Ndoto za Chato kuwa mkoa zayeyuka baada ya mikoa jirani kugoma kuachia maeneo yao

Ndoto za Chato kuwa mkoa zayeyuka baada ya mikoa jirani kugoma kuachia maeneo yao

Kwani Magufuli ndiye alikuwa Rais wakwanza aliyeanza kugawa mikoa mie nakumbuka mpaka nakuwa na uelewa nilkuta mikoa 20, Sasahivi kuna mikoa zaidi ya 25 , Mkapa pamoja na Kikwete aligawa hatukuwahi kusikia makelele.Kwa Magufuli kwanini iwe nongwa? Nyinyi mnaopiga makelele ndio mashetani kwani ukiwepo mkoa wa Geita utapungukiwa nanini kama sio roho mbaya tu.
Mzee unazijua requirements na uhalali wa kugawa mkoa?

Deep ndani kabisa ya moyo wako unaona ilikuwa haki kuanzisha mkoa wa Chato? Yaani mkiwa wawili tu na Mwenyezi Mungu mnatazamana face to face akakuuliza unadhani ilikuwa halali kuanzisha mkoa wa chato utajibu ndio?
 
Mzee unazijua requirements na uhalali wa kugawa mkoa?

Deep ndani kabisa ya moyo wako unaona ilikuwa haki kuanzisha mkoa wa Chato? Yaani mkiwa wawili tu na Mwenyezi Mungu mnatazamana face to face akakuuliza unadhani ilikuwa halali kuanzisha mkoa wa chato utajibu ndio?
Mie sijazunguzia chato,ninazunguza kumuona Magufuli Shetani kisa anataka kugawa Mkoa utafikiri ndiye Rais wa kwanza Tanganyika kufanya hivyo,kama mnasema chato ina ineo dogo mbona amlalamiki mikoa ya Zanzibar?
 
Kwa upande wetu sisi wakazi wa shinyanga wala hatuoni shida kuwepo mkoa huo ila shida ni wanasiasa ndio wamerumbana kwa chuki zao
Hawa watu wanachuki binafsi na Magufuli akuna kingine unakuta Mtu anatoka Biaramulo anafuata uduma Bukoba njini ambapo ni mwendo wa masaa zaidi ya 7 hawezi kwenda na kurudi siku hiyo hiyo,sasa Biaramulo ikimegwa kudogo ikapelekwa Chato ambapo ni karibu kuna ubaya gani?
 
Kwani Magufuli ndiye alikuwa Rais wakwanza aliyeanza kugawa mikoa mie nakumbuka mpaka nakuwa na uelewa nilkuta mikoa 20, Sasahivi kuna mikoa zaidi ya 25, Mkapa pamoja na Kikwete aligawa hatukuwahi kusikia makelele.Kwa Magufuli kwanini iwe nongwa? Nyinyi mnaopiga makelele ndio mashetani kwani ukiwepo mkoa wa Geita utapungukiwa nanini kama sio roho mbaya tu.

Mbona Geita ni mkoa tayari! Au Geita gani unayoisema? Mkapa aligawa mkoa wa Arusha tu kutokana na ukubwa wake na siyo kulazimisha maeneo ya mikoa mingine kuunganishwa kuanzisha mkoa mpya! Hoja yako ni mfu haina mashiko! Mimi leo hii siwezi kukubali kuuachamkoa wangu wa asili na tamaduni zake ili nimegwe kesho nijikute nipo mkoa mwingine! Ni upuuzi na ujinga mkubwa sana huo!
 
Kwani Magufuli ndiye alikuwa Rais wakwanza aliyeanza kugawa mikoa mie nakumbuka mpaka nakuwa na uelewa nilkuta mikoa 20, Sasahivi kuna mikoa zaidi ya 25, Mkapa pamoja na Kikwete aligawa hatukuwahi kusikia makelele.Kwa Magufuli kwanini iwe nongwa? Nyinyi mnaopiga makelele ndio mashetani kwani ukiwepo mkoa wa Geita utapungukiwa nanini kama sio roho mbaya tu.
Angalia mkoa wa geita na wilaya ya chato? Utengeneze chato kwa kutumia wilaya gani? Kuna vigezo hasa ukubwa wa eneo na vyanzo vya mapato..
Ushindwe kuigawa morogoro, dodoma na tabora uigawe chato? Kuwa serious jamaa
 
Hawa watu wanachuki binafsi na Magufuli akuna kingine unakuta Mtu anatoka Biaramulo anafuata uduma Bukoba njini ambapo ni mwendo wa masaa zaidi ya 7 hawezi kwenda na kurudi siku hiyo hiyo,sasa Biaramulo ikimegwa kudogo ikapelekwa Chato ambapo ni karibu kuna ubaya gani?
Wilaya inaitwa Biaramulo? Ukiigawa unapata wilaya gani tena?
Unagawa gawa maeneo ili upate mkoa kwa kulazimisha?.
Kama mnataka kutengeneza mkoa gawa Tabora na morogoro
 
Mbona Geita ni mkoa tayari! Au Geita gani unayoisema? Mkapa aligawa mkoa wa Arusha tu kutokana na ukubwa wake na siyo kulazimisha maeneo ya mikoa mingine kuunganishwa kuanzisha mkoa mpya! Hoja yako ni mfu haina mashiko! Mimi leo hii siwezi kukubali kuuachamkoa wangu wa asili na tamaduni zake ili nimegwe kesho nijikute nipo mkoa mwingine! Ni upuuzi na ujinga mkubwa sana huo!
Sasa asili na utamaduni vinakisaidia nini kwenye Sayansi na teconorojia ya Sasahivi?kutenga mikoa ni kulaisha uduma za jamii baada ya kutumia Siku mbili unafatilia uduma,utumie masaa tu,nimekutolea mfano kutoka Biaramulo mpaka Bukoba ambapo ni makao makuu ya mkoa ni zaidi ya masaa 8 hapo haujatokea vijiji vya mpakani,lakini kuja Chato inaweza kuwa masaa 3,sasa mtu kama huyu asili inamsadia nini?
 
Kuna faida gani Wilaya ikiwa Mkoa??
 
Hawa watu wanachuki binafsi na Magufuli akuna kingine unakuta Mtu anatoka Biaramulo anafuata uduma Bukoba njini ambapo ni mwendo wa masaa zaidi ya 7 hawezi kwenda na kurudi siku hiyo hiyo,sasa Biaramulo ikimegwa kudogo ikapelekwa Chato ambapo ni karibu kuna ubaya gani?
Biharamulo kwenda Bukoba mwendo wa saa 7 siyo kweli.
 
Kwani chato ikiwa Mkoa kuna shida gani ? ,Akili za kujua wenyewe wanazo viongozi wa CCM wote ambao wameruhusu wakuu wa mikoa,mawaziri nk kutembelea Land cruiser za bei ghali hii ndio sababu nchi yenu ni masikini, matumizi ni makubwa mno

Hiyo Hospital ya Chato ambayo watu wengi hasa humu JF wanaipinga,imetusaidia wengine
Hospital kubwa kama ile inafanana na huduma inayotolewa?hakukuwa na maeneo mengine yenye uhitaji?

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Kwani Magufuli ndiye alikuwa Rais wakwanza aliyeanza kugawa mikoa mie nakumbuka mpaka nakuwa na uelewa nilkuta mikoa 20, Sasahivi kuna mikoa zaidi ya 25, Mkapa pamoja na Kikwete aligawa hatukuwahi kusikia makelele.Kwa Magufuli kwanini iwe nongwa? Nyinyi mnaopiga makelele ndio mashetani kwani ukiwepo mkoa wa Geita utapungukiwa nanini kama sio roho mbaya tu.
Tofautisha kugawa mikoa na kuungaunga ili upate mkoa

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Hawa watu wanachuki binafsi na Magufuli akuna kingine unakuta Mtu anatoka Biaramulo anafuata uduma Bukoba njini ambapo ni mwendo wa masaa zaidi ya 7 hawezi kwenda na kurudi siku hiyo hiyo,sasa Biaramulo ikimegwa kudogo ikapelekwa Chato ambapo ni karibu kuna ubaya gani?
Na mtu wa Ngara na Kakonko unamzunumziaje?

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Pongezi kwa wananchi wa mikoa ya Kagera na Kigoma.

Inabidi suala la mikoa, wilaya na maeneobunge (majimbo) kugawanywa yasifanywe na Rais bali wananchi wahusishwe kwa maoni yao huru huku Tume Huru ya Mipaka na Uchaguzi ikihusishwa kama ilivyo nchini Kenya IEBC

Majukumu ya IEBC Kenya :

(5) Mipaka ya kila eneobunge italinganishwa kwa, inakaribiana sana, sawa na idadi ya wakazi katika eneobunge hilo, lakini idadi ya wakazi wa eneobunge inaweza kuwa kubwa au ndogo kuliko idadi ya kiasi cha watu kwa namna ambayo imetajwa katika Ibara ya (6) ili kuzingatia–

  • (a) hali ya kijiografia na maeneo ya miji;
  • (b) jamii ya eneo lile, kihistoria, kiuchumi na mshikamano wake wa kitamaduni; na
  • (c) mbinu za mawasiliano.
(6) Idadi ya wakazi wa eneobunge au wadi inaweza kuwa kubwa au ndogo zaidi ya idadi ya watu kwenye eneo hilo kwa kiwango kisichozidi–

  • (a) asilimia arubaini kwa majiji na maeneo yaliyo na idadi ya watu iliyotawanyika; na
  • (b) asilimia thelathini kwa sehemu nyingine.
(7) Katika kurekebisha mipaka ya maeneobunge na wadi, Tume–

  • (a) itashauriana na makundi yote husika; na
  • (b) itandelea kufanya kazi kwa lengo la kuhakikisha kwamba idadi ya watu katika kila eneobunge na wadi, inakaribiana, sawa na idadi ya watu wa eneo hilo iliyokadiriwa.
(8) Ikiwezekana, Tume hii itabadilisha majina na mipaka ya maeneobunge na wadi, na idadi, majina na mipaka ya wadi.

(9) Kulingana na Ibara ya (1) (2),(3) na (4), majina na maelezo ya kina kuhusu mipaka ya maeneobunge na wadi iliyobuniwa na Tume, itachapishwa kwenye Gazeti Rasmi la Serikali, na itatekelezwa baada ya kuvunjwa kwanza kwa Bunge, kufuatia kuchapishwa kwake.

Source : www.iebc.or.ke
 
Hawa watu wanachuki binafsi na Magufuli akuna kingine unakuta Mtu anatoka Biaramulo anafuata uduma Bukoba njini ambapo ni mwendo wa masaa zaidi ya 7 hawezi kwenda na kurudi siku hiyo hiyo,sasa Biaramulo ikimegwa kudogo ikapelekwa Chato ambapo ni karibu kuna ubaya gani?
Biaramulo ipi hiyo ambayo kuna umbali wa masaa 7 kufika Bukoba Mjini?
 
Mie sijazunguzia chato,ninazunguza kumuona Magufuli Shetani kisa anataka kugawa Mkoa utafikiri ndiye Rais wa kwanza Tanganyika kufanya hivyo,kama mnasema chato ina ineo dogo mbona amlalamiki mikoa ya Zanzibar?
Wakati wowote zanzibar yaweza kushuka kwenye kituo kinachofuata yanini kugombana
 
Mimi binafsi siyo mwenyeji kati ya mikoa ambayo ingemegwa sikurahi kabisa mpango huo wakulazimisha mkoa mpya wakati geita bado mkoa mpya unaacha kugawa morogoro uliyoanza Tanga kwa urefu mpaka njombe.
Geita itakuwa mkoa tu subirieni
 
Sasa asili na utamaduni vinakisaidia nini kwenye Sayansi na teconorojia ya Sasahivi?kutenga mikoa ni kulaisha uduma za jamii baada ya kutumia Siku mbili unafatilia uduma,utumie masaa tu,nimekutolea mfano kutoka Biaramulo mpaka Bukoba ambapo ni makao makuu ya mkoa ni zaidi ya masaa 8 hapo haujatokea vijiji vya mpakani,lakini kuja Chato inaweza kuwa masaa 3,sasa mtu kama huyu asili inamsadia nini?
Unapokuwa unajaribu kutoa hoja jaribu kusema ukweli, pia ukumbuke humu JF ni taifa kamili yaani kila kitu au kila taarifa ni rahisi kupatikana kuliko sehemu yoyote ile. Ukitoka Bukoba to Biharamulo hayajawahi kufika masaa nane , sanasana ni masaa matatu yakiwa mengi hadi nne tena hapo una gari za abiria.........kwa kukusaidia ni kwamba hayo
masaa nane unakuwa Nzega na kwendelea. Ukiitaka kujua sehemu zenye uhitaji mkubwa wa kumegwa nenda Tabora na Morogoro alafu urudi hapa
 
Sasa asili na utamaduni vinakisaidia nini kwenye Sayansi na teconorojia ya Sasahivi?kutenga mikoa ni kulaisha uduma za jamii baada ya kutumia Siku mbili unafatilia uduma,utumie masaa tu,nimekutolea mfano kutoka Biaramulo mpaka Bukoba ambapo ni makao makuu ya mkoa ni zaidi ya masaa 8 hapo haujatokea vijiji vya mpakani,lakini kuja Chato inaweza kuwa masaa 3,sasa mtu kama huyu asili inamsadia nini?
Ukisafiri Kwa basi,kutoka Bukoba, SAA 6:30-7:00 inakukuta Kahama. Sasa inakuaje Biharamuro-Bukoba iwe masaa 8?
 
Back
Top Bottom