Ndoto ya kumiliki EV naona inayeyuka. Anaehusika na kuset kikokotoo TRA amelisikia ombi, ila kapunguza Milioni 2.5 tu!

Ndoto ya kumiliki EV naona inayeyuka. Anaehusika na kuset kikokotoo TRA amelisikia ombi, ila kapunguza Milioni 2.5 tu!

Hahahahaa dah pole sana, kwa gari ya 2019 hiyo bei ni kawaida sana ndugu fumba macho vuta mzigo la sivyo vuta leaf zile 1st generation
Sio bei kaka, ni ushuru. Hakuna kinachouzwa hapo.

Ila sasa Serikali inashangaza sana, ili kufanya watu wanunue magari mapya na kuachana na ununuzi wa mikweche, ilitakiwa ushuru uwe mdogo kwa gari mpya na mkubwa kwa gari kuu kuu.

Mfano ushuru wa gari la mwaka 2024 ulipaswa kuwa shilingi milioni 1 (usajili umejumlishwa hapo). Ushuru uwe flat kwa miaka ya magari kama ilivyo kwa usajili na sio utofautiane kwa kila gari. Yaani ushuru wa LC300 ya 2024 uwe sawa tu na ushuru wa Premio ya 2024 (kama kuna hilo toleo)
 
Sio bei kaka, ni ushuru. Hakuna kinachouzwa hapo.

Ila sasa Serikali inashangaza sana, ili kufanya watu wanunue magari mapya na kuachana na ununuzi wa mikweche, ilitakiwa ushuru uwe mdogo kwa gari mpya na mkubwa kwa gari kuu kuu.

Mfano ushuru wa gari la mwaka 2024 ulipaswa kuwa shilingi milioni 1 (usajili umejumlishwa hapo). Ushuru uwe flat kwa miaka ya magari kama ilivyo kwa usajili na sio utofautiane kwa kila gari. Yaani ushuru wa LC300 ya 2024 uwe sawa tu na ushuru wa Premio ya 2024 (kama kuna hilo toleo)
Nchi ikusanye wapi hela? Kwa lugha rahisi anae nunua gari la 2024 huyu ni tajili, lazima atoe sana kuchangia uchumi
 
Nchi ikusanye wapi hela? Kwa lugha rahisi anae nunua gari la 2024 huyu ni tajili, lazima atoe sana kuchangia uchumi
Au wanaona wakiweka ushuru mdogo kwa magari mapya kutakuwa hakuna heshima. Yaani Mwigulu aendeshwe kwenye Nissan Patrol ya 2024 na Mad Max nae aendeshe gari kama hilo!! Bora wawe nayo wachache tu.. huenda ndio viongozi wa serikali wanavyofikiri
 
Niseme tu 2025 kumiliki EV yangu ya kwanza kushakauka kama hivi.

Baada ya kukesha na kuomba muhusika wa TRA acheki vizuri kikokotoo nilete Nissan Leaf nisupport juhudi za green environment na kuwaunga mkono TANESCO naona mission imefeli.

Anaehusika na kuset kodi za magari used TRA aangalie vizuri ushuru wa Nissan Leaf 2019 EV nataka ivuta Februari!

Mzigo umeishia kupunguzwa million mbili na nusu tu.

Kutoka hapa Mil 23.2 ushuru wa mwaka jana.

View attachment 3190804
Kuja Mil 20.8 tu ushuru wa mwaka huu 2025.

View attachment 3190809
Hii ndio ilikua dream car yangu ila kuwapa TRA Tanzania mil 20 sitakaa nikafanya ivo kwa kipato changu cha sasa.

Kila lakheri EV, tutaonana miaka ijayo.
Nunua tu hybrid yard...TRA wanataka mnunue za Kipanya, sijui zinauziwa wapi hizi.
 
Nchi ikusanye wapi hela? Kwa lugha rahisi anae nunua gari la 2024 huyu ni tajili, lazima atoe sana kuchangia uchumi
Kama wanataka kukusanya hela, ni kupunguza kodi mpaka kiwango kinachohimilika na wengi, makusanyo yanaongezeka. Kodi kubwa hupunguza makusanyo
 
Niseme tu 2025 kumiliki EV yangu ya kwanza kushakauka kama hivi.

Baada ya kukesha na kuomba muhusika wa TRA acheki vizuri kikokotoo nilete Nissan Leaf nisupport juhudi za green environment na kuwaunga mkono TANESCO naona mission imefeli.

Anaehusika na kuset kodi za magari used TRA aangalie vizuri ushuru wa Nissan Leaf 2019 EV nataka ivuta Februari!

Mzigo umeishia kupunguzwa million mbili na nusu tu.

Kutoka hapa Mil 23.2 ushuru wa mwaka jana.

View attachment 3190804
Kuja Mil 20.8 tu ushuru wa mwaka huu 2025.

View attachment 3190809
Hii ndio ilikua dream car yangu ila kuwapa TRA Tanzania mil 20 sitakaa nikafanya ivo kwa kipato changu cha sasa.

Kila lakheri EV, tutaonana miaka ijayo.
Kama ni mtumishi wa umma omba msamaha wa kodi,nadhani utailipia nusu ya hyo uliyoiona ni kubwa
 
Au wanaona wakiweka ushuru mdogo kwa magari mapya kutakuwa hakuna heshima. Yaani Mwigulu aendeshwe kwenye Nissan Patrol ya 2024 na Mad Max nae aendeshe gari kama hilo!! Bora wawe nayo wachache tu.. huenda ndio viongozi wa serikali wanavyofikiri
Na wameweza aisee. Huwezi kupata chuma ya miaka ya 2020+ ikawa na ushuru mzuri.
 
Nchi masikini zote ndio zao hizo
Hebu fikiria kama magari yote ya serikali yakiwa ya umeme unafikiri wataokoa kiasi gani cha hela kwa ajili ya mafuta kila siku?

Hakuna anaeliwazia hilo
Huku nilipo walipoamua nchi kuwa na magari ya umeme na kuanza kuwatoza watu wenye magari ya zamani au yanayochafua hewa
Serikali ilikuja na mkakati wa ULEZ Ultra Low Emission Zone
Kama una more polluted car ulikuwa unapewa hela kama 6m ya bongo uongezee kununua gari la Umeme na wengine walilipwa zaidi na mpaka pikipiki pia wanalipa ukibadili

Sisi tuna tatizo mahali
Halafu mtu anakuambia wauza mafuta ndio wao ila ajue kuwa mafuta yatakuwepo tu hata iweje kwa viwanda na hata baadhi ya magari kwa mda mrefu sana

China mwaka jana walitengeneza zaidi ya magari milioni moja na wameamua haswa

Mkuu we anza kuomba sehemu za parking kwenye supermarket uweke mfumo wa ku charge magari utatengeneza hela sana
 
Hii Nissan Leaf ni kali sana mazee. Mad Max kama hela ipo, funika tu hiyo stress ya kodi uvute mchuma huo. Nimepitia magari ya mfanano huo kama VW ID lakini hakuna iliyonyooka kuizidi hiyo Nissan.
 
Hii Nissan Leaf ni kali sana mazee. Mad Max kama hela ipo, funika tu hiyo stress ya kodi uvute mchuma huo. Nimepitia magari ya mfanano huo kama VW ID lakini hakuna iliyonyooka kuizidi hiyo Nissan.
Nissan Leaf inawakimbiza katika aspects tatu:
1. Cheap/Affordable
2. Reliability
3. Spare/Body parts

Ila ina mapungufu makubwa matatu:
1. Battery dogo (40kWh) lina range ya 260km tu likiwa full charge.
2. Thermal management ya joto kwenye battery ni air-cooling wakati magari ya siku hizi ni liquid-cooling. Hii inapelekea battery kupata joto sana wakati wa kucharge na inapelekea battery degradation kua kubwa. Ila kuna jinsi ya kuepuka, mfano kukwepa fast charger, kucharge usiku au muda ambao hamna jua kali, na kuzuia battery isifike below 30% na isivuke 80%
3. Nissan Leaf inatumia charger za CHAdeMO ambazo ni technology ya zamani siku hizi zimephase out. Kwahiyo kupata public charger yenye hii connector ngumu. Siku hizi magari yanatumia universal CCS. Yaan kwa lugha nyepesi ni kama tuseme kampuni itengeneze simu ambazo charger zake zile za kizamaniii wakati kila mtu ana type C. Inamaana charger ikiisha kazini we huna wa kumuazima hadi hurudi home. PS: Kuna adapter ya kutoka CHAdeMO to CCS ila last time niliona inauzwa $700+

Like serious huu mwaka nilikua naleta Nissan Leaf ila TRA jau sana.
 
Nchi masikini zote ndio zao hizo
Hebu fikiria kama magari yote ya serikali yakiwa ya umeme unafikiri wataokoa kiasi gani cha hela kwa ajili ya mafuta kila siku?

Hakuna anaeliwazia hilo
Huku nilipo walipoamua nchi kuwa na magari ya umeme na kuanza kuwatoza watu wenye magari ya zamani au yanayochafua hewa
Serikali ilikuja na mkakati wa ULEZ Ultra Low Emission Zone
Kama una more polluted car ulikuwa unapewa hela kama 6m ya bongo uongezee kununua gari la Umeme na wengine walilipwa zaidi na mpaka pikipiki pia wanalipa ukibadili

Sisi tuna tatizo mahali
Halafu mtu anakuambia wauza mafuta ndio wao ila ajue kuwa mafuta yatakuwepo tu hata iweje kwa viwanda na hata baadhi ya magari kwa mda mrefu sana

China mwaka jana walitengeneza zaidi ya magari milioni moja na wameamua haswa

Mkuu we anza kuomba sehemu za parking kwenye supermarket uweke mfumo wa ku charge magari utatengeneza hela sana
Kama nasema kama serikali ikiamua kushift kutoka mafuta kwenda EV wata save 70% ya gharama za uendeshaji wa mambo ya usafiri.
 
Back
Top Bottom