Ndoto ya Marekani kuivamia Urusi sasa yatimia

Ndoto ya Marekani kuivamia Urusi sasa yatimia

Yani lleo hii unaifananisha rusiaa na Iraq kwamba walinzi wakiongwaa milioni kumi au milioni 200 watamuuzaa raissi wao unaisi wao hawana intelegencia nzuri kama yaa wamarekani unaisi wao ni kama nchi za daraja lenu kweli vichaa ni wengi nchii hii
Tusiandikie mate na wakati wino upo mkuu. Acha tusubiri kuona upepo wa vita utaelekea wapi.
 
Kinachoendelea Urusi niliwahi kukizungumzia mapema, ila nikapingwa na warusi wa vingunguti na gongo la mboto.

Marekani na washirika wake wameshakamilisha mpango wa kutengeneza waasi wa ndani wenye nguvu.

Putin alifikiri anajua kila kitu, kumbe mweupe tu hajui kitu.
 

Attachments

  • Screenshot_20230624-175250.jpg
    Screenshot_20230624-175250.jpg
    43.2 KB · Views: 5
Prigozhin: pesa za Africa ziliibwa.

Mkuu wa Wagner Prigozhin amesema "Tulipopigana Afrika tuliambiwa tunahiitaji afrika, kisha wakaitupa, kwa sababu waliiba pesa zote zilizokusudiwa kuja kama msaada".
Ameongeza kuwa hakuna mtu atakayesalimu amri ata "Kwa amri ya Putin".
 
Mleta mada unaonekana umekuwa ukiumia sana jinsi Russia amekuwa akiidhibiti NATO kupitia vita ya Ukraine lakini leo umeamua kulazimisha furaha kupitia matumaini hewa. Nikukumbushe mambo yafuatayo;
1. Kuna wakati Prigozny alilalamika kuwa hana silaha kabisa na amekosana na wazir wa ulinzi vikosi vya Ukraine vikaingia kichwa kichwa 1500 wakafyekwa.
2. Kati ya vitu ambavyo USA itaishia kutamani/kuwaza na haitathubutu kamwe ni kuivamia Urusi uso kwa uso hili halitatokea hata kwa vizazi na vizazi vijavyo.
3. Kwa mataifa yaliyo jirani na aidha marekani au Urusi hawatowahi kuwa na uhuru ni lazima wafuate masharti ya hao wakubwa (hasa mambo ya ulinzi) na ukikataa utapigwa tu. Mfano ikitokea leo Mexico au Cuba au Honduras ikakubali kuweka mitambo au silaha za mrusi iwe kwa furaha au shari USA atapiga marufuku mpango huo na ikitokea kukaidi hiyo nchi itapigwa na USA tena hakuna compromise na vile vile upande wa urusi mfano Finland, Poland, Belarus, Ukraine ikaonekana ku import silaha au mifumo ya ulinzi kutoka USA au NATO urusi itakuambia acha mara moja na ukikaidi utapigwa bila hodi na hakuna wa kuzuia kichapo, hili halina mjadala labda nawe ufikie usupa pawa ndo hiki kifurushi hakitakuhusu na hii ndiyo dunia Ukraine aliingia kwenye huu mtego.

NB. Kama taifa lipo jirani na USA lazima lijizuie juu ya uhusiano wake wa kijeshi na Urusi vilevile kama wewe ni jirani wa urusi usijaribu kufanya uhusiano wa kijeshi na USA au NATO ukibisha basi omba aidha shetani au Mungu akusaidie huu ndiyo utaratibu wa dunia.

Ni makosa makubwa kwa nchi zinazopakana na aidha urusi au USA halafu mka mpa uraisi Masanja mkandamizaji mtapata hasara ya karne kwani atachukulia poa atakapo onywa na taifa moja wapo kati ya hayo mawili endapo atatumika na taifa hasimu utapigwa tu kwani ni lazima kiongozi anaeingia mamlakani ajue sera za ulinzi za mataifa haya mawili lakini akidhani ni vichekesho basi atashuhudia ambayo hajawahi yaona.
 
Prigozhin: pesa za Africa ziliibwa.

Mkuu wa Wagner Prigozhin amesema "Tulipopigana Afrika tuliambiwa tunahiitaji afrika, kisha wakaitupa, kwa sababu waliiba pesa zote zilizokusudiwa kuja kama msaada".
Ameongeza kuwa hakuna mtu atakayesalimu amri ata "Kwa amri ya Putin".
Hali imekuwa mbaya kwa bwana mkubwa 🤣🤣
 
Hahaha Mkuu Marekani siku zote anapotaka kufanikisha jambo lake, huwa hajali wala kuangalia hasara anayopata kwa muda fulani.

Ndio maana nikakwambia hata lile shambulizi la Sep 11 ni wao ndio waliolipanga.

Kweli walipata hasara kwa kupoteza mamia ya raia, mali na vitu mbali mbali. Lakini matokeo yake wamerudisha hasara na faida juu kwa kupitia njia ya uwani (vita vya Osama)

Sasa hii hasara unayoiona wewe leo usidhani kuwa bunge la Marekani, FBI, CIA, wasomi wao na serikali kwa ujumla hawaioni au hawakuijua kama itapatikana. Walijua sana kama hasara itapatikana aidha kwa mwaka au miaka, lkn wanajua mwisho wa siku watafanikiwa wanachokilenga kwa sababu vita hiyo haiwazuii kuendelea na shughuli wezao za ndani hata kwa miaka 10 ijayo.

Swali je ikitokea sasa hiyo vita ikapiganwa hiyo miaka 10 ijayo, hali ya kijeshi, kiuchumi na kimaisha huko Urusi itakuaje?
We jamaa una basha huko Miami mbona umemwaga ushambenga kiasi hiki? Unaweza tuambia US alipata faida kiasi gani ktk harakati za kumuua Osama ukilinganisha na hasara waliopata? Unauhakika kuwa yale majengo ya WTC 1 na 2 hayakubomolewa na Alqaeda au ni hisia tu za kudhani US hapigiki? Kwa hiyo unataka kutuaminisha US hajawahi pata hasara?
 
Back
Top Bottom