Ndoto ya Mtanzania aliyechinjwa na HAMAS ilikua kuanzisha kilimo biashara akirudi nyumbani

Hiyo dini ya muarabu ni kansa kabisa, yaani hamna hata uzalendo kabisa, Mwafrika tena Mtanganyika mwenzenu anachinjwa mnakenua na kusema alikua jasusi...
We fatilia topic uliyo ileta juzi si ulisema huyo mwanajeshi, au nani aliye leta hio thread.

Mtanzania aende kujiunga na jeshi la Israel afu ulete kilio hapa, alipo enda Israel kwanini alijiunga na jeshi?

Huyo hakuwa mwanafunzi alidanganya hapa Tanzania anaenda kusoma kumbe kaingia jeshi la Israel, hata wewe nenda wanahitajia wanajeshi. Wa Israel wanakimbia huko Gaza.
 
Weka hiyo source wengine hatujaiona hakuna nchi yaweza kuwa na mwanajeshi wa kutengeneza miezi miwili wa tatu umpeleke vitani au umwajiri
 
Chanzo kikuu cha vifo vya hao Watanzania wenzetu, ni hao Mayahudi kushindwa kuwahakikishia usalama wao.

Ni watu wachache pekee ndiyo watanielewa. Haiwezekani nchi inayosifiwa kwa intelijensia duniani, ivamiwe na wanamgambo saa 12 asubuhi! Halafu wanamgambo hao, waue watu na kuwachukua wengine mateka; huku vyombo vya dola vikishindwa kuwasaidia.

Uzembe wa hali ya juu kabisa!! Halafu leo wanaona bora waishambulie Gaza kwa mabomu na kuua maelfu ya raia wasio na hatia!!
 
Hiyo dini ya muarabu ni kansa kabisa, yaani hamna hata uzalendo kabisa, Mwafrika tena Mtanganyika mwenzenu anachinjwa mnakenua na kusema alikua jasusi...
Pole kwa familia ya mollel
Hizo lawama zako dhidi ya uislam na waislam hazitaweza kuifanya chochote dini ya uislam wala waislam
Lalama lia lia ukimaliza utaenda kukojoa ukalale
Waambieni wazayuni kwanini walimuua kijana wawatu bila huruma
Tanzania mnatakiwa muandamane nchi yenu yetu ikate mahusiano yote na israhell kwaunyama waliofanya kwa mtanzania
Hamas kamatieni hapo hapo maana mpaka wakenya wa jf washaanza kulia lia nawao
Hamas kundi teule
 
Weka hiyo source wengine hatujaiona hakuna nchi yaweza kuwa na mwanajeshi wa kutengeneza miezi miwili wa tatu umpeleke vitani au umwajiri
Miezi miwili mitatu mbona mingi sana hio mzee
Pale Ukraine week tatu tu zimezidi sana unakua mjeda na silaha unapewa ukaswagwe na wargner PMC
 
Wayahudi kinachowaponza ni Dini yao, wakislimu leo vita inaisha.
 
Weka hiyo source wengine hatujaiona hakuna nchi yaweza kuwa na mwanajeshi wa kutengeneza miezi miwili wa tatu umpeleke vitani au umwajiri
Huyo shoga wa Kenya kaweka topic sio mimi kabla ya siku mbili za nyuma

Thread 'Miili miwili bado inashikiliwa na HAMAS, upo wa kijana Mtanzania Joshua Mollel' Miili miwili bado inashikiliwa na HAMAS, upo wa kijana Mtanzania Joshua Mollel

Afu mmasema Hamasi kamuwa je dalili zenu ziko wapi kama kauliwa na Hamasi, ikiwa Israel anasema yeye aliwauwa kwa makosa watu wake, Pamoja na askari wa Israel.

Sa nyie mnadalili Hamasi kawauwa hao wa Tanzania? Leteni dalili zenu



View: https://youtu.be/r63nmfbIUBA?si=EjqjsqX_SAYqoCQq
 

halafu mnasema mnaonewa, yaani mfunguwe kabisa aisei Arusha: Masheikh 6 wahukumiwa kunyongwa hadi kifo
 

Jamaa kama usharukwa na akili, halafu hapo utakuta upo kwenye mgahawa wa Mkristo au daladala ya Mkristo, huwa mnajifanya kama mnayaweza yote lakini mizembe tu.
 

Halafu hiyo dini, muarabu ameibuni juzi tu baada ya kukuta zingine lakini imeshindwa kutulia za dini zingine. Hao waarabu huona waafrika kama useless sana, ungejua vituko ambavyo hufanyia Waafrika usingewashobokea hivi.
 
halafu mnasema mnaonewa, yaani mfunguwe kabisa aisei Arusha: Masheikh 6 wahukumiwa kunyongwa hadi kifo
Sa ile thread uliyo leta kusema alikuwa mwanajeshi afu umeleta thread leo alikuwa mwanafunzi πŸ˜„

We wacha kukwepa kuleta story ipo nje ya mada.

Nakuliza unadalili Hamasi aliwauwa hao watanzania? Hata Israel walizua uwongo Hamasi kachinja watoto, karape, kawauwa watu kwenye music festival kumbe yote ni uwongo mtupu, walipo chunguza kwenye music festival wakakuta Helicopters zao ndio zimewauwa πŸ˜„

Sa we tupe dalili zako wapi Hamasi kawauwa hao Watanzania? Unazo pictures, unazo video, unazo fingerprint au footprint za Hamasi? Au ndio wale mnaotembeza maneno ya kanga hapa si mombasa hapa ni JF kuna vichwa si wote vichaa.
 

Ndio nakuambia umechizi, yaani jaribu hata kutafuta dakika chache uwe unalala kidogo, dini ya huyo muarabu inakutesa, wapi uliona nimesema Mtanzania alikua mwanajeshi Israel.
Huyo muarabu unayemuabudu na kusababisha uchanganyikiwe hivi alijifia kitambo sana na kwanza alikua na mauchafu mengi sana yule.
 
Jamaa kama usharukwa na akili, halafu hapo utakuta upo kwenye mgahawa wa Mkristo au daladala ya Mkristo, huwa mnajifanya kama mnayaweza yote lakini mizembe tu.
Hio migahawa bila mafuta ya uarabuni unadhani ingefanya kazi.

America bila Saud Arabia hana kitu, Israel bila America hana kitu.

Tatizo mnajidai mmendelea kumbe wajinga kama nyie sijaona, mnaabudu binadamu nyie na mahindusu tofouti yenu ni ndogo sana wao wanabudu ngombe wewe binadamu.

Wale wanakunywa mkoja wa ngombe, nyie mnakula nguruwe na mnatembea na mavi.
 
Wewe ndio chizi hio Nahal Oz ni camp ya jeshi, hakuna pale chu chochate cha kilimo wapo watu kama 250 wao ndio wanaishi kwa kufuga kuku na ngombe.

Huyo Mtanzania alikuwa kwenye camp ya jeshi angekuwa sehemu ya wafunga ngombe Hamasi hakwenda kule, uliona ngombe au kuku wamekufa?

Hamasi alikwenda kwenye camp ya jeshi ya Nahal Oz, kama kauliwa na Hamasi ni kwa sababu ya ufala wake vipi aende kwenye camp ya jeshi?
 

Hao waarabu unawaabudu kumbuka hawana akili, mzungu ndiye kavumbua hayo mafuta, wao ni kuvaa mikanzu kama ambayo unavaa hapo ili ufanane nao, na kushinda unazurura na mindevu.
 

Jaribu upumzike walau hata upate fursa ya kuoga, unateseka sana humu, hamna sehemu nilisema alikua mwanajeshi, jameni huyo muarabu unayemuabudu kakuharibu, na alivyokua mchafu, nitakuletea maandiko yanaonyesha alivyokua mchafu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…