Ndoto yangu bado haijatimia

Ndoto yangu bado haijatimia

Hizo zote zitabaki kuwa ndoto tu bila pesa.

Pia kumbuka hata ukiwa na pesa si kila sifa utakayopewa itakuwa ni ya dhati, wengine watakusifia ili wapate pesa zako tu.
Kuna kina Mwijaku wanaoishi kwa kusifia wanaume wenzao tu ili wapewe pesa.

Nje ya mada, kutumia neno 'mkaka' ikiwa wewe mwenyewe ni mtoto wa kiume kuna ishara mbaya sana juu ya ukamilifu wa uanaume wako. Hilo neno hutumiwa na kina dada tu.
 
IMG_6827.jpg
 
Natamani kuwa mkaka fulani hivi yaani mtu akisikia jina langu atamani kuniona lakini pia yaani ukiniona unishangae kwa bashasha sana

Af niwe mkaka nae semwa sana na watu zile sifa za kuwa mkaka yule analinga sanaa mambo mengi mengi kila mtu awe natamanio la kuniona sijui nifanyeje
Tayari huyu keshakuwa upinde. cocastic njoo mchukue mwenzio huyu uanze kumlea.
 
Natamani kuwa mkaka fulani hivi yaani mtu akisikia jina langu atamani kuniona lakini pia yaani ukiniona unishangae kwa bashasha sana

Af niwe mkaka nae semwa sana na watu zile sifa za kuwa mkaka yule analinga sanaa mambo mengi mengi kila mtu awe natamanio la kuniona sijui nifanyeje
Kaka au mkaka. Nenda shule.
 
Back
Top Bottom