Ndoto ya Ujerumani kuitawala Ulaya imetimia?

Ndoto ya Ujerumani kuitawala Ulaya imetimia?

Juma...mimi sikujui ila nimeona unajulikana...nina miaka 18 tokea niliposoma gazeti la philadelphia trumpet..la mwaka 1996 ...
Una akili
Unajitambua
Na uko mbele ya muda wako(ahead of your time)

Germany ndio ataanzisha vita ya tatu ya dunia
Alianzisha ya kwanza
Akaanzisha ya pili
Na ataanzisha ya tatu....

Yeye na russia au either Iran....

Mfalme wa kaskazini na wa kusini....

MUNGU NDIO ANAJUA...
Vita ya Kwanza alianzisha Austria. Mfalme wa Austria baada ya Toto lake Bishi kwenda kumuowa Sophia ambaye hakutoka Familia ya Kifalme, Baba yake aliyekuwa Mtawala wa Austria huku Mwanaye aliyeishi Czech nankutawala hapo, alitaka sana kumpoteza. Alijua akienda Kosovo anakwenda kuuliwa ila akaacha wamuuwe waSerbia ( Black Hand).
Kifo cha huyu Archiduke Franz Ferdinand kilipelekea Austria kuishambulia Serbia jambo ambalo Austria walilitaka sana kulifanyia ila walikosa sababu. Serbia iliposhambuliwa, Russia ikaingilia kumsaidia Mdogo wake. Russia kuingia na Austria kuanza kupata kibano, German akaingilia kumsaidia Mdogo wake.

Hivyo unaona kuwa German HAKUANZISHA WWI ila alianzisha WWII.

Ila Archduke Ferdinand lilikuwa Jitu katili sana. Aliuwa Wanyama na ndege Kama laki 3 hivi na baadhi yao wapo ukutani kwenye Castle lake Konapiste huko Czech Republic.
 
Mwandishi asante kwa Makala nzuri ya Vita za Dunia. Nimejifunza mengi.
Labda tu angalizo kwamba, Taiwan ni Sehemu ya China na bado kidogo waichukue bila hata Risasi moja.
Nadhani itakuwa Kama Hong Kong na China. Muda ulivyofika, China wakapandisha Bendera tu.
 
Mwandishi asante kwa Makala nzuri ya Vita za Dunia. Nimejifunza mengi.
Labda tu angalizo kwamba, Taiwan ni Sehemu ya China na bado kidogo waichukue bila hata Risasi moja.
Nadhani itakuwa Kama Hong Kong na China. Muda ulivyofika, China wakapandisha Bendera tu.

Ninatazamia kuangazia hilo kwenye makala ijayo.
 
Back
Top Bottom