Ndoto za Chato kuwa mkoa zayeyuka baada ya mikoa jirani kugoma kuachia maeneo yao

Ndoto za Chato kuwa mkoa zayeyuka baada ya mikoa jirani kugoma kuachia maeneo yao

Mimi binafsi siyo mwenyeji kati ya mikoa ambayo ingemegwa sikurahi kabisa mpango huo wakulazimisha mkoa mpya wakati Geita bado mkoa mpya unaacha kugawa Morogoro uliyoanza Tanga kwa urefu mpaka Njombe.
Si ndio hapo,huo mkoa wa Moro ni mrefu ka mkojo,halafu eti hawauguswi,wanaona sawa tu

Raia eti atoke huko jirani na Njombe afuate huduma ofisi ya mkoa wa Morogoro kilomita karibu 590 halafu hawaoni kuwa hilo ni tatizo
 
Kwa wale waliokuwa wanashangilia kama mazuzu sasa walie tuuu.

Lile shangwe la wana Chato kuwa utakuwa mkoa limeota mbawa mara baada ya mikoa jirani na chato kugomea kutoa ushirikiano.

Mikoa ya Kagera,Kigoma na Mwanza imegoma kutoa sehemu ya ardhi yao ili kuufanya mkoa wa chato kimaeneo.

Sasa ni rasmi ile ndoto imekwenda na maji na kilio kinabakia kwa wale walio amini kuwa chato sasa itakuwa mkoa.

Hakika muda ni mchache sana huku mambo yakiwa ni mengi sana.
Screenshot_20230111-071517_Instagram.jpg
 
Wakati mnaigawa Rukwa Magufuri alikuwa Rais ? Au wakati mnaifanya Njombe yenye watu laki nane kuwa mkoa ni Magifuri ndiye aliyeidhinisha ?
Njombe na Katavi Wana Uchumi mkubwa kuliko Mkoa pendekezwa na Sababu za msingi za kugawa zipo ikiwemo ukubwa wa Mikoa husika.

Sasa Kagera,Geita na Kigoma Zina ukubwa gani wa kuhitaji kugawanywa?
 
Si ndio hapo,huo mkoa wa Moro ni mrefu ka mkojo,halafu eti hawauguswi,wanaona sawa tu

Raia eti atoke huko jirani na Njombe afuate huduma ofisi ya mkoa wa Morogoro kilomita karibu 590 halafu hawaoni kuwa hilo ni tatizo
Morogoro na Tabora zitagawanywa Wala msiwaze
 
alete hoja
 sio kuja na maoni hayaeleweki mbele wala nyuma kama wazee wa kihindi
 
Hakuna mkoa nisiofika nchi hii wewe ndio unakurupuka. Unaujua umbali wa kutoka Ngara hadi makao makuu ya mkoa Bukoba ? Unajua umbali wa kutoka Kakonko hadi Makao makuu ya mkoa Kigoma ? Wewe ndio hujui kitu. Ukweli ni kwamba mikoa ya Njombe na Katavi ilianzishwa kwa sababu ya ushawishi ya viongozi wazawa waliokuwa huko kama spika wa bunge na waziri mkuu lakini haikustahili kabisa. Knachokusumbua ni chuki wala hujui chochote.
Acha uongo wewe kenge,hata ramani tuu ya Mikoa unayoitaja inasomeka vizuri na ilistahili Tena kwa sababu za kimsingi kabisa.
 
Morogoro na Tabora kuna mapato gani kuzidi Geita ?
Point kubwa na Geographical difficulties na sio umbali pekee..
Ingekuwa Ni umbali pekee,Wilaya ya Tunduru ingekuwa Mkoa.

Mwisho Morogoro lazima igawanywe na Mkoa wa Kilombero utakuwa sehemu ya Nyanda za Juu Kusini
 
Back
Top Bottom