamu moja tu...

Wana Jf wenzangu......!!

Leo ni mara ya 3 nikitokewa na ndoto kuwa Rais wa JPM atakuwa kiongozi pekee atakayeliongoza Taifa kwa kipindi cha Miaka 5 tu na sababu pekee ni kwamba atapigwa chini katika mchakato wa kumpata mgombea ndani ya chama chake.

Hii ni kutokana na makundi mengi ambayo yameanza kujipanga kwa kutumia mbinu mbalimbali ndani ya chama kwani wengi wao awapendezwi na aina ya utawala anaoendelea nao kwa sasa ndani ya chama na Taifa.

Ni hayo tu nimeona niwashirikishe....!!

Tangata,
Je,unajua kuwa ni uchochezi na nikosa la jinai KUOTA NDOTO inayo mhusu Rais JPM kwa namna yoyote ile?
Mwulize Mhe.Lema atakujuvya vizuri!!
Leo ni mwezi wa 4 yuko mahabusu kwa ndoto kayako!
Wasije wakakujua tu maana ni Hatari sana!!
 
wajaribu kumzuia asigombe awamu ya pili waone...kwani hawajui kwamba hajaribiwi?
 
Mi nawashangaa sana watanzania. Tuna rais ambaye africa nzima akigombea urais anashinda. Then nchini kwake anaonekana kituko. Binafsi huwa naumia sana ninapoona mtu anambeza rais. Amefanya mangapi mazuri then mnakuja kumdisqualify kwa vitu vidigo sana. Ikumbukwe yeye si malaika, hivyo anaweza kukosea ama kufanya jambo ambalo wewe ama nyie hamkupendezwa nalo.

Yeye anakosea kila siku! alafu kumbuka matatizo na machungu na matatizo ya ndoa wanayajua wanandoa wenyewe..
 
Chuki yuko wapi hapo? Nimeuliza swali wewe unaanza kuhororoja na kubwabwaja bila mpango.

Jibu swali:

Unaweza kutueleza kati ya Maraisi wote waliowahi kutawala Tanzania hii, ni yupi aliyejaribiwa kupinduliwa mara nyingi?
Huwezi kuwa na jibu la uhakika la swali lako!Maana yawezekana kuna majaribio mengi yaliwahi pangwa lakini hayakujulikana wala kuwahi tajwa!
 
Kwani anayewakamata lema na tundu ni raisi?. Sasa naanza kujua uwezo wenu wa kuchanganua amambo ukoje
Alafu unafikiri umetumia akili nyingi!!!unajitia hujui kuwa hao kina lema wako ndani kwasababu ya mamlaka take?
 
Kwahiyo umetuwekea huu uzi ili tujadili ndoto zako? ni kutupotezea wakati kama ulichokiandika source yake ni ndoto uliyoota hasa baada ya kula na kuvimbiwa makande yenye mchanganyiko wa kunde na njugu mawe.
 
Wana Jf wenzangu......!!

Leo ni mara ya 3 nikitokewa na ndoto kuwa Rais wa JPM atakuwa kiongozi pekee atakayeliongoza Taifa kwa kipindi cha Miaka 5 tu na sababu pekee ni kwamba atapigwa chini katika mchakato wa kumpata mgombea ndani ya chama chake.

Hii ni kutokana na makundi mengi ambayo yameanza kujipanga kwa kutumia mbinu mbalimbali ndani ya chama kwani wengi wao awapendezwi na aina ya utawala anaoendelea nao kwa sasa ndani ya chama na Taifa.

Ni hayo tu nimeona niwashirikishe....!!
Sio ndoto nani atalichagua tena
 
Wana Jf wenzangu......!!

Leo ni mara ya 3 nikitokewa na ndoto kuwa Rais wa JPM atakuwa kiongozi pekee atakayeliongoza Taifa kwa kipindi cha Miaka 5 tu na sababu pekee ni kwamba atapigwa chini katika mchakato wa kumpata mgombea ndani ya chama chake.

Hii ni kutokana na makundi mengi ambayo yameanza kujipanga kwa kutumia mbinu mbalimbali ndani ya chama kwani wengi wao awapendezwi na aina ya utawala anaoendelea nao kwa sasa ndani ya chama na Taifa.

Ni hayo tu nimeona niwashirikishe....!!
Upo sahihi ila wachache watakuelewa huo ndio ukweli wenyewe kwa mara ya kwanza chama kitakuwa na wagombea wengi 2020 tatizo la faru John anaona kama vile anaonewa kumbe watu wanatumia haki yao ndani ya chama na katiba chama inaruhusu mtu yeyote kugombea uraisi kwa fuata taratibu ndani ya chama.
 
Umeota ngoja tuje tukuongezee na mkia maana, ili wewe uje kuwa rais kama umeona jpm hafai
 
Ni hisia zenu tu BT no body after him inside the party and outside na uongozi wake utakatishwa na ktba bila hivo angeongoza miaka10000000000.....
Infinite
 
Mkuu ellyrehema nabii cku zote hakubaliki kwao, wataongea sana binafsi nampongeza sana rais Jpm
 
Magufuli ataendelea kuwa rais kwa miaka 10. Tena binafsi natamani hata awe rais kwa miaka 20 au zaidi maana Tanzania tulihitaji rais kwa ma huyu tokea miaka mingi ilopita. Kwa nyie wazembe msiotaka kula kwa jasho ndo mnamchukia. Ila sisi ambao tulitamani atawle hata kabla hajachukua form ya kugombea ndo tunampenda na tunamwombea asubuhi na usiku.
My dear,Tanzania hiyo itakuwa ni ya kwako na huyo rais wako tu.
 
Alafu unafikiri umetumia akili nyingi!!!unajitia hujui kuwa hao kina lema wako ndani kwasababu ya mamlaka take?
Vilaza hawawezi kuelewa. Kwasababu imetumika indirect way. Hapo ni the ya spoon feeding washazoea direct ukipiga kona moja umeacha mtu nyuma[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]na hajui kwa kwenda hawezi kuelewa kamwe
 
Mi nawashangaa sana watanzania. Tuna rais ambaye africa nzima akigombea urais anashinda. Then nchini kwake anaonekana kituko. Binafsi huwa naumia sana ninapoona mtu anambeza rais. Amefanya mangapi mazuri then mnakuja kumdisqualify kwa vitu vidigo sana. Ikumbukwe yeye si malaika, hivyo anaweza kukosea ama kufanya jambo ambalo wewe ama nyie hamkupendezwa nalo.
Samahani,naomba nielezee mazuri yake mi sijayajua bado
 
Wana Jf wenzangu......!!

Leo ni mara ya 3 nikitokewa na ndoto kuwa Rais wa JPM atakuwa kiongozi pekee atakayeliongoza Taifa kwa kipindi cha Miaka 5 tu na sababu pekee ni kwamba atapigwa chini katika mchakato wa kumpata mgombea ndani ya chama chake.

Hii ni kutokana na makundi mengi ambayo yameanza kujipanga kwa kutumia mbinu mbalimbali ndani ya chama kwani wengi wao awapendezwi na aina ya utawala anaoendelea nao kwa sasa ndani ya chama na Taifa.

Ni hayo tu nimeona niwashirikishe....!!
Hayo maelezo yoote ni ndoto!!
 
Wana Jf wenzangu......!!

Leo ni mara ya 3 nikitokewa na ndoto kuwa Rais wa JPM atakuwa kiongozi pekee atakayeliongoza Taifa kwa kipindi cha Miaka 5 tu na sababu pekee ni kwamba atapigwa chini katika mchakato wa kumpata mgombea ndani ya chama chake.

Hii ni kutokana na makundi mengi ambayo yameanza kujipanga kwa kutumia mbinu mbalimbali ndani ya chama kwani wengi wao awapendezwi na aina ya utawala anaoendelea nao kwa sasa ndani ya chama na Taifa.

Ni hayo tu nimeona niwashirikishe....!!
Wakati huo anapigwa chini mwenyekiti wa CCM atakuwa ni nani?Mbona kuna vitu havihitaji ramli wadau?JPM ndiye mwenyekiti wa CCM Taifa, inamaana ataidhinisha jina lake likatwe?Is It Possible?
 
Back
Top Bottom