Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Hivi ndiyo vinafanya sehemu kuwa mkoa???Vipi kuhusu uwanja wa ndege Chato, hospitali ya kanda ya Chato navyo vimeyeyuka ghafla?
Eti kitovu cha utalii 😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi ndiyo vinafanya sehemu kuwa mkoa???Vipi kuhusu uwanja wa ndege Chato, hospitali ya kanda ya Chato navyo vimeyeyuka ghafla?
Hayo madude makubwa yasiyoendana na idadi ya watu wa eneo husika yatabakia kuhudumia watu 70 waliopo huko!Vipi kuhusu uwanja wa ndege Chato, hospitali ya kanda ya Chato navyo vimeyeyuka ghafla?
Jibu swali acha kurukarukaJikite kwenye hoja hata Kama unaumia [emoji1787][emoji1787]
Wakati mnaigawa Rukwa Magufuri alikuwa Rais ? Au wakati mnaifanya Njombe yenye watu laki nane kuwa mkoa ni Magifuri ndiye aliyeidhinisha ?Yani uache kuigawa mikoa Kama Morogoro na Tabora ukaugawe Mkoa wa juzi Geita anyway tuache tu.
Umeshafika hayo maeneo uliyoyataja na kujionea jiografia yake na ugumu uliokuwepo katika kuyaongoza mpk kufikia hatua ya kuanzisha mikoa ya njombe, katavi, manyara, simiyu na Geita ambayo bado ikawa inalazimishwa kuchukua maeneo mengine kuanzisha huo Mkoa mpya? Kama hujawahi kufika hayo maeneo usikurupuke siku nyingineWakati mnaigawa Rukwa Magufuri alikuwa Rais ? Au wakati mnaifanya Njombe yenye watu laki nane kuwa mkoa ni Magifuri ndiye aliyeidhinisha ?
Ndio unastahili. Mbona mikoa ya Njombe na Katavi ilianzishwa ilistahili ? Hadi leo hii Njombe ina watu laki nane tu na Rukwa ulikuwa mkoa mchanga ulioanzishwa 1974 mbona uligawanywa na kuzaa Katavi ? Hayo yote yalifanywa na Magufuri ?Mzee unazijua requirements na uhalali wa kugawa mkoa?
Deep ndani kabisa ya moyo wako unaona ilikuwa haki kuanzisha mkoa wa Chato? Yaani mkiwa wawili tu na Mwenyezi Mungu mnatazamana face to face akakuuliza unadhani ilikuwa halali kuanzisha mkoa wa chato utajibu ndio?
Morogoro na Tabora kuna mapato gani kuzidi Geita ?Angalia mkoa wa geita na wilaya ya chato? Utengeneze chato kwa kutumia wilaya gani? Kuna vigezo hasa ukubwa wa eneo na vyanzo vya mapato..
Ushindwe kuigawa morogoro, dodoma na tabora uigawe chato? Kuwa serious jamaa
Tulipitia kipindi kigumu sana aseeVipi kuhusu uwanja wa ndege Chato, hospitali ya kanda ya Chato navyo vimeyeyuka ghafla?
Basi NendaKwani chato ikiwa Mkoa kuna shida gani ? ,Akili za kujua wenyewe wanazo viongozi wa CCM wote ambao wameruhusu wakuu wa mikoa,mawaziri nk kutembelea Land cruiser za bei ghali hii ndio sababu nchi yenu ni masikini, matumizi ni makubwa mno
Hiyo Hospital ya Chato ambayo watu wengi hasa humu JF wanaipinga,imetusaidia wengine
Akikujibu nitagSasa asili na utamaduni vinakisaidia nini kwenye Sayansi na teconorojia ya Sasahivi?kutenga mikoa ni kulaisha uduma za jamii baada ya kutumia Siku mbili unafatilia uduma,utumie masaa tu,nimekutolea mfano kutoka Biaramulo mpaka Bukoba ambapo ni makao makuu ya mkoa ni zaidi ya masaa 8 hapo haujatokea vijiji vya mpakani,lakini kuja Chato inaweza kuwa masaa 3,sasa mtu kama huyu asili inamsadia nini?
Kwani Geita siyo mkoa ? Wewe vipi ?Geita itakuwa mkoa tu subirieni
Tabora eneo kubwa ni mapori tu. Na uchumi mdogo.Unapokuwa unajaribu kutoa hoja jaribu kusema ukweli, pia ukumbuke humu JF ni taifa kamili yaani kila kitu au kila taarifa ni rahisi kupatikana kuliko sehemu yoyote ile. Ukitoka Bukoba to Biharamulo hayajawahi kufika masaa nane , sanasana ni masaa matatu yakiwa mengi hadi nne tena hapo una gari za abiria.........kwa kukusaidia ni kwamba hayo
masaa nane unakuwa Nzega na kwendelea. Ukiitaka kujua sehemu zenye uhitaji mkubwa wa kumegwa nenda Tabora na Morogoro alafu urudi hapa
Yuko wapi sasa? Chakula cha minyoo huko ChatoUlibutuliwa na yule dikteta akakuacha bila kitu
Hakuna mkoa nisiofika nchi hii wewe ndio unakurupuka. Unaujua umbali wa kutoka Ngara hadi makao makuu ya mkoa Bukoba ? Unajua umbali wa kutoka Kakonko hadi Makao makuu ya mkoa Kigoma ? Wewe ndio hujui kitu. Ukweli ni kwamba mikoa ya Njombe na Katavi ilianzishwa kwa sababu ya ushawishi ya viongozi wazawa waliokuwa huko kama spika wa bunge na waziri mkuu lakini haikustahili kabisa. Knachokusumbua ni chuki wala hujui chochote.Umeshafika hayo maeneo uliyoyataja na kujionea jiografia yake na ugumu uliokuwepo katika kuyaongoza mpk kufikia hatua ya kuanzisha mikoa ya njombe, katavi, manyara, simiyu na Geita ambayo bado ikawa inalazimishwa kuchukua maeneo mengine kuanzisha huo Mkoa mpya? Kama hujawahi kufika hayo maeneo usikurupuke siku nyingine
Geita ilikua na jiografia gani ngumu kwenda Mwanza mkoani ? Hujui kitu. Nakuambia hivi mikoa hapa Tanzania hugawanywa kisiasa na si uhalisia.Umeshafika hayo maeneo uliyoyataja na kujionea jiografia yake na ugumu uliokuwepo katika kuyaongoza mpk kufikia hatua ya kuanzisha mikoa ya njombe, katavi, manyara, simiyu na Geita ambayo bado ikawa inalazimishwa kuchukua maeneo mengine kuanzisha huo Mkoa mpya? Kama hujawahi kufika hayo maeneo usikurupuke siku nyingine
Hebu jaribu kusoma ulichoandika tena. Mkoa wa Geita uko toka wakati wa Kikwette? Unaongea nini wewe mpumbavu?Kwani Magufuli ndiye alikuwa Rais wakwanza aliyeanza kugawa mikoa mie nakumbuka mpaka nakuwa na uelewa nilkuta mikoa 20, Sasahivi kuna mikoa zaidi ya 25, Mkapa pamoja na Kikwete aligawa hatukuwahi kusikia makelele.Kwa Magufuli kwanini iwe nongwa? Nyinyi mnaopiga makelele ndio mashetani kwani ukiwepo mkoa wa Geita utapungukiwa nanini kama sio roho mbaya tu.