Ndoto ya Marekani kuivamia Urusi sasa yatimia

Ndoto ya Marekani kuivamia Urusi sasa yatimia

Vipi wakuu,

Wakati vita hii ya Rusia na Ukraine inaanza...

1. Kuna watu walihisi kwamba vita hii ni ya Ukraine na Rusia peke yake, na kwamba kwa vile Ukraine ni kanchi kaunyonge basi Rusia anakwenda kumtandika M-ukraine kwa muda mfupi na kuichukua nchi yote ili iwe Jamhuri ya Rusia hapo baadae.

2. Kuna watu walihisi vita hii alievamiwa ni M-Ukraine peke yake, hivyo basi lolote linalotokea lipo juu ya kichwa chake mwenyewe (m-ukraine)

3. Wengine walihisi kwamba pamoja na kwamba M-Ukraine anapata support fulan ya silaha kutoka kwa wakubwa wakiongozwa na mtemi wa dunia (USA) ila hatokuwa na uwezo wa kufika mbali maana ngoma ya mtoto siku zote huwa haikeshi nk.

Sasa ndugu zangu niwambie tu kwamba hii vita ya Ukraine sio ya Ukraine tu kama wengi wanavyofikiria, bali ni vita ya Rusia na nchi bandia ya Marekani ambapo hilo jina la nchi ya Ukraine na ardhi yake vinatumika kama kichaka tu ili kuhalalisha kile kinachokwenda kufanywa na Marekani siku za usoni.

Putin analijua hili ndio maana anatumia nguvu kubwa kujaribu kupambana na kinvuli hicho cha Marekani, huku Marekani yenyewe original ikimchora na kuendelea kumchosha ili mwisho wa siku wamalize mchezo kiulaini kama vile mlevi anaeangushwa na ganda la ndizi.

Wakati Mmarekani anapanga mikakati yake kupitia Ukraine (Marekani bandia) kuna ndugu zetu warashia wa kwamtogole na mwanarumango walikuwa wakipanua midogo yao kumsifia Putin na jeshi lake, huku wengine wakiamini kwamba hakuna siku ambayo M-Ukraine ataweza kuifikia ardhi ya Putin kirahisi.

Sasa Mungu sio Athumani leo hii kila kitu kipo wazi kwamba Mmarekani anapoamua lake hakuna pa kwenda kujificha. Namaanisha hata ukiwa umejificha katika mji uliozungukwa na mitambo ya namna gani bado atakutumia mizinga huko huko ikufukunyue.

Hapa tunapoongea tayari Marekani ameshaingia hadi chumbani kwa Putin (Moscow) na kufanya maangamizi, huku kwao Marekani kina 50Cent na Jay Z wakiendelea kula mziki bila bughuza yoyote ya mabomu au rocket.

Kwa sasa inasemekana Putin anaishi pangoni kama ilivyokuwa kwa Sadam, lkn nakuhakikishieni, kama hajajitokeza mapema kuomba msamaha au kukimbilia China kuomba hifadhi basi ajiandae kukutana na yale aliyokutana nayo Saddam, Gadafi.

Picha ndio kwanza linaanza. Marekani original na NATO yake bado hawajaingia kazini.

Time will tell...
View attachment 2640177View attachment 2640178

View attachment 2640527View attachment 2640529View attachment 2640534
Hizi errors tungewekeza kwenye kutatua matatizo yetu… Tanzania ingekua tajiri
 
Funzo ni kwamba usije kumvamia jirani yako na kumtwanga mangumi bila sababu eti kwa vile wewe ni mkubwa na una nguvu kumshinda, huwezi jua alie nyuma ya huyo jirani yako.

Pengine ana undugu na mandinga, so akijua itakula kwako.
Oh really?

Vita Haina chanzo?
 
Mungu ibariki sana Marekani iendelee kuwa taifa kubwa lenye nguvu duniani Ili Mungu aendelee kuitumia Marekani kutandika watesa wakristo na kuwanyima uhuru wa kuabudu popote duniani


Urusi ilitesa sana wakristo hata kuwa na Biblia ilikuwa kosa la kufungwa maisha

Marekani Mungu anaitumia kutandika waonea wakristo na wanyanyasaji wakristo kwenye nchi zao kuwanyima uhuru wa kuabudu

Marekani ana udhaifu kibao wa kiimani za Kidini lakini Mungu anaitumia kama Rungu lake la kutandika wanyanyasa wakristo


Russia anavuna akichopanda Wakiristi wengi sana wakikufa kwa mateso makubwa Russia

Ee Mungu endelea kuisaidia Marekan.
I
Nahisi Urusi haikuwatesa wakristo bure! Tatizo ukristo ulitumiwa na mabepari kwenye mambo yao! Mfano, wamisionari ni miongoni mwa watu waliotumika kama mawakala wa ukoloni Afrika! Hata sisi tungeshtuka mapema pengine Ukoloni usingeingia Afrika!
 
Hizi errors tungewekeza kwenye kutatua matatizo yetu… Tanzania ingekua tajiri
Nadhani errors umeshaziona sasa zichukue na uziweke Tz tuanze kutajirika au kuna la kusubiri? Unadhani nchi kuwa tajiri ni jambo la ndoto? Mzee ni mipango na ukumbuke zipo familia zilizoshikilia mali na utawala wa nchi hii na hawapo tayari kuona jambo linamea ambalo halina faida kwao hata kama linaonekana kuwa na faida kwa taifa mfano:

1. Kuna familia imeshikiria shirika la tanesco ndo maana matatizo hayaishi na hata ukiona kuna tatizo wanataka kulitatua lazima pesa zipigwe eg Richmond/Dowans, IPTL etc

2. Kuna familia imekamatia tenda ya uagizaji magari hasa luxurious yale ya viongongozi hakuna mwenye uwezo wa kuigusa hiyo familia hata kama ukiwa Ikuku.

3. Shirika la reli halina mwenyewe kinachofanyika ni kulidhoofisha kila uchao hata wewe ukipewa leo utapewa mikakati ya kulidhoofisha hata kama matrilioni yatatengwa kwa ajili ya kuliboresha kuna kikwazo kitaletwa ili lisifanye kazi eg sababu ya kutofanya hata majaribio reli ya SGR kutoka dsm to morogoro na akati imeshapona ni kwa sababu abood na makundi ni wasimamizi wa mabasi ya viongozi tena ni viongozi wapole mno hata ukitajiwa utashangaa na wengine nchi nzima hawataki kusikia reli inafanya kazi kwani mabasi na malori ya mizigo hayatapiga kazi. Ndo maana Msigwa alipoulizwa kuhusu kuchelewa majaribio ya SGR akajitetea eti kutokana na UVIKO 19 kichwa cha treni kimechelewa kufika kwa sababu gearbox ilikuwa sijui kanada saiti mira zilikuwa australia na magurudumu yalikuwa ufaransa hivyo kuvikutanisha ikawa kazi ngumu sana ndivyo nilitafasiri hivyo kwa kuwa alisema vipuri vya kichwa cha treni vinatoka nchi tofauti.

4. Jambo lingine ndani ya ccm kuna makundi matatu (a) familia zilizoshikiria mamlaka ya nchi na ni wafanyabiashara wanaoishirikiana na na wafanyabiashara wakubwa hawa wanahakikisha kila kinachojengwa kwa fedha ya wananchi kinawafaidisha wao na wananchi wataendelea kuumia.
(b) kuna kundi ambolo linatekeleza maagizo ya mamlaka hawa ni top layers kule usalama, polisi, jw, uhamiaji, magereza, takukuru, etc hawa hupewa mpunga na maisha bora ili kutekeleza maagizo ya wakubwa mengi yanakandamiza mwananchi na kuneemesha wakubwa.
(c) kundi hili ni wanachama wa kawaida ambao hawana madaraka katika nchi ila huwa wanashirikishwa kuoitisha majina ya walioteuliwa na wakubwa kwa kupewa posho kofia etc lakini hawana walijualo juu ya mustakabali wa maisha yao hata nchi kwa ujumla.
Mwisho unapozungumzia nchi yetu kuwa tajiri basi ukumbuke kuwa siyo kwamba tunashindwa kuwa hivyo ila utajiri huo umeelekezwa kwa familia chache ili ziendelee kutawala.
 
Nadhani errors umeshaziona sasa zichukue na uziweke Tz tuanze kutajirika au kuna la kusubiri? Unadhani nchi kuwa tajiri ni jambo la ndoto? Mzee ni mipango na ukumbuke zipo familia zilizoshikilia mali na utawala wa nchi hii na hawapo tayari kuona jambo linamea ambalo halina faida kwao hata kama linaonekana kuwa na faida kwa taifa mfano:

1. Kuna familia imeshikiria shirika la tanesco ndo maana matatizo hayaishi na hata ukiona kuna tatizo wanataka kulitatua lazima pesa zipigwe eg Richmond/Dowans, IPTL etc

2. Kuna familia imekamatia tenda ya uagizaji magari hasa luxurious yale ya viongongozi hakuna mwenye uwezo wa kuigusa hiyo familia hata kama ukiwa Ikuku.

3. Shirika la reli halina mwenyewe kinachofanyika ni kulidhoofisha kila uchao hata wewe ukipewa leo utapewa mikakati ya kulidhoofisha hata kama matrilioni yatatengwa kwa ajili ya kuliboresha kuna kikwazo kitaletwa ili lisifanye kazi eg sababu ya kutofanya hata majaribio reli ya SGR kutoka dsm to morogoro na akati imeshapona ni kwa sababu abood na makundi ni wasimamizi wa mabasi ya viongozi tena ni viongozi wapole mno hata ukitajiwa utashangaa na wengine nchi nzima hawataki kusikia reli inafanya kazi kwani mabasi na malori ya mizigo hayatapiga kazi. Ndo maana Msigwa alipoulizwa kuhusu kuchelewa majaribio ya SGR akajitetea eti kutokana na UVIKO 19 kichwa cha treni kimechelewa kufika kwa sababu gearbox ilikuwa sijui kanada saiti mira zilikuwa australia na magurudumu yalikuwa ufaransa hivyo kuvikutanisha ikawa kazi ngumu sana ndivyo nilitafasiri hivyo kwa kuwa alisema vipuri vya kichwa cha treni vinatoka nchi tofauti.

4. Jambo lingine ndani ya ccm kuna makundi matatu (a) familia zilizoshikiria mamlaka ya nchi na ni wafanyabiashara wanaoishirikiana na na wafanyabiashara wakubwa hawa wanahakikisha kila kinachojengwa kwa fedha ya wananchi kinawafaidisha wao na wananchi wataendelea kuumia.
(b) kuna kundi ambolo linatekeleza maagizo ya mamlaka hawa ni top layers kule usalama, polisi, jw, uhamiaji, magereza, takukuru, etc hawa hupewa mpunga na maisha bora ili kutekeleza maagizo ya wakubwa mengi yanakandamiza mwananchi na kuneemesha wakubwa.
(c) kundi hili ni wanachama wa kawaida ambao hawana madaraka katika nchi ila huwa wanashirikishwa kuoitisha majina ya walioteuliwa na wakubwa kwa kupewa posho kofia etc lakini hawana walijualo juu ya mustakabali wa maisha yao hata nchi kwa ujumla.
Mwisho unapozungumzia nchi yetu kuwa tajiri basi ukumbuke kuwa siyo kwamba tunashindwa kuwa hivyo ila utajiri huo umeelekezwa kwa familia chache ili ziendelee kutawala.
Actually Russia na USA utajiri Uko kwa wachache tuuu

We ar ego’s kwenye ya wenzetu
 
Halafu source ya taarifa zako ni BBC au sio?! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Funzo ni kwamba usije kumvamia jirani yako na kumtwanga mangumi bila sababu eti kwa vile wewe ni mkubwa na una nguvu kumshinda, huwezi jua alie nyuma ya huyo jirani yako.

Pengine ana undugu na mandinga, so akijua itakula kwako.
Hivi ni haujaelewa sababu ya Urusi kuipiga Ukraine au basi tu umeamua kuwa shabiki wa marekani?
 
We jamaa una basha huko Miami mbona umemwaga ushambenga kiasi hiki? Unaweza tuambia US alipata faida kiasi gani ktk harakati za kumuua Osama ukilinganisha na hasara waliopata? Unauhakika kuwa yale majengo ya WTC 1 na 2 hayakubomolewa na Alqaeda au ni hisia tu za kudhani US hapigiki? Kwa hiyo unataka kutuaminisha US hajawahi pata hasara?
Maumivu ya uzazi yakizidi nenda leba kamuone daktari.
 
Kinachoendelea Urusi niliwahi kukizungumzia mapema, ila nikapingwa na warusi wa vingunguti na gongo la mboto.

Marekani na washirika wake wameshakamilisha mpango wa kutengeneza waasi wa ndani wenye nguvu.

Putin alifikiri anajua kila kitu, kumbe mweupe tu hajui kitu.
ETI NA WEWE NI MCHAMBUZI, UMESHINDWA KUELEWA MAMBO YA BANDARI NDO UJE UMUELEWE PUTIN JINGA KABISA WEWE
 
Hivi ni haujaelewa sababu ya Urusi kuipiga Ukraine au basi tu umeamua kuwa shabiki wa marekani?
Sababu zinazotolewa na Urusi juu ya uvamizi wake ni za kipuuzi. Ile ni nchi huru na wala sio mkoa wao.

Sasa ina uhuru wa kuamua chochote juu ya hatma yao bila kuingiliwa na nchi yoyote.
 
Kinachoendelea Urusi niliwahi kukizungumzia mapema, ila nikapingwa na warusi wa vingunguti na gongo la mboto.

Marekani na washirika wake wameshakamilisha mpango wa kutengeneza waasi wa ndani wenye nguvu.

Putin alifikiri anajua kila kitu, kumbe mweupe tu hajui kitu.
Wewe jamaa ni mweupe sana akilini
 
Back
Top Bottom