Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 7,681
- 9,892
We fatilia topic uliyo ileta juzi si ulisema huyo mwanajeshi, au nani aliye leta hio thread.Hiyo dini ya muarabu ni kansa kabisa, yaani hamna hata uzalendo kabisa, Mwafrika tena Mtanganyika mwenzenu anachinjwa mnakenua na kusema alikua jasusi...
Weka hiyo source wengine hatujaiona hakuna nchi yaweza kuwa na mwanajeshi wa kutengeneza miezi miwili wa tatu umpeleke vitani au umwajiriWe fatilia topic uliyo ileta juzi si ulisema huyo mwanajeshi, au nani aliye leta hio thread.
Mtanzania aende kujiunga na jeshi la Israel afu ulete kilio hapa, alipo enda Israel kwanini alijiunga na jeshi?
Huyo hakuwa mwanafunzi alidanganya hapa Tanzania anaenda kusoma kumbe kaingia jeshi la Israel, hata wewe nenda wanahitajia wanajeshi. Wa Israel wanakimbia huko Gaza.
Hawawezi kuuacha wamemuua kinyama Sana Sana...Basi achieni hata mwili wake azikwe kwao....hiyo dini bana.
Basi achieni hata mwili wake azikwe kwao....hiyo dini bana.
Pole kwa familia ya mollelHiyo dini ya muarabu ni kansa kabisa, yaani hamna hata uzalendo kabisa, Mwafrika tena Mtanganyika mwenzenu anachinjwa mnakenua na kusema alikua jasusi...
Ona hii KimbuluNasikia walimtumia kama Jasusi. Tuwaepishe watoto kutumika na watu waouvu
Miezi miwili mitatu mbona mingi sana hio mzeeWeka hiyo source wengine hatujaiona hakuna nchi yaweza kuwa na mwanajeshi wa kutengeneza miezi miwili wa tatu umpeleke vitani au umwajiri
Wayahudi kinachowaponza ni Dini yao, wakislimu leo vita inaisha.Uislamu wa Tanzania una shida
Mfano waarabu waislamu Sudani kaskazini wanaua waislamu waafrika weusi kule Dafur lakini huwezi kusikia muislamu wa Tanzania mweusi akilaani hayo mauaji na huwezi kusikia wapalestina au nchi za kiarabu za kiislamu zikilaani hayo mauaji ya waafrika Dafur lakini kukitokea Mwarabu wa Palestina,Iraki,ni anauawa kelele misikiti yote ya waswahili Tanzania kulaani Mwarabu kuuawa na maabdamano juu kuonyesha mshikamamo na waarabu
Huyo shoga wa Kenya kaweka topic sio mimi kabla ya siku mbili za nyumaWeka hiyo source wengine hatujaiona hakuna nchi yaweza kuwa na mwanajeshi wa kutengeneza miezi miwili wa tatu umpeleke vitani au umwajiri
Umesahau kuwa huyu sialikuwa kwenye kikosi cha Israel, leo kawa. Mwanafunzi π
We si ndio ulileta habari hi au akili zako zimepinda hujui unatuletea nini hapa.
We kama Israel kila kukicha mnabadili ukweli, sa mnatafuta uwongo kuwa Hamasi alimuwa mwanafunzi, wakati we mwenyewe ulileta Gazeti la Israel likisema alikuwa kwenye kikosi dharura kilicho tumwa kutuliza mashambulizi ya Hamasi π
We fatilia topic uliyo ileta juzi si ulisema huyo mwanajeshi, au nani aliye leta hio thread.
Mtanzania aende kujiunga na jeshi la Israel afu ulete kilio hapa, alipo enda Israel kwanini alijiunga na jeshi?
Huyo hakuwa mwanafunzi alidanganya hapa Tanzania anaenda kusoma kumbe kaingia jeshi la Israel, hata wewe nenda wanahitajia wanajeshi. Wa Israel wanakimbia huko Gaza.
Pole kwa familia ya mollel
Hizo lawama zako dhidi ya uislam na waislam hazitaweza kuifanya chochote dini ya uislam wala waislam
Lalama lia lia ukimaliza utaenda kukojoa ukalale
Waambieni wazayuni kwanini walimuua kijana wawatu bila huruma
Tanzania mnatakiwa muandamane nchi yenu yetu ikate mahusiano yote na israhell kwaunyama waliofanya kwa mtanzania
Hamas kamatieni hapo hapo maana mpaka wakenya wa jf washaanza kulia lia nawao
Hamas kundi teule
Sa ile thread uliyo leta kusema alikuwa mwanajeshi afu umeleta thread leo alikuwa mwanafunzi πhalafu mnasema mnaonewa, yaani mfunguwe kabisa aisei Arusha: Masheikh 6 wahukumiwa kunyongwa hadi kifo
Sa ile thread uliyo leta kusema alikuwa mwanajeshi afu umeleta thread leo alikuwa mwanafunzi π
We wacha kukwepa kuleta story ipo nje ya mada.
Nakuliza unadalili Hamasi aliwauwa hao watanzania? Hata Israel walizua uwongo Hamasi kachinja watoto, karape, kawauwa watu kwenye music festival kumbe yote ni uwongo mtupu, walipo chunguza kwenye music festival wakakuta Helicopters zao ndio zimewauwa π
Sa we tupe dalili zako wapi Hamasi kawauwa hao Watanzania? Unazo pictures, unazo video, unazo fingerprint au footprint za Hamasi? Au ndio wale mnaotembeza maneno ya kanga hapa si mombasa hapa ni JF kuna vichwa si wote vichaa.
Hio migahawa bila mafuta ya uarabuni unadhani ingefanya kazi.Jamaa kama usharukwa na akili, halafu hapo utakuta upo kwenye mgahawa wa Mkristo au daladala ya Mkristo, huwa mnajifanya kama mnayaweza yote lakini mizembe tu.
Wewe ndio chizi hio Nahal Oz ni camp ya jeshi, hakuna pale chu chochate cha kilimo wapo watu kama 250 wao ndio wanaishi kwa kufuga kuku na ngombe.Ndio nakuambia umechizi, yaani jaribu hata kutafuta dakika chache uwe unalala kidogo, dini ya huyo muarabu inakutesa, wapi uliona nimesema Mtanzania alikua mwanajeshi Israel.
Huyo muarabu unayemuabudu na kusababisha uchanganyikiwe hivi alijifia kitambo sana na kwanza alikua na mauchafu mengi sana yule.
Hio migahawa bila mafuta ya uarabuni unadhani ingefanya kazi.
America bila Saud Arabia hana kitu, Israel bila America hana kitu.
Tatizo mnajidai mmendelea kumbe wajinga kama nyie sijaona, mnaabudu binadamu nyie na mahindusu tofouti yenu ni ndogo sana wao wanabudu ngombe wewe binadamu.
Wale wanakunywa mkoja wa ngombe, nyie mnakula nguruwe na mnatembea na mavi.
Wewe ndio chizi hio Nahal Oz ni camp ya jeshi, hakuna pale chu chochate cha kilimo wapo watu kama 250 wao ndio wanaishi kwa kufuga kuku na ngombe.
Huyo Mtanzania alikuwa kwenye camp ya jeshi angekuwa sehemu ya wafunga ngombe Hamasi hakwenda kule, uliona ngombe au kuku wamekufa?
Hamasi alikwenda kwenye camp ya jeshi ya Nahal Oz, kama kauliwa na Hamasi ni kwa sababu ya ufala wake vipi aende kwenye camp ya jeshi?
Kwahiyo kinachopiganiwa si ardhi tena bali ni Wayahudi wanalazimishwa kusilimu wawe waislamu.Basi hili litakuwa ajabu lingine la DuniaWayahudi kinachowaponza ni Dini yao, wakislimu leo vita inaisha.