Ndoto yangu bado haijatimia

Gily mshamba_hachekwi Uboboh


Hali si shwari hapa [emoji2962][emoji2962][emoji2962]
 
1.Never be a nice guy
2. Uwe na uwelewa wa mambo mengi kwa kusoma majalida na vitabu mbalimbali
3. Usiwe na tabia za uchawa
4. Usiwe mwongeaji sana ukiwa mbele za watu changia mambo ya msingi tu
5. Penda kula vizuri, kufanya mazoezi na kuvaa vizuri, muonekani mzuri unaongeza uwezo wa kujiamini
N.k
 
Asante sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…